Kuhusu Ruhazwe Jr na Miss chit chat

Kuhusu Ruhazwe Jr na Miss chit chat

Last edited by a moderator:
Wewe ndo unasema kuhus uaminifu lkn wengi hapa wapo kipesa zaidi..
Anyway bado nasisitiza mashindano uchwara kama haya yasiendelee.Yanachafua hali ya hewa

Unakosea, siyo mashindano uchwara bali wadhamini uchwara ndio wasipewe nafasi.
Tatizo sio shindano bali ni wadhamini uchwara kina 'dude'.
Bora angeanzisha mme mwenza Chimbuvu ama hata tajiri noahism.
Halafu nakereka sana mtu anapodhani watu wanalalamikia hela, vijisenti gani hivyo vya watu kulalamikia?! Watu wanakasirikia kutapeliwa, mtu hata akikutapeli jero inakera kuliko ukipoteza 500k.
 
Last edited by a moderator:
Unakosea, siyo mashindano uchwara bali wadhamini uchwara ndio wasipewe nafasi.
Tatizo sio shindano bali ni wadhamini uchwara kina 'dude'.
Bora angeanzisha mme mwenza Chimbuvu ama hata tajiri noahism.
Halafu nakereka sana mtu anapodhani watu wanalalamikia hela, vijisenti gani hivyo vya watu kulalamikia?! Watu wanakasirikia kutapeliwa, mtu hata akikutapeli jero inakera kuliko ukipoteza 500k.

Leo humu kunoga.
Ila tuwe wakweli tu.
Ruhazwe JR akiri kuwa amefanya jambo baya.
Hao wanaomtetea mimi nawashangaa sana.
Uaminifu siku zote ni jambo dogo,lakini ukiliangalia kwa undani,ni kubwa na lina wigo mpana sana.
Kweli 143,000/= ikukimbize Jamvini?
Ruhazwe JR mimi namfahamu vizuri sana,tangu zamani, hana tabia hii, lakini sijui shetani gani kampitia.
Tuzidi kumuombea,labda ataibuka.
 
Last edited by a moderator:
Chilli huyu Zion Daughter na Mamndenyi wake nafikiri hawa elewi watu wanacho hitaji hapa jamvini, wao wamekaa kusingizia matatizo, yani hayo matatizo aliyo nayo yana mfanya hata simu ashindwe kupokea au kutuma hata ujumbe? Kha!
Unakosea, siyo mashindano uchwara bali wadhamini uchwara ndio wasipewe nafasi.
Tatizo sio shindano bali ni wadhamini uchwara kina 'dude'.
Bora angeanzisha mme mwenza Chimbuvu ama hata tajiri noahism.
Halafu nakereka sana mtu anapodhani watu wanalalamikia hela, vijisenti gani hivyo vya watu kulalamikia?! Watu wanakasirikia kutapeliwa, mtu hata akikutapeli jero inakera kuliko ukipoteza 500k.
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo inawezekana ni mradi wa familia eeh..!?? kweli ninavyowaona Zion Daughter na Mamndenyi

Ha ha ha..haya bana..Ninaomba Mungu akupe matatizo lukuki hadi ushindwe kulog in jf..manake tukiwaambia mtu unaweza pata matatizo hadi ukachanganyikiwa hamuelewi..
Halafu mimi ninachosema sio kuwa nafagilia tabia ya Lundenga wa jf kuingia mitini..bali tusiwe wepesi kuhukumu mpk tujidhibitishie Nyie mnaosema mnamfahamu si muende mkajue tatizo pengine mnaweza geuka kuwa msaada kwake.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom