Slave hakuna mtu anae pafahamu anapo ishi huyu ndugu?
Waliotoa pesa zao waseme ili zirudishwe,
nimejikomiti i will refund kama yupo aliyetoa
aseme atoe kielelezo pesa inatafutwa lakini
uhai hautafutwi,
leteni vielelezo vya hela mliyotoa.
Ndelejha sintofunga domo langu mpaka nitakapo pata muafaka wa hili maana hao hao ndio wakwanza kulalamika zidi ya ufisadi nchini,lakini inapo tokea mtu wao kafisadi pia huwa wa kwanza kusema aaah! Hiyo si rushwa ila ni takrima .pia ifahamike kuwa jf kwa ujumla wake ni pamoja na chit chat forum panapotokea uharifu ktk jukwaa lolote basi tututambue kuwa jamiiforum tunaimaliza kwa mikono yetu wenyewe sehemu ambayo kwa %kubwa ni kimbilio la wanyonge badala yake itakuwa ni ya kujificha waovu. Haijarishi hapa ni chit chat lakini pia kwa ujumla wake ni the home of great thinker. Mean's yote ni jf. Mamndenyi nakuomba utambue kuwa jf inatazamwa na watu wengi duniani jambo lolote tunalo andika wengi wanalisoma hivyo nasihi kuwa wewe na hao ndiyo mnao mtambua Ruhazwe JR ila wengine hatumtambui, nakuomba Mamnenyi usiegemee upande wa mwanao Ruhazwe JR ila utumie fikra zako kama mtu baki. Narudia tena hapa mpaka kieleweke tofauti na hapo nitaitisha maandamano makubwa yatakayo anzia jukwaa la chit chat joke sayansi jf store,jf doctor,siasa, economy,na majukwaa yote kisha kwa Invisible ambapo tutamuomba kibari cha kwenda kumalizia maandamano yetu kwa @maxene mero ambae ni jf founder.Wanaomtete wanafanya hivyo for reasons best known to them only, ni unafiki wanaoufanya,
Ndelejha sintofunga domo langu mpaka nitakapo pata muafaka wa hili maana hao hao ndio wakwanza kulalamika zidi ya ufisadi nchini,lakini inapo tokea mtu wao kafisadi pia huwa wa kwanza kusema aaah! Hiyo si rushwa ila ni takrima .pia ifahamike kuwa jf kwa ujumla wake ni pamoja na chit chat forum panapotokea uharifu ktk jukwaa lolote basi tututambue kuwa jamiiforum tunaimaliza kwa mikono yetu wenyewe sehemu ambayo kwa %kubwa ni kimbilio la wanyonge badala yake itakuwa ni ya kujificha waovu. Haijarishi hapa ni chit chat lakini pia kwa ujumla wake ni the home of great thinker. Mean's yote ni jf. Mamndenyi nakuomba utambue kuwa jf inatazamwa na watu wengi duniani jambo lolote tunalo andika wengi wanalisoma hivyo nasihi kuwa wewe na hao ndiyo mnao mtambua Ruhazwe JR ila wengine hatumtambui, nakuomba Mamnenyi usiegemee upande wa mwanao Ruhazwe JR ila utumie fikra zako kama mtu baki. Narudia tena hapa mpaka kieleweke tofauti na hapo nitaitisha maandamano makubwa yatakayo anzia jukwaa la chit chat joke sayansi jf store,jf doctor,siasa, economy,na majukwaa yote kisha kwa Invisible ambapo tutamuomba kibari cha kwenda kumalizia maandamano yetu kwa @maxene mero ambae ni jf founder.
Jioganaizini fasta basi ili mlete hizo zawadi za watu, sababu naona mnataka kupindisha ukweli na kutaka watu waonekane wanagombea mshiko, kitu ambacho si cha kweli.
Lakini kama mnataka iwe hivyo, let it be.
LIWALO NA LIWE, hakuna haja ya kuendelea kuelewesha watu wasiotaka kuelewa.
Remmy mie sina imani nae mpaka warembo wapewe chao.Nami nitasaidia hili...
Nina imani na Ruhwaze...
Nakumbuka wakati amelezwa alinambia, nilishindwa tu kwenda kumwona.
Na sidhani kama kuna mtu alikwisha toa fedha hizi. Na hata kama alitoa najua pengine zilimsaidia kwenye matibabu labda ameshindwa kureplace.
I will be the last one to judge him.
Zion Daughter safi sana kwa kutenguaMamito Yameisha.Mie naomba msamaha kwa kumtetea huyu Ruhazwe JR . Sio kwa kuwa natengua niliyoongea bali kwa kuwa natamani AMANI irejee.Namuomba Mungu huyu bwama arudi ili hii SINTOFAHAMU itoweke.
Always trustful and peaceful,
ZD (Binti Sayuni).