Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,281
Kubali ulikuwa phaller,,hakuna mwanamke anayemtenda mwanaume aliyempenda. Huyo hakukupendaMkuu ni kwamba mwanamke hata akupende vipi,
Muda wako ukifika ni lazima akutende.
Nakumbuka siku anaondoka kwenda chuo mwanza ,
Siku hyo alinililia kifuani kwangu,
Tena kilio cha kwi kwi,,
Akasema,
""Mwandende kweli naweza kuishi mbali na wewe?""
Huku akitokwa machozi.,
Sikuamini alivyobadilika.