Kudai katiba mpya ili uchaguzi uwe huru na haki ili taifa likae sawa ni kukosa hoja ? Mbowe bado kibaraka wa CCM

Kudai katiba mpya ili uchaguzi uwe huru na haki ili taifa likae sawa ni kukosa hoja ? Mbowe bado kibaraka wa CCM

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,170
Reaction score
8,622
Nimeona mitandaoni juu ya kauli hii ya Mbowe kuwa CHADEMA ya sasa chini Lissu haijengi hoja kama ilivyokuwa akina Mtei na Bob Makani.

Hii sio kweli kabisa. Sasa Hivi Lissu na Heche ndio wanahoja za mashiko. Kwa katiba hii ya CCM ambayo hata mtu hajapigiwa kura anakuwa madarani utaingia ikulu? Lissu ana hoja zenye mashiko. Maana taifa letu linahitaji Katiba mpya ili likae sawa.

Mbowe ni kibaraka wa CCM.
 
Kama kasema hivyo kweli ni uthibitisho tosha kwamba mbowe alishafika bei!.
Ccm ya sasa ni ya wahuni inatakiwa kupata viongozi wa upinzani aina ya lissu!.
 
Nimeona mitandaoni juu ya kauli hii ya Mbowe kuwa CHADEMA ya sasa chini Lissu haijengi hoja kama ilivyokuwa akina Mtei na Bob Makani.

Hii sio kweli kabisa. Sasa Hivi Lissu na Heche ndio wanahoja za mashiko. Kwa katiba hii ya CCM ambayo hata mtu hajapigiwa kura anakuwa madarani utaingia ikulu? Lissu ana hoja zenye mashiko. Maana taifa letu linahitaji Katiba mpya ili likae sawa.

Mbowe ni kibaraka wa CCM.
Uingereza na marekani rais/waziri mkuu akitafuta awamu ya pili, uchaguzi hufanyika bila nchi kuwa na rais au waziri mkuu?
 
Biashara zake zimemshinda tena?

Si alisema anapumzika siasa akafanye biashara?

Chadema iliyokuwa chini yake na hii iliyopo, zikikutana njiani zitafahamiana?

Mmoja lazima aitwe msaliti
 
Nimeona mitandaoni juu ya kauli hii ya Mbowe kuwa CHADEMA ya sasa chini Lissu haijengi hoja kama ilivyokuwa akina Mtei na Bob Makani.

Hii sio kweli kabisa. Sasa Hivi Lissu na Heche ndio wanahoja za mashiko. Kwa katiba hii ya CCM ambayo hata mtu hajapigiwa kura anakuwa madarani utaingia ikulu? Lissu ana hoja zenye mashiko. Maana taifa letu linahitaji Katiba mpya ili likae sawa.

Mbowe ni kibaraka wa CCM.
Mbowe anahitaji ushauri wa saikolojia. Hajaamini kama alishindwa uenyekiti
 
Masikini Mbowe ameshakuwa mateka wa Samia, inasikitisha sana kuwa Mbowe yule ndiye amekuwa Mbowe huyu.
 

Attachments

  • 6116522-aabc75298dac434d40d940b38d5337aa.mp4
    3.1 MB
1000046826.jpg
 
Nimeona mitandaoni juu ya kauli hii ya Mbowe kuwa CHADEMA ya sasa chini Lissu haijengi hoja kama ilivyokuwa akina Mtei na Bob Makani.

Hii sio kweli kabisa. Sasa Hivi Lissu na Heche ndio wanahoja za mashiko. Kwa katiba hii ya CCM ambayo hata mtu hajapigiwa kura anakuwa madarani utaingia ikulu? Lissu ana hoja zenye mashiko. Maana taifa letu linahitaji Katiba mpya ili likae sawa.

Mbowe ni kibaraka wa CCM.
Amesemea wapi hili..?

Hakuna kitu kama hiki. Hii umejitungia kichwani na kutaka kulisha watu matango pori..

Karibu kila video clip ya mahojiano ya Freeman Mbowe kama msemaji wa familia ktk msiba huo ipo YouTube na kwenye social media zingine. Sijaona popote akitoa kauli kama hii...!!

Hapa umetunga uongo unless uambatanishe allegations hizi na ushahidi wa video clip au audio sound akisema haya..
 
Nimeona mitandaoni juu ya kauli hii ya Mbowe kuwa CHADEMA ya sasa chini Lissu haijengi hoja kama ilivyokuwa akina Mtei na Bob Makani.

Hii sio kweli kabisa. Sasa Hivi Lissu na Heche ndio wanahoja za mashiko. Kwa katiba hii ya CCM ambayo hata mtu hajapigiwa kura anakuwa madarani utaingia ikulu? Lissu ana hoja zenye mashiko. Maana taifa letu linahitaji Katiba mpya ili likae sawa.

Mbowe ni kibaraka wa CCM.
Huyu mbowe tumbo lake lina njaa na mshibishaji wake ni ccm
 
Nilisema humu zamani kuwa mbowe ntu wa system nikashambuliwa.


Ndo maana CCM walimpigia sana kampeni wakati wa uchaguzi wa chama wakijua kuwa Lissu si mtu wao.

Lengo la mbowe ikiwa angepita uenyekiti ilikuwa kutokusimamisha mgombea urais ili Kuonesha kuwa mzanzibar muuaji anakubalika
 
Huyu wanamjua ndio Mana walimpa kesi ya Ugaidi.
Huyu sio bure huyu.
 
Mbowe ni muhuni , naekea msibani kama sitomzaba vibao leo ,kesho nitaumia sana, Mbowe muhuni
Nimeona mitandaoni juu ya kauli hii ya Mbowe kuwa CHADEMA ya sasa chini Lissu haijengi hoja kama ilivyokuwa akina Mtei na Bob Makani.

Hii sio kweli kabisa. Sasa Hivi Lissu na Heche ndio wanahoja za mashiko. Kwa katiba hii ya CCM ambayo hata mtu hajapigiwa kura anakuwa madarani utaingia ikulu? Lissu ana hoja zenye mashiko. Maana taifa letu linahitaji Katiba mpya ili likae sawa.

Mbowe ni kibaraka wa CCM.
 
Amesemea wapi hili..?

Hakuna kitu kama hiki. Hii umejitungia kichwani na kutaka kulisha watu matango pori..

Karibu kila video clip ya mahojiano ya Freeman Mbowe kama msemaji wa familia ktk msiba huo ipo YouTube na kwenye social media zingine. Sijaona popote akitoa kauli kama hii...!!

Hapa umetunga uongo unless uambatanishe allegations hizi na ushahidi wa video clip au audio sound akisema haya..
Na mimi nimeisikia kauli yake. Pamoja na kwamba hakusema moja kwa moja kuwa CHADEMA ya sasa hivi haina hoja, lakini alivyosema tafsiri yake ni kama hiyo aliyosema mleta mada.
 
Amesemea wapi hili..?

Hakuna kitu kama hiki. Hii umejitungia kichwani na kutaka kulisha watu matango pori..

Karibu kila video clip ya mahojiano ya Freeman Mbowe kama msemaji wa familia ktk msiba huo ipo YouTube na kwenye social media zingine. Sijaona popote akitoa kauli kama hii...!!

Hapa umetunga uongo unless uambatanishe allegations hizi na ushahidi wa video clip au audio sound akisema haya..
Fuatia kwa undani.
 
Back
Top Bottom