Ngoja nikueleze kidogo, nilimaliza chuo kikuu nikiwa na miaka 26 tayari nilikuwa na biashara yangu ya insurance agency na gari nilikuwa nayo aina ya Nissan March.
Nilifanya marketing nikapata kazi kubwa kwenye kampuni fulani sitaitaja wana malori na tanker trucks nilipokatia bima nilipata faida milioni 40 na ushehe maana alikuwa na lorry zaidi ya mia.
Nilijenga nyumba ndogo nikahamia kwangu mbezi juu interchick. Mwaka uliofata nilipata tena hiyo kazi nikabadilisha gari na miradi ikaanza nikaona nimesimama ilipofika nina miaka 29 nilioa na mpaka sasa nimerudi kwenye profession yangu ya Uwakili na maisha yanaendelea.
So amini kwenye hilo