Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

Wahenga walisema "usiwekeze saana kwa mchumba, mpe hela ambayo unajua hata mkiachana haitakuuma." Nina ndugu yangu alimhudumia mwanamke zaidi ya 20 millions anavyosema ila sio pesa ya kutoa kwa pamoja ni zile za umemnunulia simu leo, kesho anataka laptop ya 600k+ mwezi ujao kodi ya pango imeisha nayo 240k+ mara nguo viatu nk (na vitu kama simu likija tolea jipya au jamaa akinunua simu mpya demu akiipenda anachukua sijui zile nyingine alikua anauza au anawapa mashoga zake au wadogo zake) × miaka labda mitano au 7+ ya mahusiano mwamba alichunwa mno. Anabakia kulalamika tu. Na mwanamke ashaolewa na mwingine. Never mchumba hahudumiwi kama mke na hasomeshwi
Mkuu Mimi nimepata hasara pengine zaidi ya hyo.
Nimezungumzia cash ya bank niliyotuma kwa slip 1.8.Milioni.
Bado zile nampa cash anakwenda nazo chuo..
Simu ndy usiseme kubadilisha kila muda tukionana.
Mara kuna friend Wangu anakuja huko dar mpe hiki.
Hizo laptop ndy ilikuwa kama deni nanunuwa.

Nakumbuka nilikuwa nikija na viatu toka SA nauza 15000.
Nikija na pairs 70 napunguza 30 pairs nampa auze chuoni kwao.

Na ukiangalia wakati huo kiwanja mbezi ni laki 5.
Kibaha ni laki tano kwa hekta,
Ningekuwa wp kwa sasa?
Hapo ndy naumia sn kwa huyu dada.

Alaaniwe popote alipo..
 
Mkuu Mimi nimepata hasara pengine zaidi ya hyo.
Nimezungumzia cash ya bank niliyotuma kwa slip 1.8.Milioni.
Bado zile nampa cash anakwenda nazo chuo..
Simu ndy usiseme kubadilisha kila muda tukionana.
Mara kuna friend Wangu anakuja huko dar mpe hiki.
Hizo laptop ndy ilikuwa kama deni nanunuwa.

Nakumbuka nilikuwa nikija na viatu toka SA nauza 15000.
Nikija na pairs 70 napunguza 30 pairs nampa auze chuoni kwao.

Na ukiangalia wakati huo kiwanja mbezi ni laki 5.
Kibaha ni laki tano kwa hekta,
Ningekuwa wp kwa sasa?
Hapo ndy naumia sn kwa huyu dada.

Alaaniwe popote alipo..
Kosa ulishalijua hivyo usirudie kosa. Hiyo pesa ungewekeza hata kwa kununua aridhi au uiache kwa maiaka 4 au 5 now ungetengeneza mpunga wa wa haja kupitia hicho kiasi. Mimi bwana kuhonga ni kipaji na sina hicho kipaji. Nimehonga saana 15 au 20k mtu asipo nielewa aisee apite hivi. Nikioa nitamtunza mke ila haya ya kuhudumia au kusomesha mchumba kwa pesa mingi kuna majuto na kurudishana nyuma na kupotezeana muda
 
Niliwahi kumhonga dem wangu simu ya laki mbili na nusu.

Nakumbuka kipindi hiko nipo chuo halafu Blackberry ndio zipo kwenye trend kila mtu anataka atumie black berry ajiunge BBM.

Chuoni nilikua na pisi kali chuo kizima hakuna mpaka malecturer walikua wanamtolea macho. Alikuaga anatumia Nokia Asha. Mnyamwezi bumu lilivyotoka nikafunga safari mpaka Posta nikachomoa laki mbili na nusu nikanunua simu mpyaaaaa ktk boksi.. lengo nimpelekee kama surprise!!! Ilikua blackberry curve...

Nimefika hostel fasta nikazama room kwake, tukapiga story mbili tatu nikamtolea cm nikamwambia baby zawadi yako hii. Hakushtuka.. akaiangalia kama taka taka halafu akaniambia baby hii cm sijaipenda watu wengi wanatumia cm kama hii! Mie nataka HTC desire (wakati huo ilikua inauzwa 350k) [emoji18][emoji18][emoji18].. ila aliishi nayo hivyo hivyo mpaka ilipokuja kuharibika...
Baada ya chuo mlifanikiwa kuendelea mahusiano yenu?
 
Duh pole Sana. Ndo yalivyo haya Mambo
Tena aliniacha kinyama Sana,

Kuna simu yake fulani iliharibika kioo,
ikabidi anipe nimbadilishie kioo,

Baada ya simu kupona, nikagunduwa madudu mengi Sana kwake kupitia phone's sms ambazo zilibaki kwenye simu yake.

Baby mbona Jana nimekuwekea chakula lakini umesusa ?
Najuwa hunipendi Ila mimi nakupenda Sana kuliko mwanaume yeyote..
Hakika wewe ndy chaguo langu.

Moja Kati ya sms zake niliizozikuta kwenye simu yake ,
Kwa kwl niliumia sn..
Nikiangalia hata pesa ya Kodi ya chumba anapoishi nalipa Mimi.

Baada ya kucopy namba ya yule jamaa mlengwa ,,
nikaamua kumpigia simu,

Jamaa akafunguka kwamba hana mipango na yule demu zaidi ya kugegeda tu.

Nikarudi kwa yule mrembo wa chuo kumpigia simu.
Nikamuuliza kuhusu SMS na nimempigia jamaa amekiri kuwa na mahusiano.

Kabla hajakaa simu yangu
Akaniambiya ,,

Sasa Mimi nikusaidiaje kwa Mfano?
Ndy mwisho wa mapenzi yetu hadi sasa mwaka wa 11 sijawahi kumuona hata kwa bahati mbaya.
 
Kosa ulishalijua hivyo usirudie kosa. Hiyo pesa ungewekeza hata kwa kununua aridhi au uiache kwa maiaka 4 au 5 now ungetengeneza mpunga wa wa haja kupitia hicho kiasi. Mimi bwana kuhonga ni kipaji na sina hicho kipaji. Nimehonga saana 15 au 20k mtu asipo nielewa aisee apite hivi. Nikioa nitamtunza mke ila haya ya kuhudumia au kusomesha mchumba kwa pesa mingi kuna majuto na kurudishana nyuma na kupotezeana muda
Sometimes mwanamke unamuonea huruma ,
Unaamua kumsaidia kwa mapenz ,,
,kama rafiki,,
kama future wife.

Lakini wao wanatufikiria tofauti.

Nilichojifunza kwa mwanamke ni kwamba,
kadiri unavyomjali na kumthamini ndy anavyozidi kukukalia mbali na kutafuta mahusiano mengine.

Utawasikia wanasema "
Mapenzi sio pesa.

Mimi nilikuwa na mipango nae ya kuoa kabisa,
Kumbe ananichukulia Mimi ni pimbi wa kwenye SANI.
 
Sometimes mwanamke unamuonea huruma ,
Unaamua kumsaidia kwa mapenz ,,
,kama rafiki,,
kama future wife.

Lakini wao wanatufikiria tofauti.

Nilichojifunza kwa mwanamke ni kwamba,
kadiri unavyomjali na kumthamini ndy anavyozidi kukukalia mbali na kutafuta mahusiano mengine.

Utawasikia wanasema "
Mapenzi sio pesa.

Mimi nilikuwa na mipango nae ya kuoa kabisa,
Kumbe ananichukulia Mimi ni pimbi wa kwenye SANI.
Wahenga husema "mwenye huruma hana bahati" usijipe majukumu ya mzazi aisee mambo ya kumsomesha sijui kumlipia kodi sijui na nini hayo yana wahusu wazazi wake. Kwangu manzi akileta swaga za sijui nisomeshe sijui nina shida ambayo nikifikiria na kuwazua ni.mambo yake na familia yake mm sitoi kwanza sina hiyo huruma. Wanawake wanataka akili tu na sio kuwapa kila watakalo utalia. Na huwa wanakujaribu km akiomba mara ya kwanza ukachomoa hakuombi tena ila kama akiomba unatoa mzee umeruhusu mtu awe yatima😂😂😂😂😂
 
Tena aliniacha kinyama Sana,

Kuna simu yake fulani iliharibika kioo,
ikabidi anipe nimbadilishie kioo,

Baada ya simu kupona, nikagunduwa madudu mengi Sana kwake kupitia phone's sms ambazo zilibaki kwenye simu yake.

Baby mbona Jana nimekuwekea chakula lakini umesusa ?
Najuwa hunipendi Ila mimi nakupenda Sana kuliko mwanaume yeyote..
Hakika wewe ndy chaguo langu.

Moja Kati ya sms zake niliizozikuta kwenye simu yake ,
Kwa kwl niliumia sn..
Nikiangalia hata pesa ya Kodi ya chumba anapoishi nalipa Mimi.

Baada ya kucopy namba ya yule jamaa mlengwa ,,
nikaamua kumpigia simu,

Jamaa akafunguka kwamba hana mipango na yule demu zaidi ya kugegeda tu.

Nikarudi kwa yule mrembo wa chuo kumpigia simu.
Nikamuuliza kuhusu SMS na nimempigia jamaa amekiri kuwa na mahusiano.

Kabla hajakaa simu yangu
Akaniambiya ,,

Sasa Mimi nikusaidiaje kwa Mfano?
Ndy mwisho wa mapenzi yetu hadi sasa mwaka wa 11 sijawahi kumuona hata kwa bahati mbaya.
Mkuu pole saana. Mm katika kukua kwangu niliyoshuhudia mitaa niliyoishi ndiyo yaliyonifanya nisione huruma ya kummpa mwanamke lila atakacho asipp rizika na kidgo kikubwa apewe na wazazi wake. Yaani tukutane ile kunyanduana apewe nauli km ni.mchumba wa kuoa aisee shida zake aanzie kwa wazazi wake zile kubwa. Mm nitamhudumia kwa ukubwa nikimuoa.
 
Mwaka 2011 nilikuwa na mahusiano na dada mmoja wa chuo cha SAUT anaitwa H jina la Baba linaanzia S..
kwa sasa ni mwalimu wa secondary .
Ni mke wa mtu kwa sasa.

Dada nilimpenda Sana,,

Kipindi hicho kabla ya Mambo ya miamala ya simu.
Nilikuwa namtumia pesa kwenye ACC ya bank.
Nakumbuka niliangalia pay slip za bank zilifika kama 1.8 milioni..
Hizo ni za bank Tu,wacha zile za kumpa cash.
Mwaka fulani nilikuwa Greece nikamtumia euros 300 za matumizi ,
nusu azimie hapo ofisi za western union.

Nilikuwa nikitoka south namtumia kwa basi viatu made from SA pairs 30 auze hapo chuoni ili ajikimu na maisha..
Hizo simu za kila mara blackberry torch, carved/Samsung Corby na HTC ndy kama kawaida kubadilisha.

Na mwisho wa siku,
akanichoma na kitu chenye incha Kali moyoni.,
na kunimalizia kwa kunipiga na kitu kizito kisogoni.

Nilikwenda mwanza mara 2 tulionana mara 1 kwa kisingizio cha discussion.

Nikifikirie zile gharama roho inauma Sana.
Kwa kipindi kile ningenunuwa shamba bunju sasa napiga pesa..
Si alikua anakupa utamu lakin samehe tu.
 
Sometimes mwanamke unamuonea huruma ,
Unaamua kumsaidia kwa mapenz ,,
,kama rafiki,,
kama future wife.

Lakini wao wanatufikiria tofauti.

Nilichojifunza kwa mwanamke ni kwamba,
kadiri unavyomjali na kumthamini ndy anavyozidi kukukalia mbali na kutafuta mahusiano mengine.

Utawasikia wanasema "
Mapenzi sio pesa.

Mimi nilikuwa na mipango nae ya kuoa kabisa,
Kumbe ananichukulia Mimi ni pimbi wa kwenye SANI.
Pole, labda hakukupenda vinginevyo angetulia na wewe.
 
Pole, labda hakukupenda vinginevyo angetulia na wewe.
Mkuu ni kwamba mwanamke hata akupende vipi,
Muda wako ukifika ni lazima akutende.

Nakumbuka siku anaondoka kwenda chuo mwanza ,
Siku hyo alinililia kifuani kwangu,
Tena kilio cha kwi kwi,,

Akasema,
""Mwandende kweli naweza kuishi mbali na wewe?""

Huku akitokwa machozi.,

Sikuamini alivyobadilika.
 
Mkuu ni kwamba mwanamke hata akupende vipi,
Muda wako ukifika ni lazima akutende.

Nakumbuka siku anaondoka kwenda chuo mwanza ,
Siku hyo alinililia kifuani kwangu,
Tena kilio cha kwi kwi,,

Akasema,
""Mwandende kweli naweza kuishi mbali na wewe?""

Huku akitokwa machozi.,

Sikuamini alivyobadilika.
Pole rafiki.
 
Tena aliniacha kinyama Sana,

Kuna simu yake fulani iliharibika kioo,
ikabidi anipe nimbadilishie kioo,

Baada ya simu kupona, nikagunduwa madudu mengi Sana kwake kupitia phone's sms ambazo zilibaki kwenye simu yake.

Baby mbona Jana nimekuwekea chakula lakini umesusa ?
Najuwa hunipendi Ila mimi nakupenda Sana kuliko mwanaume yeyote..
Hakika wewe ndy chaguo langu.

Moja Kati ya sms zake niliizozikuta kwenye simu yake ,
Kwa kwl niliumia sn..
Nikiangalia hata pesa ya Kodi ya chumba anapoishi nalipa Mimi.

Baada ya kucopy namba ya yule jamaa mlengwa ,,
nikaamua kumpigia simu,

Jamaa akafunguka kwamba hana mipango na yule demu zaidi ya kugegeda tu.

Nikarudi kwa yule mrembo wa chuo kumpigia simu.
Nikamuuliza kuhusu SMS na nimempigia jamaa amekiri kuwa na mahusiano.

Kabla hajakaa simu yangu
Akaniambiya ,,

Sasa Mimi nikusaidiaje kwa Mfano?
Ndy mwisho wa mapenzi yetu hadi sasa mwaka wa 11 sijawahi kumuona hata kwa bahati mbaya.
Duu pole
 
Lile li dem nililionga ka goroka ka tecno ka 27k mbaya zaidi adi leo najuta kipindi namkabidhi getto Kuna ka toto kapisi ka jirani kaliingia getto bila kubisha odi kalikua kananiletea juice ya embe nikazuga uku nikijiongelesha .. ndo uache kutumia sim ya Bibi kuanzia leo Niki target ile pisi ijue kua mimi na hii manzi Ni ndugu .. na kweli Dem alikua anatumia sim ya Bibi yake so nikaua ndege wawili kwa jiwe moja ..

Picha linaanza nikaomba mzigo Dem hajui lolote Yani Ni zero kwa bed nikiweka tu linatetetma Kama mayele lina ruka ruka tu yan vurugu mara litoke kwa bed likae kwa Coach hovyoo kabisa mara lilale Kama limzoga nilipata hasira nikalitoa nduki.

Kesho yake asubui ka c ster kangu kananitumia text Kaka niletee kale ka sim kako kadogo sim yangu kio kimevuja ..

Nilipata hasira .. mpaka leo Dem akiniomba kitu hua nacheka kwa dharau .. imeisha iyoo ..
@mzabzab

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Mimi nimepata hasara pengine zaidi ya hyo.
Nimezungumzia cash ya bank niliyotuma kwa slip 1.8.Milioni.
Bado zile nampa cash anakwenda nazo chuo..
Simu ndy usiseme kubadilisha kila muda tukionana.
Mara kuna friend Wangu anakuja huko dar mpe hiki.
Hizo laptop ndy ilikuwa kama deni nanunuwa.

Nakumbuka nilikuwa nikija na viatu toka SA nauza 15000.
Nikija na pairs 70 napunguza 30 pairs nampa auze chuoni kwao.

Na ukiangalia wakati huo kiwanja mbezi ni laki 5.
Kibaha ni laki tano kwa hekta,
Ningekuwa wp kwa sasa?
Hapo ndy naumia sn kwa huyu dada.

Alaaniwe popote alipo..
Dah nyie mna moyo aisee laptop umnunulie demu😲😲😲😲
 
Daaah, ni juzi kati tu nimehonga demu simu, alikuja mkoani ninaoishi sasa akapoteza simu ikanibidi niingie mfukoni nimnunulie simu, sijapewa hata mzingo akatembea mkoani kwao kimnya kimnya wala sijui nitampatia wapi, yaani siwezi honga tena maisha yangu yote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom