Kuhusu Ruhazwe Jr na Miss chit chat

Kuhusu Ruhazwe Jr na Miss chit chat

wabongo hawaaminiki. Mimi siamini kama ana matatizo kutokana na vitendo vyake na nduguze. nlimuandikia text mara mbili kuhusu hili swala hakunijibu wakati simu yangu inaonyesha ujumbe kumfikia. nikipiga simu inaita bila kupokelewa ukipiga baadae unakuta haipatikani. ikabidi niachane na haya maswala baada ya kukosa imani na ruhazwe. mu-sir ni nduguye wa damu eti naye kauchuna wakati yupo humu. Lakini bado hainiingi akilini kwamba anaweza kuingia mitini kisa laki moja. Hii imetia doa chit chat. mia
 
Baba V
kweli najua aliko kwa kuwa ni my son, Slave kwani mnapoambiwa Ruhazwe JR alipata matatizo, akiwa kwenye matatizo
na yeye akaugua, ni nini ambacho hauelewi, hiyo laki moja ndo inakutoa imani?
Unajali pesa kuliko utu? Mi mwenyewe nilisema natoa zawadi ya mshindi na. 3 lakini
na haraka haraka zako hata jina langu silioni,
why all these man? Hivi ulishawahi kupata shida kweli?
na wakati mwingine we are all grown up (Isipokuwa noahism ndo mtoto)
tuangalie pia shida za wenzetu,
Tell me who have already contributed some cash for that purpose so i may refund the same.

Mamndenyi atakuwa anapafahamu
 
Heeee kumbe aliingia January 2013 Lol
Huyu alidhamiria aisee si bure!
Mbona amejiharibia kwa mambo ya kipuuzi?
Wenzake wanakimbia na mabilions yeye hata kilaki hakifiki? Duh
Kweli wanadamu tunatofautiana ujasiri!
Nawachukia watu wa namna hii!
Kwanini upoteze utu wako kwa pesa?
-----------------------------------

I miss you Kipipi

Huyu jamaa katia doa kubwa sana chit chat, shindano lake lilikuwa limeshakubalika miongoni mwa wengi ila sasa keshaulowanya
 
Last edited by a moderator:
Baba V
kweli najua aliko kwa kuwa ni my son, Slave kwani mnapoambiwa Ruhazwe JR alipata matatizo, akiwa kwenye matatizo
na yeye akaugua, ni nini ambacho hauelewi, hiyo laki moja ndo inakutoa imani?
Unajali pesa kuliko utu? Mi mwenyewe nilisema natoa zawadi ya mshindi na. 3 lakini
na haraka haraka zako hata jina langu silioni,
why all these man? Hivi ulishawahi kupata shida kweli?
na wakati mwingine we are all grown up (Isipokuwa noahism ndo mtoto)
tuangalie pia shida za wenzetu,
Tell me who have already contributed some cash for that purpose so i may refund the same.

Mamndenyi inawezekana unayajua mengi kutokana na ukaribu wako naye, wengi wetu hatujui kitu, unatuambia nini katika hili....!?
 
Last edited by a moderator:
Chilli habari yako? Huyu ndugu yetu ame tufedhehesha sana, kashindwa kabisa kutunza thamani yake kwa pesa kama hiyo? Nitapo kua naenda geita nitapita hapo kuchukua sato wangu, maana naona umejisahaulisha kabisa..!

Mimi nilishahisi harufu mbaya hapa nikakaa kimya, na juzi Zion Daughter alikua anamteta mbaya.
Niko mjini kwa sasa asee ila nina mpango wa kwenda huko mwezi ujao.
 
Last edited by a moderator:
Baba V nitasema nini kwa watu wasiokuwa na imani wala huruma kwa mwana jamii mwenzetu kama hivi. Baba V unakumbuka ulikaa nyuma ya nondo siku tatu tu
ukakuta tayari kuna uzi wa kukudhoofisha,
je ungekaa mwezi na miezi ingekuwaje.

Mi naona la maana wale ambao walimpa Ruhazwe JR hela zao
kwa ajili ya zawadi wajiseme ili warudishiwe hiyo fedha.

Kipekee naudhamini sana utu wa Ruhazwe JR,
na tena bado nina imani naye.

Mamndenyi inawezekana unayajua mengi kutokana na ukaribu wako naye, wengi wetu hatujui kitu, unatuambia nini katika hili....!?
 
Last edited by a moderator:
Baba V
kweli najua aliko kwa kuwa ni my son, Slave kwani mnapoambiwa Ruhazwe JR alipata matatizo, akiwa kwenye matatizo
na yeye akaugua, ni nini ambacho hauelewi, hiyo laki moja ndo inakutoa imani?
Unajali pesa kuliko utu? Mi mwenyewe nilisema natoa zawadi ya mshindi na. 3 lakini
na haraka haraka zako hata jina langu silioni,
why all these man? Hivi ulishawahi kupata shida kweli?
na wakati mwingine we are all grown up (Isipokuwa noahism ndo mtoto)
tuangalie pia shida za wenzetu,
Tell me who have already contributed some cash for that purpose so i may refund the same.

Mamndenyi habari,
Ni kweli kwamba inawezekana huyu bwana akawa ana matatizo, lakini ifike tu hatua tuwe wawazi na kusema "Matatizo yake sasa yasiingiliane na shindano kwani yanaathiri shindano na kuomdoa kabisa ladha ya hili shindano".
Sio kwamba watu hawajali lakini watasubiri hata lini? What if atakua na matatizo mpaka 2015? Naomba unifikishie pole zangu kwa RUHanzwe Jr lakini mwambie zawadi za watu zinahitajika.
 
Last edited by a moderator:
Chilli unajali sherehe kuliko msiba eeh?
Chilli ulitoa bei gani kwanza? Niko kimama mzazi zaidi hapa.

Mamndenyi habari,
Ni kweli kwamba inawezekana huyu bwana akawa ana matatizo, lakini ifike tu hatua tuwe wawazi na kusema "Matatizo yake sasa yasiingiliane na shindano kwani yanaathiri shindano na kuomdoa kabisa ladha ya hili shindano".
Sio kwamba watu hawajali lakini watasubiri hata lini? What if atakua na matatizo mpaka 2015? Naomba unifikishie pole zangu kwa RUHanzwe Jr lakini mwambie zawadi za watu zinahitajika.
 
Last edited by a moderator:
Mamndenyi mie sio mtoto kama unavyo sema na nitafurahi kama utaacha kuniita mtoto.. Ki ukweli huyo Ruhazwe Jr ame wamefedhehesha watu, January ya mwaka huu aliingia humu Jf, kwanini alishindwa hata ku PM hata mshindi? Wote tuna matatizo asitumie kivuli cha matatizo ku zungusha mambo..
 
Last edited by a moderator:
Mamndenyi acha kutete bana, huyo jamaa hana ustaarabu, izo pesa ameshindwa kumpa huyo mleta taarifa wake humu? Yeye angekuja hapa jukwaani au ange m PM mshindi na kumueleza ukweli, kama iyo pesa aliitumia kipindi amepata matatizo angeeleweka na wala tusinge fikia hapa tulipo fikia, na hakuna anae furahia matatizo ya mwenzake, ILA MTU ASITUMIE MATATIZO YAKE KAMA MWAMVULI WA KUJIFICHIA
Chilli unajali sherehe kuliko msiba eeh?
Chilli ulitoa bei gani kwanza? Niko kimama mzazi zaidi hapa.
 
Last edited by a moderator:
Baba V nitasema nini kwa watu wasiokuwa na imani wala huruma kwa mwana jamii mwenzetu kama hivi. Baba V unakumbuka ulikaa nyuma ya nondo siku tatu tu
ukakuta tayari kuna uzi wa kukudhoofisha,
je ungekaa mwezi na miezi ingekuwaje.

Mi naona la maana wale ambao walimpa Ruhazwe JR hela zao
kwa ajili ya zawadi wajiseme ili warudishiwe hiyo fedha.

Kipekee naudhamini sana utu wa Ruhazwe JR,
na tena bado nina imani naye.

Unakosea sana kudhani kwamba kinachowauma watu ni pesa, la hasha, kwa nini hakuna updates..!? tusiendekeze utanzania wa Balali kazikwa heaven's gate, na kama wewe unajua kinachoendelea na umeshindwa kutueleza hapa basi unapaswa kuwa wa kwanza kulaumiwa, otherwise ungeendelea kubaki kimya
 
Last edited by a moderator:
Chilli unajali sherehe kuliko msiba eeh?
Chilli ulitoa bei gani kwanza? Niko kimama mzazi zaidi hapa.

Sasa haya ya mimi kutoa shilingi ngapi yametokea wapi? Ama nilichokitoa ndio tiketi ya kuhoji huu uhuni?
By the way, nilishiriki kumpigia kampeni mmoja wa washiriki pamoja na kupiga kura, hapo vipi, do I get The legitimacy to qn madam?
 
Last edited by a moderator:
Wewe unayejua matatizo yake kwanini usijitokeze na kuweka wazi lipi linamsibu??? hata kama hutosema ila ni vyema na haki ukaweka updates kwamba ndugu yetu alipatwa na tatizo flani tunaomba muwe wavumilivu. Nahisi hakuna mtu ambaye angehoji kulikoni!. Ila.mnavyokaa kimy abila kusema chochote mnaibua SINTOFAHAMU. nyingi kwa wana chitchat na wadhamini kwa ujumla...


Napokea lawama za PM nyingi kuwa nifunguke kama niligawana kiasi cha fedha na muandaaji... Hapo ndipo nakosa jibu la kuwapa...

Tafadhali mtuweke wazi ni nini kinaendelea hata kama fedha hazipo tutawaelewa kuliko kukaa kimya... Kila mtu anaweza kupata tatizo ila ni vyema mkaainisha kuwa, muandaaji alipata tatizo hivyo akatumia zile fedha... Hii itanisaidia kutoa majibu katika usumbufu niupatao...


Alamsiki......
 
Waliotoa pesa zao waseme ili zirudishwe,
nimejikomiti i will refund kama yupo aliyetoa
aseme atoe kielelezo pesa inatafutwa lakini
uhai hautafutwi,
leteni vielelezo vya hela mliyotoa.
 
Back
Top Bottom