Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,033
Hujaelewa, watu wanata kujua ukweli bana, hakuna anae hukumu hapa
Wewe hapo na wenzio
Wewe hapo na wenzio
asante shemeji yangu umefunguka ile ilee!!Mamndenyi na Zion Daughter kwanza samahani kabla sijatamka haya maneno.... Mie binafsi nimewaelewa sana wanajamvi kuwa wanachotaka sio pesa bali taarifa.
Kwanini hamkujitokeza hapo awali na kutupatieni hizi taarifa???? Mnakuja wakati huu ambapo wadau wana jazba??? Huu sio utu hata kidogo, Wakati Ruhazwe JR amepata matatizo Mu-sir alikuja na kutueleza na kila mmoja wetu alielewa. Na akatuhaidi kutupa feedback baada ya muda fulani.
Tulisubiri bila mafanikio, baadaye akaja kuibuka tena na taarifa zisizoeleweka. Ninyi wadada kama mlikuwa na taarifa na matatizo ya ruhazwe mngekuwa mnatu-update ili kuepusha migogoro humu jamvini.....
Madame B
najua unaelewa sana na nakupa heshima zote kwa hilo Ruhazwe JR ana matatizo
waliompa pesa Ruhazwe JR wako wapi?
si unajua hata msibani wanauliza
'wale wanaomdai mpendwa wetu waseme'
Hujaelewa, watu wanata kujua ukweli bana, hakuna anae hukumu hapa
Mishipa nishashushwa mitatu tayari na bado sijakoma...
ooops!!! kumbe mpo karibu
Haya bana endeleeni kujua ukweli nao ukweli utawaweka huru
Mamndenyi na Zion Daughter kwanza samahani kabla sijatamka haya maneno.... Mie binafsi nimewaelewa sana wanajamvi kuwa wanachotaka sio pesa bali taarifa.
Kwanini hamkujitokeza hapo awali na kutupatieni hizi taarifa???? Mnakuja wakati huu ambapo wadau wana jazba??? Huu sio utu hata kidogo, Wakati Ruhazwe JR amepata matatizo Mu-sir alikuja na kutueleza na kila mmoja wetu alielewa. Na akatuhaidi kutupa feedback baada ya muda fulani.
Tulisubiri bila mafanikio, baadaye akaja kuibuka tena na taarifa zisizoeleweka. Ninyi wadada kama mlikuwa na taarifa na matatizo ya ruhazwe mngekuwa mnatu-update ili kuepusha migogoro humu jamvini.....
daah! hapo tu ndipo napo yaona maisha matamu lakini ni mafupi.tatizo sio tani 10 na futi sita ila tatizo ni evelyne salt nitamuachia nani?
Ndio maana huwa najisikiaga kukwambia neno flani we mdada, kwa kweli nazimika sana na mapost yako.
Mmeo ana bahati sana.
Heeee kumbe aliingia January 2013 Lol
Huyu alidhamiria aisee si bure!
Mbona amejiharibia kwa mambo ya kipuuzi?
Wenzake wanakimbia na mabilions yeye hata kilaki hakifiki? Duh
Kweli wanadamu tunatofautiana ujasiri!
Nawachukia watu wa namna hii!
Kwanini upoteze utu wako kwa pesa?
-----------------------------------
I miss you Kipipi[/QUOTE
Usiwe wa kwanza kuhukumu, huwezi jua.