Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Hahaha, hii thread ni shida sana. Kwa walioenda shule hadi kiwango cha degree, kwa mfumo wa elimu yetu, inaweza kuwa ngumu sana kumiliki gari+nyumba bila backup yoyote.

Ambao waliishia katikati kielimu wakajiingiza kwenye ujasirimali, hao hatuwezi kujaji sababu huenda wameanza mapema.

Kuna mdau kachanganua vizuri huko juu;
1. Walioanzia chini(kupitia vyanzo halali)
2. Wezi na mafisadi.
3. Backup ya wazazi, ndugu, marafiki na connection za mjini.
4. Ushirikina.

Basi na mseme njia mlizopitia ili tujue.
 
Nipo under 25 na nina vyote na sijarith
,,, Siri kuba ni staki demu/ sihongi
 
Nina Nyumba tatu na Magari manne nina miaka 25 niliajiajiri nikiwa na miaka 20... Sasa wewe endelea kukomaa na kuajiriwaa[emoji16][emoji23][emoji23]

Haya mambo hayaitaji hasiraaa
 
Jamaa yangu wote tupo first year alimiliki gari akiwa form 2. Amejenga akiwa form 5 kiwanja alikinunua 200,000 tu uko kwao. Nyumba bado tyles na na vioo, room 3. Gari aliuza akaenda kusoma private baada ya kitaa kuwa na changamoto.

Amefanya kazi za madini. Kwa sasa hana hela kabisa ila nyumba yake ipo. Ameanza kumiliki kadi ya benki akiwa under 18 wakaandika sijui barua ya nini uko kwao. Amewahi kumiliki mademu wakubwa kwa sasa anawakimbia. Tukienda club anatwambia nenda mkacheze kwani nyinyi kuna starehe gani mnakula.

Sema jamaa akirudi kitaa ghafla tu anapata pesa. Anachapa kazi balaa ila bata hakosi. Anakwambia aliopata nao hela wengi wana UKIMWI anashukuru Mungu hela ziliisha alipoenda private school.
 
Usikate tamaa unaweza ndoto yako itatimia tu mm ndoto yangu ilikuwa kabla watoto wangu hawajaanza shule niwe nimeshaliza nyumba wakati huo wife anamimba keep it up dogo
 
Huu uzi umejaa chai balaa. Mnaojipa maujiko ya kumiliki mandinga na mamijengo under age wakati sivyo mjue mnachanganya files zenu za baraka kwa Sir God.
 
Njoo huku ifakara ulime mpunga ekari 5 tu uzisimamie na uzitunze vizhri na ulale na kuamkia shamba nakupa mkezi sita unaakuma arteza new modal mwaka wapili na watatu unajenga nyumba yako safiii ila ujue kuhaso kwwli kweli hao watto wamama utawaona mapopo tu.
 
Back
Top Bottom