Salaam Wakuu,

Jeshi la Polisi linawashikilia Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA waliofika Mahakamani Kusikiliza kesi Mbowe.

Leo Kisutu ulinzi ni Mkali, Hawaruhusu watu kuingia, isipokua wachache tu kutokana na maradhi ya Corona. Hivyo Wanachama na Wafuasi wengi wa CHADEMA hawakufanikiwa kuingi.

Walipokua wengi Wakaanza kuimba Mbowe sio Gaidi, na kutoa Mabangu waliyokuwa wameficha ndani ya nguo.

Baada ya Robo saa, Polisi walikuja na Magari wakaanza kuwatawanya bila kupiga Mabomu.

Watu zaidi ya 20 Wamekamatwa na Wengine wamefanikiwa kukimbia
IMG_20210805_094733_9.jpg
IMG_20210805_094758_5.jpg
IMG_20210805_094716_0.jpg
IMG_20210805_093832_1.jpg
IMG_20210805_093835_1.jpg
IMG_20210805_093659_0.jpg
IMG_20210805_093304_0.jpg
IMG_20210805_092139_6.jpg
 
Mambo ya usalama wa ndani ya nchi yatabaki kuwa ya nchi.

Tanzania is a sovereign coutry.

ila Chadema hakikufaa kabisaa kuwa chama cha upinzani nchini Tanzania kwa tabia ya mara kwa mara wanayo ionyesha inapo tokea jambo lolote basi wanaenda kuichongea Tanzania kwa mataifa makubwa wakitegemea Viongozi wetu wataogopa!! thubutu!!!! kamwe tusivumilie tabia hii ya kizandiki!!! labda wakafanye siasa zao Burundi lkn sio Tz.

Tunaomba viongozi wetu wasiyumbe kabisa, wawe imara kusimamia sheria za nchi.

Demokrasia sio kuvunja amani.
Sheria ipi aliyovunja Mbowe?

Viongozi wetu wanategemea sana mataifa ya nje hasa kiuchumi ivyo lazima waogope tu,na tutaendelea kuwachongea nje mpaka mfuate sheria na katiba,tunapiga panapouma!
 
Salaam Wakuu,

Jeshi la Polisi linawashikilia Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA waliofika Mahakamani Kusikiliza kesi Mbowe.

Leo Kisutu ulinzi ni Mkali, Hawaruhusu watu kuingia, isipokua wachache tu kutokana na maradhi ya Corona. Hivyo Wanachama na Wafuasi wengi wa CHADEMA hawakufanikiwa kuingi.

Walipokua wengi Wakaanza kuimba Mbowe sio Gaidi, na kutoa Mabangu waliyokuwa wameficha ndani ya nguo.

Baada ya Robo saa, Polisi walikuja na Magari wakaanza kuwatawanya bila kupiga Mabomu.

Watu zaidi ya 20 Wamekamatwa na Wengine wamefanikiwa kukimbia
Kipao kinageuziwa maradhi ya CORONA, mbona wafungwa na mahabusu wanawalundika kwenye selo na hawazingatii uwepo wa CORONA!
 
Mambo ya usalama wa ndani ya nchi yatabaki kuwa ya nchi.

Tanzania is a sovereign coutry.

ila Chadema hakikufaa kabisaa kuwa chama cha upinzani nchini Tanzania kwa tabia ya mara kwa mara wanayo ionyesha inapo tokea jambo lolote basi wanaenda kuichongea Tanzania kwa mataifa makubwa wakitegemea Viongozi wetu wataogopa!! thubutu!!!! kamwe tusivumilie tabia hii ya kizandiki!!! labda wakafanye siasa zao Burundi lkn sio Tz.

Tunaomba viongozi wetu wasiyumbe kabisa, wawe imara kusimamia sheria za nchi.

Demokrasia sio kuvunja amani.
Kuna watu mna akili kama za punda tuu
 
Salaam Wakuu,

Jeshi la Polisi linawashikilia Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA waliofika Mahakamani Kusikiliza kesi Mbowe.

Leo Kisutu ulinzi ni Mkali, Hawaruhusu watu kuingia, isipokua wachache tu kutokana na maradhi ya Corona. Hivyo Wanachama na Wafuasi wengi wa CHADEMA hawakufanikiwa kuingi.

Walipokua wengi Wakaanza kuimba Mbowe sio Gaidi, na kutoa Mabangu waliyokuwa wameficha ndani ya nguo.

Baada ya Robo saa, Polisi walikuja na Magari wakaanza kuwatawanya bila kupiga Mabomu.

Watu zaidi ya 20 Wamekamatwa na Wengine wamefanikiwa kukimbia
View attachment 1880581View attachment 1880582View attachment 1880583View attachment 1880585View attachment 1880586View attachment 1880587View attachment 1880588View attachment 1880590
Kama chama kimeruhusiwa kumiliki jeshi la polisi kwa nini Chadema wasiwe na polisi wao?

CCM hawawezi kuondoka kwa kubembelezana .. lazima watu waingie msituni wapate mafunzo kama ilivyokuwa kumuondoa kaburu ndio inavyotakiwa kumuondoa ccm kwa sababu wanapenda sana faulu na rafu.
 
Roho mbaya mnayo nyie watumia viwembe

Lini mmepanga kumyoa mama kama mtangulizi wake!?
Nani Sasa kaongelea mambonya viwembe?

Usishabikie mateso ya mwingine kwa kuwa yanaweza kukupata pia.

Yaani wewe unaamini kabisa kuna mtu anaweza akaenda kumyoa mamam na kiwembe?
 
Ni Asubuhi tulivu ya siku ya Alhamisi.

Kiongozi mkuu wa Upinzani Freeman Mbowe anatarajiwa kuletwa mahakamani Kisutu Leo katika Kesi ya Ugaidi.

Kesi hii inavuta kila mpenda haki na mwanademokrasia kutokana na ukweli Mbowe amebambikizwa kesi hii ili kumnyamazisha kutokana na Kampeni aliyoasisi ya Kudai Katiba Mpya

Mahakama hii inatarajiwa kufurika umati mkubwa wa watu kulaani unyama na uonevu wa vyombo vya dola.Ikumbukwe ni juzi tu bila Aibu alijitokeza IGP Simon Sirro na kuingilia mhimili wa Mahakama kwa kumhukumu Mbowe huku akijua kesi iko mahakamani.

Watu wengine wanaotarajiwa kufurika Kisutu ni Wawakilishi kutoka Jumuiya ya Ulaya, Marekani na balozi kadhaa nchini huku vyombo vikubwa vya Habari Duniani BBC, VOA, DW na Aljazeera vikitarajiwa kuwa live mahakamani.

Molemo media tayari iko kwenye viwanja vya Mahakama hii kuwaletea kila kinachojiri.

Updates
Imethibitishwa kwamba Freeman Mbowe hataletwa mahakamani na badala yake kesi inaendeshwa kwa njia ya Mtandao (Video Conference)

Taarifa za Uhakika ni kwamba dola Wana hofu kubwa kumleta Mbowe Mahakamani kutokana na Hasira ya wananchi.

Pamoja na vitisho vya IGP Simon Sirro alivyotoa juzi dhidi ya watakaohudhuria mahakamani Kisutu na kuongea uongo mwingi dhidi ya Mbowe lakini Leo idadi kubwa ya watu imehudhuria mahakamani na wengine wakiendelea kumiminika kabla ya kuanza kuondoka baada ya Taarifa kwamba kesi itaendeshwa kimtandao.

Kamanda wa Polisi DSM Muliro Jumanne alifika mapema Kisutu kuona Hali ya mambo huku kukiwa na Askari zaidi ya 100 wenye silaha na wengine waliovalia kiraia.

Pamoja na Serikali kuogopa kumleta Mbowe Mahakamani lakini ni wazi Kelele za umma unaotaka haki zimewatisha na kuwaogofya
Mama n mcherengwa fani zao ni uvuvi,akili hawana yani pipa n mfuniko,kurembua ndio anaweza
 
Back
Top Bottom