Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

Mkuu kuna kujenga na kuzuia kiwanja

Sent from myself
 
kuna porojo ziko humu, kila mmoja maisha mazuri under 30 ana kila kitu

ukifatilia uzi wa matengenezo ya magari kule huwaoni asa haya magari yepi? wanayo sema

uzi wa ujenzi huwaoni hata kuulizia bei ya marumaru dizaini mpya.

Oooh nna 23 nna vyote ivo, ***** naona gari na nyumba vimekuwa matako sasa kila mmoja anavyo

Nna 28yrs sina chochote.
Jamaa umenichekesha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah baadhi ya wachangiaji humu wamenifanya nijione mnyonge sana...Naona kila mtu anajinasibu ana nyumba,gari nk tena akiwa na 20's...

Mimi na umri wangu huu wa zaidi ya miaka 25 nimejickia inferior sana coz hata kiwanja sina[emoji19] [emoji19] [emoji19]

Naipenda JF
 
hahahaha Miss you sana.... Blaki Womani umejificha sana..... mimi na miliki watoto na mama yao tuuu.
Wewe una gari na nyumba ngapi?

miss you too loya......hahahahaha hao nao ni asset ujue watu wanaona nyumba na gari ndio assets pekee......wahenga tulishachelewa kujadili hayo loya tumebaki kuangalia ligi ya alteza
 
Wakuu naomba kuuliza hivi humu JamiiForums kuna kijana yeyote ambaye yupo chini ya miaka 30 ambae anamiliki gari na nyumba. Yani ambae ametafuta kwa jasho lake bila kupewa au kurithi.

Nimeuliza hivi kwa sababu mimi nina miaka 25 na ndoto zangu ni kumiliki gari na nyumba kabla Sijaoa. Lakini kila siku zinavyosogea naona ndoto inakua ngumu kutimia.

Nikipita barabarani au kwenye kumbi za starehe naona vijana wadogo wamepaki magari yao, basi roho yangu inaumia sana.

Hivi inawezekana kweli au ni ndoto za mchana hizi ninazoota.
Aisee naamin kwa neema za Mungu mimi niliweza kujenga nyumba yangu nikiwa na miaka 26 na 28yrs nikaweza kumiliki gari langu aina Cresta 90 balloon anyway kwa neema za Mungu nilipata bahati ya kupata ajira ya serikali nikiwa mdogo wa 21yrs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna porojo ziko humu, kila mmoja maisha mazuri under 30 ana kila kitu

ukifatilia uzi wa matengenezo ya magari kule huwaoni asa haya magari yepi? wanayo sema

uzi wa ujenzi huwaoni hata kuulizia bei ya marumaru dizaini mpya.

Oooh nna 23 nna vyote ivo, ***** naona gari na nyumba vimekuwa matako sasa kila mmoja anavyo

Nna 28yrs sina chochote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mseme na hizo nyumba mmejenga wapi maana msiwe mnatudanganya tu

Ila kama kila mtu humu ana nyumba mbona wengi waliopanga chumba kimoja ni hao hao under 30?
Sijafikisha hata 28 achiliq mbali hiyo 30 ila wengi wenu humu ni waongo sana

Hakuna mwenye nyumba humu bali maboma yaliyoezekwa
Wenye nyumba hawajitangazi hivyo
 
Haya wenye majumba na magari yenu.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Back
Top Bottom