Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,918
- 8,713
P O L E
P O L E
[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]Naomba nisiikose nafasi hio adimu sana, tuyajenge bila kuchelewa nataka nipaki basi kabisa
Ya nini sasa?P O L E
Una bahati naheshimu huu mwezi mtukufu mkuu..Kubali ulikuwa phaller,,hakuna mwanamke anayemtenda mwanaume aliyempenda. Huyo hakukupenda
Hivi wewe bwegeUsijifariji, wewe ulikuwa phaller
Wewe pimbi,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] washamba ndio waliwao, uliingia dar kichwa kichwa eeeh?
Ya nini sasa?
Usiseme alikua fala, yeye alifanya kwa upendo kumbuka kuna muda unafika penzi linaweza isha.Kubali ulikuwa phaller,,hakuna mwanamke anayemtenda mwanaume aliyempenda. Huyo hakukupenda
Upendo tuSometime nahisi hao wanawake wana kaujanja fulani wanakafanya kama sio kaulonzi
Nakuona,mie nala misosi bila mafuta,,Oh my wangu hujambo
Hapana nadhani ipo namnaUpendo tu
50,000 😆😆😆😆Habari wana JF.
I hope wote wazima wa afya. Twende moja kwa moja kwenye mada kumhonga mwanamke ni kitu cha kawaida sana ukiwa umempenda au kumuelewa. Huwezi kuacha kumhonga mwanamke maybe ukiwa hujavutiwa nae.
Kuna uzi humu mwana alisema akisikia mwenetu kahonga kagari anahisi kutetemeka [emoji23] kila mtu anahonga kwa uwezo wake.
Binafsi kitu kikubwa nilichowah kumhonga kiumbe huyu mwanamke pesa ya kununua tv samsng flat 52’ sijui yupo wap huyu dada maskinii bora ningewk zangu hiyo tv magetoni nicheck zang cartoon tu.
Tunawapenda sana dada zetu bila nyinyi cc si kitu heshima iwe kwenu.
FUNGUKA KITU GANI UMEWAH KUMHONGA KIUMBE HUYU MWANAMKE??
Itakuuma Sana kila ukimuona hadi uzeeke kabla ya Umri.Aisee nilihonga pasi
Yule Dem shwain kweli Mimi nilijitoa kwake nikanunua pasi ili awe smart coz ndo kwanza alikua kaajiliwa lakin badae nikaja kujua bado ana mahusiano na kavulana kake ka chuo.
Nilimpiga tukio zito japo pasi nilimuachia.
Mwaka Jana niliona kaolewa na kajamaa kafupi Kama zakayo
Alikukomesha,siku nyingine mtapata akili ..Mwaka 2011 nilikuwa na mahusiano na dada mmoja wa chuo cha SAUT anaitwa H jina la Baba linaanzia S..
kwa sasa ni mwalimu wa secondary .
Ni mke wa mtu kwa sasa.
Dada nilimpenda Sana,,
Kipindi hicho kabla ya Mambo ya miamala ya simu.
Nilikuwa namtumia pesa kwenye ACC ya bank.
Nakumbuka niliangalia pay slip za bank zilifika kama 1.8 milioni..
Hizo ni za bank Tu,wacha zile za kumpa cash.
Mwaka fulani nilikuwa Greece nikamtumia euros 300 za matumizi ,
nusu azimie hapo ofisi za western union.
Nilikuwa nikitoka south namtumia kwa basi viatu made from SA pairs 30 auze hapo chuoni ili ajikimu na maisha..
Hizo simu za kila mara blackberry torch, carved/Samsung Corby na HTC ndy kama kawaida kubadilisha.
Na mwisho wa siku,
akanichoma na kitu chenye incha Kali moyoni.,
na kunimalizia kwa kunipiga na kitu kizito kisogoni.
Nilikwenda mwanza mara 2 tulionana mara 1 kwa kisingizio cha discussion.
Nikifikirie zile gharama roho inauma Sana.
Kwa kipindi kile ningenunuwa shamba bunju sasa napiga pesa..
200k yote hiyo? Labda viwango vyako viko vizuri,aisee mimi sijawahi mpa mwanamke pesa zaidi ya 50,000 ..Mm Sina diploma wa degree ya kuonga aise mm Ni mchumi San daraja la pili siongi mm kizembe at iwe vip kumpa demu. 200000 kisa mbusasa hpna sijawai
Wanawake huwa wanaona ni haki yao kuhongwa kwa sababu ya vitobo vyao.Ila mkuu,,elewa kuwa kwenye mapenzi ya kweli kuna huruma ndani yake.
Huwezi kuwa na furaha kama umpendae anahangaika kwa shida na uwezo wa kumsaidia unao.
Tatizo Lao wanawake haijulikani wanatafuta nini ktk mapnz..
Ukiwa na pesa watasema mapenzi sio pesa.
Ukiwa huna pesa watasema hawataki mwanaume suruali.
Basi mradi tu waendelee na usaliti wao wa mapenzi.
50,000 jumla au ya mara moja tu baada ya hapo basi200k yote hiyo? Labda viwango vyako viko vizuri,aisee mimi sijawahi mpa mwanamke pesa zaidi ya 50,000 ..
Na hii 50,000 niliwahi mpa mmja tuu kama mtaji Ili aache kuomba omba na vizinga maana huwa nachukia na nakublock.