Mchengelwa japo alishawahi kuwa katibu wa Jaji kiongizi lakini kichwani hamna kitu. Alishawahi kupewa mafaili Aandae hukumu akaandika Madudu tu. Bora alivyoingia siasani tu akafie huko
Alikuwa wakili, kwenye Law Firm ya Marehemu Maira, akaingia serikalini kama Katibu wa Jaji nafikir baada ya hapo "mama mkwe" ndio akaanza kumshika mkono.
 
Hii imenipa furaha sana. Nimeipenda mno.

1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria

ALAFU MTU MTU TUU UNAMSIKIA ANASEMA WANASHERIA SIO WA KUWAAMINI. MCHAPE MTAMA HARAKA SANA.
 
Hii imenipa furaha sana. Nimeipenda mno.
1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
ALAFU MTU MTU TUU UNAMSIKIA ANASEMA WANASHERIA SIO WA KUWAAMINI. MCHAPE MTAMA HARAKA SANA.
Ukitaka kujua kama ni wanasheria kweli wapeleke kwenye yale mashauri ya Mahakama za kimataifa, hapo ndio utajua Uduni wa elimu yetu. Ni wanasheria kwa watu wasiojua ubora wa wanasheria, na ukiwafuatilia kiundani utakuta ni incompetent wa hatari.
 
Na wote ni wanafunzi wa Prof.Kabudi. Tukiachana na yote, Prof.Kabudi ni hazina adimu kwa Taifa, wanafunzi wake ni watu wa kuheshimika mno
Wanaheshimika kwa kuuza roho ya nchi kama bandari?

Yaani watu wamefundishwa na professor wa sheria lakini wakishirikiana na professor ambae ndiyo mwalimu wao wanashiriki kugonga gonga meza hovyo bungeni ili mkataba wa hovyo usiovunjika maisha upite then unasema ni watu wa kuheshimika mno!!
 
Hii imenipa furaha sana. Nimeipenda mno.
1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria
ALAFU MTU MTU TUU UNAMSIKIA ANASEMA WANASHERIA SIO WA KUWAAMINI. MCHAPE MTAMA HARAKA SANA.
Kuna "wanasheria" wanaoifanyia haki taaluma hiyo kama ilivyo katika taaluma nyingine zozote; na kuna "wanasheria maslahi" kama hao walioteuliwa ambao hawajui maana ya taaluma waliyo nayo ina maana gani.

Katika hao wote katika kundi hilo hakuna anayemfikia mtu kama Kibatala, au BonnyMwalu, au Tundu Lissu.

Kuwa mwanasheria halafu huna manufaa yoyote kwa jamii inafaida gani?

Si ni hawa hawa wanatafuta kutuuza kwa waarabu, halafu leo hii unakuja hapa na ki-mada cha kipuuzi kama hiki?

Hopeless Kabisa. Inaudhi sana.
 
Hii imenipa furaha sana. Nimeipenda mno.

1. Jerry Slaa, Waziri Ardhi-Mwanasheria
2. Anthony Mavunde, Waziri Madini-Mwanasheria
3. Pindi Chana, Waziri Katiba na Sheria-Mwanasheria
4. Dr. Damas Ndumbaro, Waziri Sanaa na Michezo-Mwanasheria
5. Omary Mchengerwa, Waziri Tamisemi-Mwanasheria
6. Ummy Mwalimu, Waziri afya-Mwanasheria
7. George Simbachawene, Waziri Utumishi-Mwanasheria
9. Angela Kairuki, Waziri Maliasili-Mwanasheria
10. Ridhiwan Kikwete, Naibu Waziri Utumishi-Mwanasheria
11. Byabato, Naibu Waziri mambo ya Nje-Mwanasheria
12. Judith Kapinga, Naibu Waziri Nishati-Mwanasheria.
13. Geofrey Pinda, Naibu Waziri Ardhi-Mwanasheria

ALAFU MTU MTU TUU UNAMSIKIA ANASEMA WANASHERIA SIO WA KUWAAMINI. MCHAPE MTAMA HARAKA SANA.
Watu wengi wa Utawala wanakuwaga wanasheria, tofauti na hapo inakuwa ni bahati.

Hata tukichambua balaza lote utakuwa nusu ni wanasheria
 
Back
Top Bottom