JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Barabara ya Tegeta Kibaoni mpaka Mbezi kupitia Madale Jijini Dar es Salaam ina changamoto ya kutokea mtukio ya ajali, kuna baadhi ya watu wamepoteza maisha kutokana na ajali hizo.
Tatizo zaidi lipo hasa kipande cha kuanzia Wazo Kontena hadi Flamingo, magari yanakimbia kwa kasi sana, tunaomba Serikali ituwekee matuta angalau mwendokasi wa magari na pikipiki upungue kwa kuwa umekuwa chanzo cha matukio mengi ya ajali.
Tatizo zaidi lipo hasa kipande cha kuanzia Wazo Kontena hadi Flamingo, magari yanakimbia kwa kasi sana, tunaomba Serikali ituwekee matuta angalau mwendokasi wa magari na pikipiki upungue kwa kuwa umekuwa chanzo cha matukio mengi ya ajali.