Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Huu ndio muonekano wa Shule ya Msingi Kugulunde iliyopo katika Kitongoji cha Mahande, Kata ya Mtii, Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro.
Shule hii ya Serikali haina miundombinu inayoridhisha kuendeleza harakati za utoaji wa elimu, kwani tangu ilipopatwa na maporomoko yaliyotokana na mvua kubwa haijafanyiwa marekebisho.
Mafuriko hayo yalitokana na mvua kubwa ya Mwaka 2011 tangu wakati huo haijawahi kuwa sawa kimuonekanao.
Majibu ya Serikali haya hapa
Shule hii ya Serikali haina miundombinu inayoridhisha kuendeleza harakati za utoaji wa elimu, kwani tangu ilipopatwa na maporomoko yaliyotokana na mvua kubwa haijafanyiwa marekebisho.
Mafuriko hayo yalitokana na mvua kubwa ya Mwaka 2011 tangu wakati huo haijawahi kuwa sawa kimuonekanao.
Majibu ya Serikali haya hapa