msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,840
- 6,142
Kwanini Umesema Zisiwe za kurithi.?
Kwani Elfu10 ya Kurithi na ya kutafuta mwenyewe matumizi tofauti.?
Back to yo Qn..
Niliacha shule nikakaa kitaa 3 years nikahakikisha napata hvyo sahivi nimerudi shule nipo degree mwaka wa kwanza..nina miaka 24..
Funzo ni kwamba hutovipata kupitia elimu ukiwa chini ya miaka 32..
Kwani Elfu10 ya Kurithi na ya kutafuta mwenyewe matumizi tofauti.?
Back to yo Qn..
Niliacha shule nikakaa kitaa 3 years nikahakikisha napata hvyo sahivi nimerudi shule nipo degree mwaka wa kwanza..nina miaka 24..
Funzo ni kwamba hutovipata kupitia elimu ukiwa chini ya miaka 32..
tena ya wazazi.