joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 19,415
- 41,566
Kuna jamaa mmoja alikuwa na nyumba ndogo yake kampangia nyumba nzima vitu vya ndani vyote kagaramia na gari juu IST.
Jamaa yy ana malori ya mizigo, ana garage na maduka ya spea,sasa siku akamfumania hakupigizana nae kelele wala nini, kamnyang'anya gari, akawaita vijana wake wa garage watatu. Akawambia waingie ndani ya ile nyumba,wachukue kitu chochote wakitakacho.Wana wakajisevia na kusafisha wakamwachia nguo zake.
Jamaa yy ana malori ya mizigo, ana garage na maduka ya spea,sasa siku akamfumania hakupigizana nae kelele wala nini, kamnyang'anya gari, akawaita vijana wake wa garage watatu. Akawambia waingie ndani ya ile nyumba,wachukue kitu chochote wakitakacho.Wana wakajisevia na kusafisha wakamwachia nguo zake.