Inavujaje?Hataweza kuongeza mishahara kama alivyoahidi maana hazina inavuja atakuja na sababu zingine mtabaki macho wazi
Inavujaje?Hataweza kuongeza mishahara kama alivyoahidi maana hazina inavuja atakuja na sababu zingine mtabaki macho wazi
Wanachama wa vyama husika nao hawajui wajibu wao! Ni wale wale walalamishi wa pembeni!Kama vyama vya upinzani vinatafuta haki zao kupitia mazungumzo na CCM.
Hata Watumishi wanastahili kupita njia hiyo, maana vyama vya wafanyakazi sasa hivi havimsaidii tena mtumishi.
Na kibaya zaidi, vimeteka USEMAJI kwahiyo Mtumishi Hana sehemu ya kusemea.
Na hata kama Rais akiongeza mishahara, haitasaidia sana maana hivi vyama vinakata Makato kwa njia ya Asilimia, maana yake mshahara wako ukiongezeka na wao wanaongeza Makato.
Muhimu Ni kuendelea kupiga kelele zaidi zaidi kwasababu bila hivyo hali itakuwa mbaya zaidi.Hili jambo tumelipigia sana kelele huko nyuma, lakini utekelezaji wake 0! Yaani mpaka leo huwa sipati majibu ya sababu hasa za kuwakata wafanyakazi 2% ya basic salary kila mwezi kwa ajili eti ya ada ya uanachama!
Huu ni wizi wa wazi kabisa kwa sababu mishahara ya hao wanachama hutofautiana, huku madai yao/ haki zao kwa mwajiri yakifanana/zikifanana.
Ifikie wakati serikali ya ccm iachane na hii tabia ya kulea mafisadi/majambazi kwenye jamii, wakiwemo hawa viongozi wa vyama vya wafanyakazi.
Waziri mwenye dhamana apeleke muswada bungeni. Hii sheria kandamizi ibadilishwe, na hivyo wafanyakazi wote walipe kiwango sawa cha ada kila mwezi! Badala ya huu utaratibu wa kifisadi wa kulipishana kwa % ya mshahara, halafu unakuta hela zenyewe zinatumika kulipana tu posho na kuendeshea vikao vya kipuuzi puuzi tu.
Namaanisha kuwa wanachama dhaifu huzaa mifumo dhaifu inayoleta viongozi miungu watu!Unamaanisha nini?
Sidhani kama unajua unachozungumza.Namaanisha kuwa wanachama dhaifu huzaa mifumo dhaifu inayoleta viongozi miungu watu!
Vyama ni vya kwao. So inategewa wao ndo wawe mstari wa mbele kufanya maamuzi magumu.
Wawe very #disruptive waache kuishi kwa mazoea!
Na makato ya asilimia 15 bodi ya mikopoVyama vya wafanyakazi ni allies wa ccm... Itakuwa ngumu sana!
Wazo huru: Zungumzia vile vile mafao na PAYE!
Hivi nilisahauje huu ukatili na wizi wa JPM??Na makato ya asilimia 15 bodi ya mikopo
Uchumi unapanda kwenye majukwaa ya siasa ila likija suala la maslahi ya walioupandisha huo uchumi(Wafanyakazi/watumishi utaambiwa subirini uchumi ukue.Hataweza kuongeza mishahara kama alivyoahidi maana hazina inavuja atakuja na sababu zingine mtabaki macho wazi
Kelele hazitofaa kitu kwa viongozi ambao hawana masikio. Fanyeni kwa vitendo waone!Muhimu Ni kuendelea kupiga kelele zaidi zaidi kwasababu bila hivyo hali itakuwa mbaya zaidi.
Safi sana... MoseKing umeona? Kumbe matendo yanawezekana. Chukueni hatua stahiki. Acheni visingizio au kuhamishia matatizo yenu kwenye mamlaka nyingine!Mjinga mwache aendelee kufanyiwa ujinga.
Mimi huu ni mwaka wa saba sijawahi kukatwa na hivyo vyama vya kijinga.
Nililetewa form ya TUGHE nikaitupa kidizaini.
Hii mifuko haimkati mtu kwa lazima.
Huo ndio ukweli, sema unapoanza kazi wanakuja wapumbavu kuwapigia promo nyingi ndipo mnaingia kingi. Kutoka pia mnatishwa.
Walimu mpaka mifuko ya hifadhi ya jamii walikuwa wanachaguliwa na mabwenyenye waliolamba 10%.
Naunga mkono hoja makato yawe flatrate kwa sababu makato kwa asilimia ni uonevu kwani hakuna huduma ya ziada anayoipata anayekatwa fedha nyingi ukilinganisha na yule anayekatwa kdgoKumbuka vyama vya wafanyakazi hukata kwa asilimia.
Kwahiyo hata ukiongezwa mshahara, na vyama vya wafanyakazi na wao wanaongeza Makato.
Kwahiyo, utajikuta Hakuna Cha maana utakachopata.
Suala hili linapaswa kuwa HIARI.
1) Sheria ya ajira na mahusiano kazini ifanyiwe marekebisho, ili Ada ya UWAKALA ifutwe au iwekwe kiwango ambacho Ni FLAT RATE, isiwe Asilimia.
2) Watumishi wawe na hiari ya kujiunga na vyama wanavyivipenda na kuridhia Makato kwenye mishahara yao.
Kama hukatwi basi shukuru Mungu, na kaa ukijua kuwa lazima watakuja kukukata tu whether wewe Ni Mwanachama au siyo Mwanachama.Mjinga mwache aendelee kufanyiwa ujinga.
Mimi huu ni mwaka wa saba sijawahi kukatwa na hivyo vyama vya kijinga.
Nililetewa form ya TUGHE nikaitupa kidizaini.
Hii mifuko haimkati mtu kwa lazima.
Huo ndio ukweli, sema unapoanza kazi wanakuja wapumbavu kuwapigia promo nyingi ndipo mnaingia kingi. Kutoka pia mnatishwa.
Walimu mpaka mifuko ya hifadhi ya jamii walikuwa wanachaguliwa na mabwenyenye waliolamba 10%.
Kama hukatwi basi shukuru Mungu, na kaa ukijua kuwa lazima watakuja kukukata tu whether wewe Ni Mwanachama au siyo Mwanachama as long as Sheria ya Ajira na Mahusiano kazini itaendelea kuwa kama ilivyo sasa hivi.Mjinga mwache aendelee kufanyiwa ujinga.
Mimi huu ni mwaka wa saba sijawahi kukatwa na hivyo vyama vya kijinga.
Nililetewa form ya TUGHE nikaitupa kidizaini.
Hii mifuko haimkati mtu kwa lazima.
Huo ndio ukweli, sema unapoanza kazi wanakuja wapumbavu kuwapigia promo nyingi ndipo mnaingia kingi. Kutoka pia mnatishwa.
Walimu mpaka mifuko ya hifadhi ya jamii walikuwa wanachaguliwa na mabwenyenye waliolamba 10%.
Kujiunga na chama cha wafanyakazi ni HIYARI kwaio unaweza kujitoa.Ni ukweli ulio wazi kwamba sisi kama Watumishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tunapitia kipindi kigumu hasa kiuchumi na Cha muda mrefu sasa.
Licha ya changamoto nyingi ambazo Watumishi wamekuwa wakipitia, hali iliyopelekea Watumishi kuamua kuwa pamoja katika vyama kwaajili ya kupambania maslahi yao, leo vyama hivi vimegeuka "Janga Jipya" la kuwumiza Watumishi kiuchumi. Inasikitisha sana!
Rais wetu Mpendwa, tunajua unatupenda Watumishi wako na unatufikiria kwa mema lakini huku kwetu, Kuna mzimu ambao hata kama ikitokea ukaongeza chochote siku ya Mei Mosi hakitasaidia sana, maana tayari Kuna Mzimu wa Vyama vya wafanyakazi Tanzania ambassador hukata 2% ya mshahara wa mfanyakazi kwa LAZIMA" kwa jina la Ada ya UWAKALA.
Hii Ada ya UWAKALA imekuwa Ni tatizo kubwa mnoo, kiasi kwamba sasa hivi Hakuna tofauti ya Mwanachama rasmi wa chama Cha wafanyakazi na asiye Mwanachama.
Mheshimiwa Rais, Watumishi wako unaowaamini hasa Wakurugenzi ( DEDs ) wamekuwa sehemu ya mchezo huu kwasababu wengi wao ni wanufaika wa mchezo huu.
Sasa hivi imegeuka trends kwa baadhi ya Watumishi kuanzia vyama vya wafanyakazi, na kuanza kukata mishahara ya Watumishi kwa jina la ADA YA UWAKALA hasa wale wasio wanachama. Ada hii hukatwa 2%.
Inaumiza sana kuona Watumishi wanaumizwa na watu ambao walitemea watakuwa msaada kwao.
Mheshimiwa Rais, kwa mfano ukitaka kunua shida za Watumishi unawasikiliza Hawa vyama vya wafanyakazi, Maumivu anayopewa huyu mtumishi na hivi vyama vya wafanyakazi utasikia wapi ?
Katika hili, Mheshimiwa Rais tunakuomba kuelekea Mei
uliangalie suala hili kwa jicho HURUMA.
1) Sheria ya ajira na mahusiano kazini (2004) ifanyiwe marekebisho na Ada ya UWAKALA ifutwe au iwe kiwango kimoja ( Flat rate ).
2) Vyama vya wafanyakazi visikate mishahara ya Watumishi kwa LAZIMA kwa namna yoyote wale ambao siyo wanachama wao.
Ni matumaini ya Watumishi kiwa utasikia kilio Hiki maana wewe Ni Rais Msikivu.
Nalisema hili kwasababu Mei Mosi huandaliwa na TUCTA ambao ndio wanufaika na Wakandamizaji wa Watumishi, hivyo inakuwa Ni ngumu Watumishi kusema wakasikika.
Asante.