Mkuu hilo kitasaidiaje kukuza kiwango cha elimu nchini na upatikanaji wa ajira kwa wahitimu?tangu mwaka 1964 mpaka leo sare ni nyeupe na bluu! ninini hiki kisichobadilika? kwanini kila shule isiwe na sare zake kulingana na jiografia ya eneo husika
Naunga mkono hoja hakuna ulazima.tangu mwaka 1964 mpaka leo sare ni nyeupe na bluu! ninini hiki kisichobadilika? kwanini kila shule isiwe na sare zake kulingana na jiografia ya eneo husika
Watoe tu hayo mavazi ya kidini....kujifunika kunawabagua wenyewe.tangu mwaka 1964 mpaka leo sare ni nyeupe na bluu! ninini hiki kisichobadilika? kwanini kila shule isiwe na sare zake kulingana na jiografia ya eneo husika
Nikihamisha Mtoto silazimiki kushona sare nyinginetangu mwaka 1964 mpaka leo sare ni nyeupe na bluu! ninini hiki kisichobadilika? kwanini kila shule isiwe na sare zake kulingana na jiografia ya eneo husika
Naunga mkono hoja. Ni kuwafunza watoto ubaguzi na udini katika umri mdogo.Watoe tu hayo mavazi ya kidini....kujifunika kunawabagua wenyewe.
Tabora manispaa wanafunzi wote wa kiume wanavaa khaki na wasichana sketi za kijani kwa upande wa Shule ya msingi.tangu mwaka 1964 mpaka leo sare ni nyeupe na bluu! ninini hiki kisichobadilika? kwanini kila shule isiwe na sare zake kulingana na jiografia ya eneo husika
Mbona hazifanani mkuu, au ni vile una-colour blindness?!tangu mwaka 1964 mpaka leo sare ni nyeupe na bluu! ninini hiki kisichobadilika? kwanini kila shule isiwe na sare zake kulingana na jiografia ya eneo husika
Mimi sijawahi kuvaa kaki hata nikashangaa kumbe shule zingine ni kaki