Video inaonesha na kueleza vizuri shule ya msingi Mikongeni, ambayo ni Shule ya Msingi ya Umma (Inamilikiwa na Serikali) yenye Mchepuo wa Kiingereza.
Shule ni nzuri kwa miundombinu yote.
Hata hizi shule za binafsi tunazowapeleka watoto wetu wa kisasa kina Juniour na kulipishwa ada milioni mbili ama milioni tatu kwa mwaka hazifikii ubora wa miundombinu iliyopo kwenye Shule ya Serikali ya Mikongeni
Ushauri wangu shule zenye ubora kama huu ama standard kama hii zinapaswa kujengwa kwenye kila Kata ili watoto wote wa-enjoy kodi za wazazi wao kwa kusoma shule nzuri za Serikali
Shule ni nzuri kwa miundombinu yote.
Hata hizi shule za binafsi tunazowapeleka watoto wetu wa kisasa kina Juniour na kulipishwa ada milioni mbili ama milioni tatu kwa mwaka hazifikii ubora wa miundombinu iliyopo kwenye Shule ya Serikali ya Mikongeni
Ushauri wangu shule zenye ubora kama huu ama standard kama hii zinapaswa kujengwa kwenye kila Kata ili watoto wote wa-enjoy kodi za wazazi wao kwa kusoma shule nzuri za Serikali