Njia sahihi ya kumaliza ajali barabarani

fungi06

JF-Expert Member
Jul 1, 2020
633
857
Ajali za barabarani zimekuwa zikileta kilio kwenye familia zetu nyingi hapa Tanzania na kupoteza wapendwa wetu wengi.

Huu mwaka tuu nimepoteza marafiki na ndugu watatu kwa ajali tuu za barabarani na wote wameacha watoto na familia zinazowaangalia. Hii ni kwangu na ninajua kwa wastani wa nchi yenye watu milioni 60 na zaidi, sio mimi pekee niliekumbwa na misiba ya wahanga wa ajali barabarani. Familia nyingi zitakuwa zinaugulia mfano; ndugu yetu pia aliegongwa na kunusurika na mwendo kasi miezi kazaa hapo nyuma.

============

Njia itakayosaidia mno kupunguza ajali;

1. Mifumo ya cctv za barabarani
Naona serikali imejitahidi na taasisi zake za barabarani kwa kuweka mafungu ya pesa kwaajili ya kuandaa walimu na syllabus kufundishia namna yakupunguza ajali barabarani.

Sikatai kuwa ni smart moves lakini hiyo kamwe haitopunguza ajali barabarani milele, labda itaongeza kujitambua mapema kwa wanafunzi walengwa. Ila tukiangalia hata nchi zilizo endelea zenye wasomi wa hali ya rocket kwenda Mars sio elimu tuu inayotolewa bali pia na kamera zinafungwa kila barabara kuzuia uendeshaji mbovu.

Kwanini kamera?
Psychology inaonyesha kuwa mtu akijua anaangaliwa au anarekodiwa hupunguza error kutokea na kuongeza kujitambua kwa kiasi.

Tumekuwa tukiona baada ya saa 22 jioni watu wakishajua polisi wamepumzika basi wao huwa ndio muda wa kupima uwezo wa gari kukimbia na kujiamulia kuvunja sheria kwa sababu wanakuwa hawaonekani.

Mfano, marehemu rafiki yangu aligongwa na magari ya mzigo huko Holili Moshi pembeni ya barabara ila hawakumkamata msababisha ajali, inasemekana gari lilikuwa linausajili wa namba za Kenya🤔.

Inauma sana kupoteza kaka, rafiki, baba, ndugu kwa kuporwa nafsi yake na dereva asie makini na bado dereva huyo akafanikiwa kukimbia!

Huu ni muda wa kuwekeza nguvu mno kwenye teknologia, tunaitaji safety control measures, CCTV kamera zikifungwa basi itakuwa rahisi mno kwa polisi na madereva kupunguza ajali vile vile pia kupunguza vifo na bajeti za hospitali za gafla.

Mimi huwezi niambia mtu alale hospital miezi 9 na kuacha kuihudumia familia yake kwa kosa la dereva mzembe ambae angejua anaangaliwa na kamera angebehave kama human.

Kamera za barabarani ni mwarobaini wa ajali za barabarani, elimu inafwatwa after discipline tendered.
 
Ajali za barabarani zimekua zikileta kilio kwenye familia zetu nyingi hapa Tanzania nakupoteza wengi wapendwa wetu.

Huu mwaka tuu nimepoteza marafiki na ndugu watatu kwa ajali tuu za barabarani! Na wote wameacha watoto na familia zinazowaangalia. Hii ni kwangu na ninajua kwa wastani wa nchi yenye watu milioni 60 na zaidi sio mimi pekee niliekumbwa na misiba ya waanga wa ajali barabarani, zitakua familia nyingi zinaugulia mfano: ndugu yetu pia aliegongwa nakunusurika na mwendo kasi miezi kazaa hapo nyuma.

============

Njia ambazo zitasaidia mno kuounguza ajali
1. Mifumo ya cctv za barabarani
Naona serikali imejitaidi na taasisi zake za barabarani kwa kujitaidi kuweka mafungu ya pesa kwaajili yaku andaa walimu na syllabus kwa ajili yakufundishia namna yakupunguza ajali barabarani. Sikatai kua ni smart moves lakini hio kamwe haitopunguza ajali barabarani milele labda itaongeza kujitambua mapema kwa wanafunzi walengwa. Ila tukiangalia ata nchi zilizo endelea zenye wasomi wa hali ya rocket kwenda Mars sio elimu tuu inayotolewa bali pia na kamera zinafungwa kila barabara kuzuia uendeshaji mbovu

Kwanini kamera?
Psychology inaonyesha kua mtu akijua anaangaliwa au anarekodiwa hii hupunguza error kutokea nakuongeza kujitambua kwa kiasi.

Tumekua tukiona baada ya saa 22 jioni watu wakishajua polisi wamepumzika basi wao huwa ndo mda wakupima uwezo wa gari kukimbia na kujiamulia kuvunja sheria kwa sababu wanakua hawaonekani. Mfano. marehemu rafiki yangu aligongwa na magari ya mzigo huko holili moshi pembeni ya barabara ila hawakumkamata msababisha ajali ila inasdmekana gari lilikua linausajili wa namba za kenya🤔

Inauma sana kupoteza kaka, rafiki, baba, ndugu kwa kuporwa nafsi yake na dereva asie makini. Na bado dereva asie makinj akafanikiwa kukimbia!

Huu ni mda wakuwekeza nguvu mno kwenye teknologia, tunaitaji safety control measures, CCTV kamera zikifungwa basi itakua rahisi mno kwa polisi na madereva kupunguza ajali vile vile pia kupunguza vifo na bajeti za hospital za gafla, mimi uwezi niambia mtu alale hospital miezi 9 nakuacha kuiudumia familia yake kwa kosa la dereva mzembe ambae angejua anaangaliwa na kamera angebehave kama human.

Kamera za barabaranj ni mwarobaini wa ajali za barabarani, elimu inafwatwa after discipline tendered.

Atalaumiwa sana dobi, kaniki rangi yake:

Ajali: Tuambiane ukweli dhahama hili lituepuke
 
Mkuu embu dadavua hapo kwenye lawama ya dobi na kaniki

Mtatafuta sababu zote ila tatizo liko kwenye elimu. Si elimu ya kutoelewa polisi au veta.

Ajira hazipo wapewe mabasi na malori graduates. Walipwe vizuri.

Ajali zitakwisha.
 
Mtatafuta sababu zote ila tatizo liko kwenye elimu. Si elimu ya kutoelewa polisi au veta.

Ajira hazipo wapewe mabasi na malori graduates. Walipwe vizuri.

Ajali zitakwisha.
Elimu peke yake aisaidii kabisa yani, kunaitajika kitu zaidi ya elimu
 
Gari kutoka kiwandani lisiwe na uwezo wa kwenda mwendo zaidi ya 80kph
Mkuu hii imekaa poa sana lakini speed sio shida sana, maana kuna gari zina speed ila zina stamina na madereva wanaoziendesha wapo makini mno
 
Gari kutoka kiwandani lisiwe na uwezo wa kwenda mwendo zaidi ya 80kph
Mkuu hii imekaa poa sana lakini speed sio shida sana, maana kuna gari zina speed ila zina stamina na madereva wanaoziendesha wapo makini mno
Wako wangapi hao madereva ambao wako makini?

Huyo dereva aliye speed kali akichomekewa na mwezie asiyekuwa makini huyo dereva makini aliye mwendo mkali atafanya nini?
 
1. elimu kwa madereva wote na wenzao wa boda na bajaji-watu wawe na mafunzo na leseni halali na sio hizi za mchongo za kuletewa nyumbani.

2. elimu kwa raia watumia barabara/waenda kwa miguu-watu wanaogopa mvua lakn hawaogopi vyombo vya moto mtu anang'ang'aniza kupishana na magari wkt yuko kwa mguu eti kwa visingizio 'dereva ananiona'. asichojua ni kuwa dereva anaenda kwa formula na ana mengi ya kuangalia awapo barabarani anaweza asikuone ww unaevuka bila utaratibu.

3. polisi trafiki waache rushwa-mfanya kosa ashughuliwe iyo itafanya watu waogope kufanya makosa kizembe. gari haijafanyiwa service imeleta ajali, unakamata dereva na mmiliki wake tia lupango uko fulstop!
 
1. elimu kwa madereva wote na wenzao wa boda na bajaji-watu wawe na mafunzo na leseni halali na sio hizi za mchongo za kuletewa nyumbani.

2. elimu kwa raia watumia barabara/waenda kwa miguu-watu wanaogopa mvua lakn hawaogopi vyombo vya moto mtu anang'ang'aniza kupishana na magari wkt yuko kwa mguu eti kwa visingizio 'dereva ananiona'. asichojua ni kuwa dereva anaenda kwa formula na ana mengi ya kuangalia awapo barabarani anaweza asikuone ww unaevuka bila utaratibu.

3. polisi trafiki waache rushwa-mfanya kosa ashughuliwe iyo itafanya watu waogope kufanya makosa kizembe. gari haijafanyiwa service imeleta ajali, unakamata dereva na mmiliki wake tia lupango uko fulstop!
Na kamera ziwepo njiani kusaidia awerness
 
Na kamera ziwepo njiani kusaidia awerness
unaeza kuwa sahihi lakn ukiwa na kamera hata kila mita 100 kwa trafiki hawa wanaoendekeza rushwa ni sawa hakuna ulichofanya.

hlf kamera zinanunuliwa kwa ela nyingi utaambiwa iyo ela hakuna au kuna vipaumbele vingine vya msingi km madawa inabidi vinunuliwe.
 
Magari mazuri na yenye Ubora wanatumia wachache wengi wetu tunatumia haya machakavu na hayana hata Usalama wa walio ndani pindi ikitokea Ajali zipo gari ikifikisha mwendokasi wa juu tu inahama njia haina balance kabisa Watanzania tunakimbilia magari yenye kodi ndogo ili mradi yatusaidie kutoka eneo moja na kwenda eneo lingine huku tumesahau kuwa hayo magari hayashiki bara bara hili swala ni la kitaalamu sana na wanaohusika na hili hawawezi kulisemea maana inatakiwa wapunguze Kodi kunusulu maisha ya Watanzania ingawaje haiwezekani..
 
Ajali za barabarani zimekuwa zikileta kilio kwenye familia zetu nyingi hapa Tanzania na kupoteza wapendwa wetu wengi.

Huu mwaka tuu nimepoteza marafiki na ndugu watatu kwa ajali tuu za barabarani na wote wameacha watoto na familia zinazowaangalia. Hii ni kwangu na ninajua kwa wastani wa nchi yenye watu milioni 60 na zaidi, sio mimi pekee niliekumbwa na misiba ya wahanga wa ajali barabarani. Familia nyingi zitakuwa zinaugulia mfano; ndugu yetu pia aliegongwa na kunusurika na mwendo kasi miezi kazaa hapo nyuma.

============

Njia itakayosaidia mno kupunguza ajali;

1. Mifumo ya cctv za barabarani
Naona serikali imejitahidi na taasisi zake za barabarani kwa kuweka mafungu ya pesa kwaajili ya kuandaa walimu na syllabus kufundishia namna yakupunguza ajali barabarani.

Sikatai kuwa ni smart moves lakini hiyo kamwe haitopunguza ajali barabarani milele, labda itaongeza kujitambua mapema kwa wanafunzi walengwa. Ila tukiangalia hata nchi zilizo endelea zenye wasomi wa hali ya rocket kwenda Mars sio elimu tuu inayotolewa bali pia na kamera zinafungwa kila barabara kuzuia uendeshaji mbovu.

Kwanini kamera?
Psychology inaonyesha kuwa mtu akijua anaangaliwa au anarekodiwa hupunguza error kutokea na kuongeza kujitambua kwa kiasi.

Tumekuwa tukiona baada ya saa 22 jioni watu wakishajua polisi wamepumzika basi wao huwa ndio muda wa kupima uwezo wa gari kukimbia na kujiamulia kuvunja sheria kwa sababu wanakuwa hawaonekani.

Mfano, marehemu rafiki yangu aligongwa na magari ya mzigo huko Holili Moshi pembeni ya barabara ila hawakumkamata msababisha ajali, inasemekana gari lilikuwa linausajili wa namba za Kenya.

Inauma sana kupoteza kaka, rafiki, baba, ndugu kwa kuporwa nafsi yake na dereva asie makini na bado dereva huyo akafanikiwa kukimbia!

Huu ni muda wa kuwekeza nguvu mno kwenye teknologia, tunaitaji safety control measures, CCTV kamera zikifungwa basi itakuwa rahisi mno kwa polisi na madereva kupunguza ajali vile vile pia kupunguza vifo na bajeti za hospitali za gafla.

Mimi huwezi niambia mtu alale hospital miezi 9 na kuacha kuihudumia familia yake kwa kosa la dereva mzembe ambae angejua anaangaliwa na kamera angebehave kama human.

Kamera za barabarani ni mwarobaini wa ajali za barabarani, elimu inafwatwa after discipline tendered.
Kubwa kabisa ni kujenga barabara sio kujenga mifano ya barabara fikiria barabara zingekuwa zimetenganishwa kila site na upande wake afu zipo 2 au 3 lanes kila upande ingekuwaje tungepunguza sana ajali
 
Kubwa kabisa ni kujenga barabara sio kujenga mifano ya barabara fikiria barabara zingekuwa zimetenganishwa kila site na upande wake afu zipo 2 au 3 lanes kila upande ingekuwaje tungepunguza sana ajali
Kuna viraka vinaachwa ukuu mtaani now ni mwezi wa 3 aisee kwann lakin?
 
unaeza kuwa sahihi lakn ukiwa na kamera hata kila mita 100 kwa trafiki hawa wanaoendekeza rushwa ni sawa hakuna ulichofanya.

hlf kamera zinanunuliwa kwa ela nyingi utaambiwa iyo ela hakuna au kuna vipaumbele vingine vya msingi km madawa inabidi vinunuliwe.
Traffik waongezewe na mishaara jaman, yani elfy 20 par day?? Huku nako nikuchochea rushwa tu
 
Back
Top Bottom