Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,313
- 2,657
Habari zenu wapendwa, binafsi nalazimika kuliandika hili hapa jamvini kwa sababu naliona halijakaa sawa na naamini wapo wengi tu wenye mtazamo kama wangu, kwa kuwa hapa ni chit chat naona ni vema tuambiane ukweli kwa macho makavu badala ya kuteta teta pembeni ili kuwekana sawa.
Tukumbuke kuwa tulikuwa na shindano la kumsaka miss chit chat mwishoni mwa mwaka jana, wana chit chat wote tulishiriki kwa namna moja ama nyingine, wapo walioshiriki kama washindani, wapo waliopiga kampeni, wapo waliojitolea kufadhili zawadi, wapo waliopiga kura na pia wapo walioshiriki kwa ku like na comments na hata kwa kuangalia tu.
Naamini wote tulishiriki sio ili tufaidike na zawadi atakazopata miss. la hasha , bali ni katika kuendeleza uhusiano na kuchangamana kupitia jukwaa hili kama ilivyokuwa kwa safari ya Tanga, white party n.k. Ruhazwe Jr alipobuni kuratibu hili shindano wengi tulifurahia na lilikuwa linapata ushabiki mkubwa hapa jukwaani, Lakini kwa kilichofanyika kwenye shindano la mwisho kinakera na hakifai.
Pamoja na kuelezwa kuwa Ruhazwe Jr alipatwa na matatizo lakini naamini bado kuna jambo angeweza kulifanya after sometime ikiwepo japo kutoa feedback ya nini kinachoendelea ili kuepusha watu kukosa imani nae, kitendo cha yeye kupotea mazima afu anakuja Mu-sir na kauli za danganya toto kinaudhi, Najua kuna watu watafyatuka hapa na kauli flani flani ila ieleweke kuwa tunatambua kuwepo na kutokea kwa matatizo, hakuna aliyeagana na Mungu kila mtu anafikwa na matatizo lakini unapokuwa unatazamwa na watu wengi ni vema ukaangalia namna ya kufanya ili kulinda hadhi na Imani ya watu kwako. Now it sounds like you've made a fool of us all. Tunapungukiwa Imani kwa matukio ya namna hii .
pia inaonyesha tarehe na siku ya mwisho ambayo aliingia kwa
Join Date
31st January 2011
Last Activity
28th January 2013 16:35
Wadhamini
- masopakyindi - Tshs 60,000/=
- Ruhazwe JR - Tshs 42,000/=
- Samaritan Tshs 11,000/=
- kitalolo - 10,000/=
- Mu-sir -Tsh 10,000/=
- Chimbuvu -Tsh 5,000/=
- Jiwe Linaloishi- Tsh 3,000/
- Slave - Tshs 2,000/=
JUMLA 143,000/=
View attachment chit chat.bmp
copy: cacico Remmy Madame B Ciello charminglady
@Arabela
wengine ......
Invisible na mod's wengine Baba V King'asti evelyne salt manoh na wengine kibao
CHIT CHAT MUCH LOVE.....
Tukumbuke kuwa tulikuwa na shindano la kumsaka miss chit chat mwishoni mwa mwaka jana, wana chit chat wote tulishiriki kwa namna moja ama nyingine, wapo walioshiriki kama washindani, wapo waliopiga kampeni, wapo waliojitolea kufadhili zawadi, wapo waliopiga kura na pia wapo walioshiriki kwa ku like na comments na hata kwa kuangalia tu.
Naamini wote tulishiriki sio ili tufaidike na zawadi atakazopata miss. la hasha , bali ni katika kuendeleza uhusiano na kuchangamana kupitia jukwaa hili kama ilivyokuwa kwa safari ya Tanga, white party n.k. Ruhazwe Jr alipobuni kuratibu hili shindano wengi tulifurahia na lilikuwa linapata ushabiki mkubwa hapa jukwaani, Lakini kwa kilichofanyika kwenye shindano la mwisho kinakera na hakifai.
Pamoja na kuelezwa kuwa Ruhazwe Jr alipatwa na matatizo lakini naamini bado kuna jambo angeweza kulifanya after sometime ikiwepo japo kutoa feedback ya nini kinachoendelea ili kuepusha watu kukosa imani nae, kitendo cha yeye kupotea mazima afu anakuja Mu-sir na kauli za danganya toto kinaudhi, Najua kuna watu watafyatuka hapa na kauli flani flani ila ieleweke kuwa tunatambua kuwepo na kutokea kwa matatizo, hakuna aliyeagana na Mungu kila mtu anafikwa na matatizo lakini unapokuwa unatazamwa na watu wengi ni vema ukaangalia namna ya kufanya ili kulinda hadhi na Imani ya watu kwako. Now it sounds like you've made a fool of us all. Tunapungukiwa Imani kwa matukio ya namna hii .
pia inaonyesha tarehe na siku ya mwisho ambayo aliingia kwa
Join Date
31st January 2011
Last Activity
28th January 2013 16:35
Wadhamini
- masopakyindi - Tshs 60,000/=
- Ruhazwe JR - Tshs 42,000/=
- Samaritan Tshs 11,000/=
- kitalolo - 10,000/=
- Mu-sir -Tsh 10,000/=
- Chimbuvu -Tsh 5,000/=
- Jiwe Linaloishi- Tsh 3,000/
- Slave - Tshs 2,000/=
JUMLA 143,000/=
View attachment chit chat.bmp
copy: cacico Remmy Madame B Ciello charminglady
@Arabela
wengine ......
Invisible na mod's wengine Baba V King'asti evelyne salt manoh na wengine kibao
CHIT CHAT MUCH LOVE.....