Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 356
- 550
Kuna maeneo yenye Highway kama barabara ya Kimara - Mbezi, gari ni nyingi na kun amakutano ya Temboni na Suka na kwa Msuguri taa haziwakagi basi ajali hutokea sana kwasababu ya Madereva kutojali makutano hayo.
Mamlaka naona haijawajibika ipasavyo, taa haziwaki kwa wiki nzima na wamekaa wanazunguka na viti kabisa. Baada ya kuzunguka na kujua ubora wa taa hizo ili kuepusha ajali zinazo epukika wao wametulia kabisa.
Ajali zikitokea watatoa ripoti ila taa kutofanya kazi huweI ikuta kama sababu ya ajali za barabarani
Mamlaka naona haijawajibika ipasavyo, taa haziwaki kwa wiki nzima na wamekaa wanazunguka na viti kabisa. Baada ya kuzunguka na kujua ubora wa taa hizo ili kuepusha ajali zinazo epukika wao wametulia kabisa.
Ajali zikitokea watatoa ripoti ila taa kutofanya kazi huweI ikuta kama sababu ya ajali za barabarani