Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,920
- 4,243
Chilli huyu Zion Daughter na Mamndenyi wake nafikiri hawa elewi watu wanacho hitaji hapa jamvini, wao wamekaa kusingizia matatizo, yani hayo matatizo aliyo nayo yana mfanya hata simu ashindwe kupokea au kutuma hata ujumbe? Kha!
Wewe noahism shida haina ngoja ngoja..matajiri na masikini wote hupata shida-sosi: Mbaraka Mwinshehe
Last edited by a moderator: