Kuelekea Mei Mosi 2022: Rais Samia, Waokoe Watumishi wako Dhidi ya Dhulma Kali ya Makato ya Lazima ya Mshahara kutoka kwa Vyama vya Wafanyakazi

Kujiunga na chama cha wafanyakazi ni HIYARI kwaio unaweza kujitoa.

Mi nliunganishwa TUGE nikakatwa miezi4 nikaandika barua ya kujitoa na nikatolewa.

Vyama vya wafanyakazi havina msaada kwa wafanyakazi tangu enzi za JPM ila huko nyuma enzi za JK vilikuwa msaada sana
Hili suala nalijibu sana huko juu lakini sijui kwanini kunaeleweka inakuwa ngumu.

Jamani, hapa nazungumzia zaidi ADA ya UWAKALA.

Hii utakatwa tu uwe Mwanachama au usiwe Mwanachama.

Na hili lipo, na wewe ambaye hukatwi sasa watakuja kukukata tu labda kama Sheria ya ajira na mahusiano kazini iwe imefuta hii Ada.

Na hapa nazungumzia zaidi wale ambao siyo wanachama lakini wanakatwa haya makato.
 
Hili suala nalijibu sana huko juu lakini sijui kwanini kunaeleweka inakuwa ngumu.

Jamani, hapa nazungumzia zaidi ADA ya UWAKALA.

Hii utakatwa tu uwe Mwanachama au usiwe Mwanachama.

Na hili lipo, na wewe ambaye hukatwi sasa watakuja kukukata tu labda kama Sheria ya ajira na mahusiano kazini iwe imefuta hii Ada.

Na hapa nazungumzia zaidi wale ambao siyo wanachama lakini wanakatwa haya makato.
Unaonekana unanyanyaswa kazini kwako.

ELRA2004 inakuhuje? Wakati mabadiliko ya sheria ya Utumishi wa Umma Sura 298 ya mwaka 2019 imewaondoa watumishi wa Umma kwenye ERLA 04.

Halafu ADA YA UWAKALA inatifautianaje na ADA ya MWANACHAMA?
Watumishi wa Halmashauri mnaburuzwa sana
 
Ni ukweli ulio wazi kwamba sisi kama Watumishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tunapitia kipindi kigumu hasa kiuchumi na Cha muda mrefu sasa.

Licha ya changamoto nyingi ambazo Watumishi wamekuwa wakipitia, hali iliyopelekea Watumishi kuamua kuwa pamoja katika vyama kwaajili ya kupambania maslahi yao, leo vyama hivi vimegeuka "Janga Jipya" la kuwumiza Watumishi kiuchumi. Inasikitisha sana!

Rais wetu Mpendwa, tunajua unatupenda Watumishi wako na unatufikiria kwa mema lakini huku kwetu, Kuna mzimu ambao hata kama ikitokea ukaongeza chochote siku ya Mei Mosi hakitasaidia sana, maana tayari Kuna Mzimu wa Vyama vya wafanyakazi Tanzania ambassador hukata 2% ya mshahara wa mfanyakazi kwa LAZIMA" kwa jina la Ada ya UWAKALA.



Hii Ada ya UWAKALA imekuwa Ni tatizo kubwa mnoo, kiasi kwamba sasa hivi Hakuna tofauti ya Mwanachama rasmi wa chama Cha wafanyakazi na asiye Mwanachama.



Mheshimiwa Rais, Watumishi wako unaowaamini hasa Wakurugenzi ( DEDs ) wamekuwa sehemu ya mchezo huu kwasababu wengi wao ni wanufaika wa mchezo huu.



Sasa hivi imegeuka trends kwa baadhi ya Watumishi kuanzia vyama vya wafanyakazi, na kuanza kukata mishahara ya Watumishi kwa jina la ADA YA UWAKALA hasa wale wasio wanachama. Ada hii hukatwa 2%.

Inaumiza sana kuona Watumishi wanaumizwa na watu ambao walitemea watakuwa msaada kwao.

Mheshimiwa Rais, kwa mfano ukitaka kunua shida za Watumishi unawasikiliza Hawa vyama vya wafanyakazi, Maumivu anayopewa huyu mtumishi na hivi vyama vya wafanyakazi utasikia wapi ?



Katika hili, Mheshimiwa Rais tunakuomba kuelekea Mei
uliangalie suala hili kwa jicho HURUMA.

1) Sheria ya ajira na mahusiano kazini (2004) ifanyiwe marekebisho na Ada ya UWAKALA ifutwe au iwe kiwango kimoja ( Flat rate ).



2) Vyama vya wafanyakazi visikate mishahara ya Watumishi kwa LAZIMA kwa namna yoyote wale ambao siyo wanachama wao.



Ni matumaini ya Watumishi kiwa utasikia kilio Hiki maana wewe Ni Rais Msikivu.

Nalisema hili kwasababu Mei Mosi huandaliwa na TUCTA ambao ndio wanufaika na Wakandamizaji wa Watumishi, hivyo inakuwa Ni ngumu Watumishi kusema wakasikika.



Asante.
Si mjitoe?
 
Unaonekana unanyanyaswa kazini kwako.

ELRA2004 inakuhuje? Wakati mabadiliko ya sheria ya Utumishi wa Umma Sura 298 ya mwaka 2019 imewaondoa watumishi wa Umma kwenye ERLA 04.

Halafu ADA YA UWAKALA inatifautianaje na ADA ya MWANACHAMA?
Watumishi wa Halmashauri mnaburuzwa sana
Weee jamaa unaongea sana.

Weka Happ hayo mabadiliko ya hiyo ERLA04.

Kwasababu unaongea sana utafikiri Watumishi wa Halmashauri pekee ndio wahanga wa tatizo hili.
 
Weee jamaa unaongea sana.

Weka Happ hayo mabadiliko ya hiyo ERLA04.

Kwasababu unaongea sana utafikiri Watumishi wa Halmashauri pekee ndio wahanga wa tatizo hili.
Mi ni mtumishi tena wa kitambo na sikatwi we unakwama wapi?

Print salary slip ambatanisha na barua ya kujitoa mpelekee HR wako.

Unalalamikia kitu ambacho kinawezekana ngazi ya ofisi yako ndio Rais aitatue? Nini maana wa ugatuaji
 
Ni ukweli ulio wazi kwamba sisi kama Watumishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tunapitia kipindi kigumu hasa kiuchumi na Cha muda mrefu sasa.

Licha ya changamoto nyingi ambazo Watumishi wamekuwa wakipitia, hali iliyopelekea Watumishi kuamua kuwa pamoja katika vyama kwaajili ya kupambania maslahi yao, leo vyama hivi vimegeuka "Janga Jipya" la kuwumiza Watumishi kiuchumi. Inasikitisha sana!

Rais wetu Mpendwa, tunajua unatupenda Watumishi wako na unatufikiria kwa mema lakini huku kwetu, Kuna mzimu ambao hata kama ikitokea ukaongeza chochote siku ya Mei Mosi hakitasaidia sana, maana tayari Kuna Mzimu wa Vyama vya wafanyakazi Tanzania ambassador hukata 2% ya mshahara wa mfanyakazi kwa LAZIMA" kwa jina la Ada ya UWAKALA.



Hii Ada ya UWAKALA imekuwa Ni tatizo kubwa mnoo, kiasi kwamba sasa hivi Hakuna tofauti ya Mwanachama rasmi wa chama Cha wafanyakazi na asiye Mwanachama.



Mheshimiwa Rais, Watumishi wako unaowaamini hasa Wakurugenzi ( DEDs ) wamekuwa sehemu ya mchezo huu kwasababu wengi wao ni wanufaika wa mchezo huu.



Sasa hivi imegeuka trends kwa baadhi ya Watumishi kuanzia vyama vya wafanyakazi, na kuanza kukata mishahara ya Watumishi kwa jina la ADA YA UWAKALA hasa wale wasio wanachama. Ada hii hukatwa 2%.

Inaumiza sana kuona Watumishi wanaumizwa na watu ambao walitemea watakuwa msaada kwao.

Mheshimiwa Rais, kwa mfano ukitaka kunua shida za Watumishi unawasikiliza Hawa vyama vya wafanyakazi, Maumivu anayopewa huyu mtumishi na hivi vyama vya wafanyakazi utasikia wapi ?



Katika hili, Mheshimiwa Rais tunakuomba kuelekea Mei
uliangalie suala hili kwa jicho HURUMA.

1) Sheria ya ajira na mahusiano kazini (2004) ifanyiwe marekebisho na Ada ya UWAKALA ifutwe au iwe kiwango kimoja ( Flat rate ).



2) Vyama vya wafanyakazi visikate mishahara ya Watumishi kwa LAZIMA kwa namna yoyote wale ambao siyo wanachama wao.



Ni matumaini ya Watumishi kiwa utasikia kilio Hiki maana wewe Ni Rais Msikivu.

Nalisema hili kwasababu Mei Mosi huandaliwa na TUCTA ambao ndio wanufaika na Wakandamizaji wa Watumishi, hivyo inakuwa Ni ngumu Watumishi kusema wakasikika.



Asante.
Makato ni hiari mbona Mimi sikatwi
 
Watumishi wengi mmesoma bila kuelimika
Sawa Boss.

Ila naona Kuna mtu alisema kitu huko Twitter, naona kinahusika mitandao yote.

Screenshot_2022-03-18-10-12-30-432_com.twitter.android.png
 
Mi ni mtumishi tena wa kitambo na sikatwi we unakwama wapi?

Print salary slip ambatanisha na barua ya kujitoa mpelekee HR wako.

Unalalamikia kitu ambacho kinawezekana ngazi ya ofisi yako ndio Rais aitatue? Nini maana wa ugatuaji
Kujitoa kwenye Nini?
 
Unajitoaje kwenye kitu ambacho hukijiunga. Nasema hili kwasababu inaonekana Kuna watu huwa mnaona kama vile watu hawajawahi kufanya jitihada zozote za kujitoa kwenye mtego huu.
We ni either mbishi au dishi linayumba.

Kuna watu inatokea wamekatwa fedha kwa nahati mbaya bila kujiunga na wanadai kutolewa kwenye makato na wanatolewa.

Kuna mtumishi mmoja alikijikuta anakatwa Bayport na hajakopa akafuatilia, makato yakasitishwa na akarudishiwa fedha zake.

Sasa hapo unakwamaje? Mbona wengine hatukatwi? Kwenu linashindikanaje?
 
We ni either mbishi au dishi linayumba.

Kuna watu inatokea wamekatwa fedha kwa nahati mbaya bila kujiunga na wanadai kutolewa kwenye makato na wanatolewa.

Kuna mtumishi mmoja alikijikuta anakatwa Bayport na hajakopa akafuatilia, makato yakasitishwa na akarudishiwa fedha zake.

Sasa hapo unakwamaje? Mbona wengine hatukatwi? Kwenu linashindikanaje?
Mkuu, kuwa mtulivu ili ujifunze.

Una akili ngumu halafu unajifanya mbishi.

Nimekwama let hapa hayo mabadiliko ya Sheria uliyosema yalifanywa mwaka 2009 lakini bado unapiga bla bla, ninyi Ndio mmechomekwa huko kwenye mashirika lakini uwezo sisimizi.

Nakupa mifano ya Mapambano ambayo najua wewe Hakuna unachojua.

Hii ilikiwa 2012.

Walimu 347 Kigoma ruksa kujitoa CWT​

TUME ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), imekubali ombi la walimu 347 wa Manispaa ya Kigoma Ujiji kujitoa kutoka katika Chama cha Walimu Tanzania (CWT) ili kuanzisha chama kitakachotetea maslahi yao kutokana na madai kwamba chama hicho cha walimu hakikuwa na msaada kwao katika kutetea maslahi yao.

Akitoa uamuzi wa shauri hilo mjini Kigoma, mwamuzi wa shauri hilo, L.L Mwakyusa alisema baada ya mlolongo mzima wa uamuzi wa pande zinazohusika, Tume imeamua kuwa walalamikaji si wanachama wa CWT tena na kitabaki kuwa wakala kwa walalamikaji kwa kuwa ni chama pekee kinachotambuliwa na mwajiri.

Aidha, Mwakyusa alisema suala la makato kwa walimu hao linapaswa kuangaliwa upya kwa kuwa pande hizo zimeshaingia kwenye mgogoro na kwamba walimu hao hawatafaidi matunda halisi kama wanachama.

Pamoja na uamuzi wa kujitoa kwa walimu hao na kujiunga na chama kingine, alisema walimu hao wataendelea kukatwa ada ya uwakala ili kufaidi matunda ya masuala ya jumla kama walimu yatakayosimamiwa na CWT kwa mujibu wa kifungu cha 72 (c) cha Sheria ya Ajira na Uhusiano Kazini ya Mwaka 2004.

Akizungumzia hukumu hiyo, kiongozi wa kundi hilo la walimu, Kalimwabo Sabibi alisema pamoja na Tume hiyo kuridhia kujitoa CWT, wanakusudia kuanzisha chama kingine cha walimu kitakachosimamia maslahi yao.

Sabibi alisema kwa muda mrefu, walimu wamekuwa kama watoto yatima kutokana na CWT ambacho machoni kinaonekana kama kinasimamia maslahi yao, kudai hakifanyi chochote kwa ajili ya maslahi ya walimu.

Alisema walimu wamekuwa kwenye malumbano ya kudai maslahi yao kutoka kwa mwajiri badala ya chama hicho kuwa upande wao, wakati mwingine kimechangia kuwafanya wakose hata kile kidogo wanachodai.

Pamoja na hukumu hiyo, hata hivyo walimu hao wamesema hawajaridhishwa na uamuzi wa Tume kuruhusu kuendelea kukatwa kwa makato kutoka katika mishahara yao kwa ajili ya kuchangia CWT kwa kigezo cha ada ya uwakala wakati wao si wanachama wa chama hicho


Wewe unaonekana huna unachojua.
 
Mkuu, kuwa mtulivu ili ujifunze.

Una akili ngumu halafu unajifanya mbishi.

Nimekwama let hapa hayo mabadiliko ya Sheria uliyosema yalifanywa mwaka 2009 lakini bado unapiga bla bla, ninyi Ndio mmechomekwa huko kwenye mashirika lakini uwezo sisimizi.

Nakupa mifano ya Mapambano ambayo najua wewe Hakuna unachojua.

Hii ilikiwa 2012.



Wewe unaonekana huna unachojua.
Sasa kama walimu wamejitoa wewe unakwama wapi?
 
Back
Top Bottom