Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

Wahenga walisema "usiwekeze saana kwa mchumba, mpe hela ambayo unajua hata mkiachana haitakuuma." Nina ndugu yangu alimhudumia mwanamke zaidi ya 20 millions anavyosema ila sio pesa ya kutoa kwa pamoja ni zile za umemnunulia simu leo, kesho anataka laptop ya 600k+ mwezi ujao kodi ya pango imeisha nayo 240k+ mara nguo viatu nk (na vitu kama simu likija tolea jipya au jamaa akinunua simu mpya demu akiipenda anachukua sijui zile nyingine alikua anauza au anawapa mashoga zake au wadogo zake) × miaka labda mitano au 7+ ya mahusiano mwamba alichunwa mno. Anabakia kulalamika tu. Na mwanamke ashaolewa na mwingine. Never mchumba hahudumiwi kama mke na hasomeshwi
Ikawaje jamaa akuoa huyo demu?
 
Tena aliniacha kinyama Sana,

Kuna simu yake fulani iliharibika kioo,
ikabidi anipe nimbadilishie kioo,

Baada ya simu kupona, nikagunduwa madudu mengi Sana kwake kupitia phone's sms ambazo zilibaki kwenye simu yake.

Baby mbona Jana nimekuwekea chakula lakini umesusa ?
Najuwa hunipendi Ila mimi nakupenda Sana kuliko mwanaume yeyote..
Hakika wewe ndy chaguo langu.

Moja Kati ya sms zake niliizozikuta kwenye simu yake ,
Kwa kwl niliumia sn..
Nikiangalia hata pesa ya Kodi ya chumba anapoishi nalipa Mimi.

Baada ya kucopy namba ya yule jamaa mlengwa ,,
nikaamua kumpigia simu,

Jamaa akafunguka kwamba hana mipango na yule demu zaidi ya kugegeda tu.

Nikarudi kwa yule mrembo wa chuo kumpigia simu.
Nikamuuliza kuhusu SMS na nimempigia jamaa amekiri kuwa na mahusiano.

Kabla hajakaa simu yangu
Akaniambiya ,,

Sasa Mimi nikusaidiaje kwa Mfano?
Ndy mwisho wa mapenzi yetu hadi sasa mwaka wa 11 sijawahi kumuona hata kwa bahati mbaya.
Duh noma sana mkuu. Huyo kweli kwako alikuwa kazini. Maana hakuwa na huruma hata kidogo na we
 
Wahenga husema "mwenye huruma hana bahati" usijipe majukumu ya mzazi aisee mambo ya kumsomesha sijui kumlipia kodi sijui na nini hayo yana wahusu wazazi wake. Kwangu manzi akileta swaga za sijui nisomeshe sijui nina shida ambayo nikifikiria na kuwazua ni.mambo yake na familia yake mm sitoi kwanza sina hiyo huruma. Wanawake wanataka akili tu na sio kuwapa kila watakalo utalia. Na huwa wanakujaribu km akiomba mara ya kwanza ukachomoa hakuombi tena ila kama akiomba unatoa mzee umeruhusu mtu awe yatima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila mkuu,,elewa kuwa kwenye mapenzi ya kweli kuna huruma ndani yake.

Huwezi kuwa na furaha kama umpendae anahangaika kwa shida na uwezo wa kumsaidia unao.

Tatizo Lao wanawake haijulikani wanatafuta nini ktk mapnz..
Ukiwa na pesa watasema mapenzi sio pesa.
Ukiwa huna pesa watasema hawataki mwanaume suruali.

Basi mradi tu waendelee na usaliti wao wa mapenzi.
 
Mkuu pole saana. Mm katika kukua kwangu niliyoshuhudia mitaa niliyoishi ndiyo yaliyonifanya nisione huruma ya kummpa mwanamke lila atakacho asipp rizika na kidgo kikubwa apewe na wazazi wake. Yaani tukutane ile kunyanduana apewe nauli km ni.mchumba wa kuoa aisee shida zake aanzie kwa wazazi wake zile kubwa. Mm nitamhudumia kwa ukubwa nikimuoa.
Shukran sn mkuu,
Lakini hata ukioa mkuu,,
Mwanamke habadiliki nature yake.

Tumeshuhudia watu wakikimbiwa na wake zao baada ya kuwafanyia kila kitu kwenye maisha.
 
Ni aina fulani ya biashara shem, unapewa..Ila na wewe utatoa/unatoa. Anayekupa anahesabia utazilipa kwa namna nyingine [emoji23][emoji23]

Asante ndiyo nimejua leo hii maana[emoji3]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom