Kumbe mimi na wewe hatupo?

Soma hii mada ya huyu mwamba
Kama shule haipandi, utatoka kapa

 
Kuna KautFiti kanasema kila walipo watu 10, watatu kati yao wana shida ya afya ya akili.....

Hako kaufiti kako sahihi kupitia hili andiko
 
Kuna KautFiti kanasema kila walipo watu 10, watatu kati yao wana shida ya afya ya akili.....

Hako kaufiti kako sahihi kupitia hili andiko
Angalia movie ya the matrix, ndo essence ya bandiko hili. Lakini pia unahitaji kusoma sana, ujue chimbuko lako, ujue kwa nini una exist.
 
Added to bookmarks mkuu 🙏
 

Natamani kujua zaidi kuhusu hii falsafa
 
Naunga mkono hoja, hatupo kabisa vyote ni picha la kutunga tu
hii huwa inanitafakarisha sana, mtu kafa unaambiwa "mwili wa marehem utasafirishwa" imagine neno mwili wa marehem, sasa inamaana mwenye mwili kaenda wap kama umebaki mwili ndio unasafirishwa!? Haya movie inaanza unapoanza kutaja viungo katika mwili, mfano: kidole changu, tumbo langu, kichwa changu, miguu yangu, ........, taja vyote mwili mzima hadi mwisho kila kitu sasa huyo anaevimilik ni nan!?
 
Utasikia roho au nafsi ipumzike mahala pema peponi. Haya roho, mahala pema, peponi. Hapo ndo unabaki kushangaa haya maneno yalitoka wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…