Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,024
- 1,612
Ukiachana na kuendelea kuwalaumu madereva, bado barabara zetu ni changamoto kubwa kwa usalama wa watumizi wa barabara hizo, barabara nyingi ni ni nyembamba (unforgiving roads )zisizo kuwa na mbadala ambazo zinashindwa kupunguza idadi ya vifo na majeruhi pale ambapo dereva atafanya makosa.
-
Japokuwa ukweli ni kwamba siku zote binadamu hata acha kufanya makosa, sheria za barabarani ni lazima zifuatwe na mamlaka husika kuwa macho kushughulikia utekelezaji na kuchukua hatua stahiki pale ambapo ukiukwaji utajitokeza.
-
Moja kati ya hatua zilizochukuliwa dhidi ya madereva wazembe ni kuwanyang’anya leseni, lakini je,hii itakuwa na faida gani pale ambapo bado miundo mbinu ni mibovu na hatarishi?
Kwa mfano barabara ya morogoro ni kati ya barabara ambazo zimegharimu maisha ya watu wengi sana ndani ya muda mfupi. Hii ni kutokana na ongezeko la watumizi wa barabara hiyo ambayo imekuwa nyembemba sana na imekua ngumu kwa madereva ku over take bila kusababisha ajali. Barabara hii ikipanuliwa ajali zitapungua kwa kiasi kikubwa sana
-
Mashimo, viraka bumps kubwa na wembamba wa barabara ndio vyanzo vikubwa vya ajali za barabarani kwa sasa, je mtazamo wako ni upi kuhusu suala hili?
-
Japokuwa ukweli ni kwamba siku zote binadamu hata acha kufanya makosa, sheria za barabarani ni lazima zifuatwe na mamlaka husika kuwa macho kushughulikia utekelezaji na kuchukua hatua stahiki pale ambapo ukiukwaji utajitokeza.
-
Moja kati ya hatua zilizochukuliwa dhidi ya madereva wazembe ni kuwanyang’anya leseni, lakini je,hii itakuwa na faida gani pale ambapo bado miundo mbinu ni mibovu na hatarishi?
Kwa mfano barabara ya morogoro ni kati ya barabara ambazo zimegharimu maisha ya watu wengi sana ndani ya muda mfupi. Hii ni kutokana na ongezeko la watumizi wa barabara hiyo ambayo imekuwa nyembemba sana na imekua ngumu kwa madereva ku over take bila kusababisha ajali. Barabara hii ikipanuliwa ajali zitapungua kwa kiasi kikubwa sana
-
Mashimo, viraka bumps kubwa na wembamba wa barabara ndio vyanzo vikubwa vya ajali za barabarani kwa sasa, je mtazamo wako ni upi kuhusu suala hili?