Kisutu: Mahakama yamhukumu Mfanyabiashara Herbinder Seth Kulipa fidia ya Tsh. 26.9 bilioni

Isije ikawa kaishia kulipa tu hizo milioni sijui mia 2,mtatupa mresho 2025 maana huo tu ndo muda muafaka nguvu yetu ilipo.
Huyu jamaa aliachwa tu na JK.mpaka Mwendazake alipojitoa mhanga.
 
kwani kazi ya dpp ni nini?hilo sio miongoni mwa majukumu ya dpp kisheria?
 
Mkuu mbona sioni uzi wako ukijadili bajeti? Sasa hivi naona ukiamzishwa uzi wowote unarukia ili uone utamtakatishaje dhalimu.
Mkuu tuko busy na MONDI kwanza hasa ukizingatia dhalimu wako anakomolewa
 
Kabla hujalaumu kwanza jiridhishe vya kutosha kwa kupitia sheria zilizopo. Soma sheria kuhusu plea bargain utaona inaruhusu hicho kilichofanyika.
 
Mzee wa Heineken mbishi bado naona ngoja tusubiri kidogo tuone


Bila shaka atakuwa anajiamini siyo bure.

Kwa muda wote alokaa mahabusu halafu na vipensheni vyake na wajukuu zake vikombwe itakuwa na maana gani?!

Bora angelipa mwanzoni kukwepa jera muda wote angeutumia kwa uzalishaji au biashara zake.

Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi.
 

 
Ebo!!! Kaiba bilioni 300 analipa bilioni 26?????? Na kifungo cha nje tu!?!?!? Kakiri aliiba halafu anarudisha 10% tu ya alichoiba!!??!!??
Hiyo mbona hata mimi naweza. Hilo fundisho negative kabisa!

Ohhh! Yes! I'm dreaming!!!
 
Lakini naona Singasinga kawa 'trim', na anaonekana mwenye nguvu kuliko alivyokuwa kabla ya yote haya!

Mwanzo alikuwa kavimbiana kama anataka kupasuka! Au shauri ya 'puto'?
Mpk ana six park sa hivi,aliomba kwenda kutolewa hilo puto huko S/Africa akakataliwa wakamwambia alitolee hapa hapa.
 
Hizi pesa hebu tuandikie kwa maneno plz. Sitaki kugeuka kama yule mbunge wa kike bungeni
 
Yaani ilimradi tu kumsumbua jpm...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…