Signoradellap
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 29,241
- 148,551
Kama mimi,nimesambaza mirinda mtaa mzima Maana nilisha tia nia[emoji1545]nazunguka kila sehemu kubabeeek nina raha sana
Mbona kawaida tu mkuuDah nyie mna moyo aisee laptop umnunulie demu[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
Mimi ni shahidi kwenye hili, Kwanini mara nyingi nyie wadada, tukiwahonga pesa na kuwaonesha upendo wa kweli, mnatupiga na vitu vizito kichwani na kutuona mafala, Yani utakuta labda unavunja benki na kujitutumua, unamnunulia mdada kitu fulani kwa upendo, halafu hapo hapo anakujibu kunya na kwa ukatili, hivi huo ni u-lusifa, au ushetani wa aina gani? Kama humpendi Mtu atleast kuwa gentle and honest about it.Leo tutatukanwa na kuitwa majina yote[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa mkuu mbwa imetoka wapi?
Uko sahihi yani, nilishawahusia vijana humu kama ukiona demu wako hata kutoa jero yake tu kukununulia pepsi analalamika bala jua hamna mtu hapo.Mimi ni shahidi kwenye hili, Kwanini mara nyingi nyie wadada, tukiwahonga pesa na kuwaonesha upendo wa kweli, mnatupiga na vitu vizito kichwani na kutuona mafala, Yani utakuta labda unavunja benki na kujitutumua, unamnunulia mdada kitu fulani kwa upendo, halafu hapo hapo anakujibu kunya na kwa ukatili, hivi huo ni u-lusifa, au ushetani wa aina gani? Kama humpendi Mtu atleast kuwa gentle and honest about it.
Nimekuja gundua binadamu mwanamke na hata sisi wanaume, hajali ni jinsi gani unampenda, bali anajali kipi anafaidika toka kwako kipesa au anakupenda vipi, nimegundua hata nikihonga gari, nikiandika sms refu kila siku kama gazeti ya kuonyesha nampenda, nikibembeleza, nikipiga simu kila mara na kumfuata fata mwanamke, kama huyo mwanamke hanipendi hio ni kazi bure, kwahiyo sahivi sijichoshi kuonyesha upendo, natongoza Muda mfupi baadae napita hivi.. Espy Atoto Yna2 Kelsea mawardat mzabzab Extrovert
Nini unaweza mnunulia mwanamke wako na ikawa sawa kama laptop ni kisanga?Dah nyie mna moyo aisee laptop umnunulie demu[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
Hapo chini sasa ndio umekuja na jibu, mwanamke kama hakupendi ni hakupendi hata umhonge dunia.Mimi ni shahidi kwenye hili, Kwanini mara nyingi nyie wadada, tukiwahonga pesa na kuwaonesha upendo wa kweli, mnatupiga na vitu vizito kichwani na kutuona mafala, Yani utakuta labda unavunja benki na kujitutumua, unamnunulia mdada kitu fulani kwa upendo, halafu hapo hapo anakujibu kunya na kwa ukatili, hivi huo ni u-lusifa, au ushetani wa aina gani? Kama humpendi Mtu atleast kuwa gentle and honest about it.
Nimekuja gundua binadamu mwanamke na hata sisi wanaume, hajali ni jinsi gani unampenda, bali anajali kipi anafaidika toka kwako kipesa au anakupenda vipi, nimegundua hata nikihonga gari, nikiandika sms refu kila siku kama gazeti ya kuonyesha nampenda, nikibembeleza, nikipiga simu kila mara na kumfuata fata mwanamke, kama huyo mwanamke hanipendi hio ni kazi bure, kwahiyo sahivi sijichoshi kuonyesha upendo, natongoza Muda mfupi baadae napita hivi.. Espy Atoto Yna2 Kelsea mawardat mzabzab Extrovert
Ila wewe jamaaUko sahihi yani, nilishawahusia vijana humu kama ukiona demu wako hata kutoa jero yake tu kukununulia pepsi analalamika bala jua hamna mtu hapo.
Habari naomba nikuhongeHapo chini sasa ndio umekuja na jibu, mwanamke kama hakupendi ni hakupendi hata umhonge dunia.
Kuwa na mtu anaekuelewa kweli hutokutana na hizo sarakasi.
Mimi ni shahidi kwenye hili, Kwanini mara nyingi nyie wadada, tukiwahonga pesa na kuwaonesha upendo wa kweli, mnatupiga na vitu vizito kichwani na kutuona mafala, Yani utakuta labda unavunja benki na kujitutumua, unamnunulia mdada kitu fulani kwa upendo, halafu hapo hapo anakujibu kunya na kwa ukatili, hivi huo ni u-lusifa, au ushetani wa aina gani? Kama humpendi Mtu atleast kuwa gentle and honest about it.
Nimekuja gundua binadamu mwanamke na hata sisi wanaume, hajali ni jinsi gani unampenda, bali anajali kipi anafaidika toka kwako kipesa au anakupenda vipi, nimegundua hata nikihonga gari, nikiandika sms refu kila siku kama gazeti ya kuonyesha nampenda, nikibembeleza, nikipiga simu kila mara na kumfuata fata mwanamke, kama huyo mwanamke hanipendi hio ni kazi bure, kwahiyo sahivi sijichoshi kuonyesha upendo, natongoza Muda mfupi baadae napita hivi.. Espy Atoto Yna2 Kelsea mawardat mzabzab Extrovert
Haumjui huyo[emoji23],alipigwa tukio hivyo hawezi kuwa sawa.Nini unaweza mnunulia mwanamke wako na ikawa sawa kama laptop ni kisanga?
Kabisaaaa...kwanza hamna ata shida ya kutongoza siku hizi...wee mwambie ataje dau lake ule mbususu basi.Mimi ni shahidi kwenye hili, Kwanini mara nyingi nyie wadada, tukiwahonga pesa na kuwaonesha upendo wa kweli, mnatupiga na vitu vizito kichwani na kutuona mafala, Yani utakuta labda unavunja benki na kujitutumua, unamnunulia mdada kitu fulani kwa upendo, halafu hapo hapo anakujibu kunya na kwa ukatili, hivi huo ni u-lusifa, au ushetani wa aina gani? Kama humpendi Mtu atleast kuwa gentle and honest about it.
Nimekuja gundua binadamu mwanamke na hata sisi wanaume, hajali ni jinsi gani unampenda, bali anajali kipi anafaidika toka kwako kipesa au anakupenda vipi, nimegundua hata nikihonga gari, nikiandika sms refu kila siku kama gazeti ya kuonyesha nampenda, nikibembeleza, nikipiga simu kila mara na kumfuata fata mwanamke, kama huyo mwanamke hanipendi hio ni kazi bure, kwahiyo sahivi sijichoshi kuonyesha upendo, natongoza Muda mfupi baadae napita hivi.. Espy Atoto Yna2 Kelsea mawardat mzabzab Extrovert
Ah tukiongani tena....mie nilipewagwa tuu ushauri kuwa wanawake ni wakugegeda ila kamwe usijidanganye kuwapenda
Kwwanza hamna sijui mwanamke wako maana kwanza tunashare mbususu.Nini unaweza mnunulia mwanamke wako na ikawa sawa kama laptop ni kisanga?
Bora umepokonywa baharia apunguze maumivu.🤣🤣🤣🤣😜😜😜😜😜Nilipewaga simu(BlackBerry) ya kuslide enzi hizo eeh tulivoachana akanipokonya. Mapenzi haya😂😂
mkuu jioni bado haijafikaa???Mkuu acha usinitoneshe vidonda.
Jana tu apa kunademu nimemuhonga Redio ya Bluetooth zile za kichina .
kwa shariti la kupewa mzigo mpka sasa iv simu zangu apokei na wala msg zangu ajibu .
Apa nasubiri jioni ifike niende kwao nikadai changu
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Iliniuma kama niliinunua mimi vile😂😂😂Bora umepokonywa baharia apunguze maumivu.🤣🤣🤣🤣😜😜😜😜😜
Uki amua kuondoka ulipe vya watu😂😂😂 kupokea rahisi na kutamu ila kulipa shida. Kwanza sheria ya nchi inaruhusu mtu kudai chake uchumba ukifaIliniuma kama niliinunua mimi vile😂😂😂