Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Kwanini Umesema Zisiwe za kurithi.?
Kwani Elfu10 ya Kurithi na ya kutafuta mwenyewe matumizi tofauti.?

Back to yo Qn..
Niliacha shule nikakaa kitaa 3 years nikahakikisha napata hvyo sahivi nimerudi shule nipo degree mwaka wa kwanza..nina miaka 24..

Funzo ni kwamba hutovipata kupitia elimu ukiwa chini ya miaka 32..
 
Mm nilifukuzwa nyumbani nikiwa 19 yrs nikaowa wen i was 21 nikiwa na escudo bro nikahama bara zima la africa na wife nikiwa 26 yrs nimejenga kigamboni tuna watoto 2 na sijutii uamuzi wakuowa na changamoto zake she is all i needed in life and she has sharpen my mind get a wife utapata vyote .....and more
 
Jamaa bila kupiga haiwezekani enzi za huyu mjamaa...piga tu hamna mbinu nyingine...hamna kuogopa jela...au uza ngada.
 
Mimi niliweza kufanya hivyo vyote nikiwa na Umri wa miaka 27 Aisee Vision yangu ilikuwa kupata numba yangu kabla haya ya hayo Magari Kwa uwezo wa Mungu niliweza kufanikisha hilo ndipo nikaingia hatua ya pili ya Gari tena kipindi hicho Escudo ambayo ilikuwa inaogopwa kwa Bei za Spea. Ila nikikwambi hela nilikuwa nazipataje siwezi kukwambia.

Lazima ujitoe Kafara kwa Muda fulani..

Ila kipindi hiki cha Magu haki ya Mungu tusidanganyane
 
Back
Top Bottom