Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,818
- 11,994
Salaam Wakuu,
Jeshi la Polisi linawashikilia Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA waliofika Mahakamani Kusikiliza kesi Mbowe.
Leo Kisutu ulinzi ni Mkali, Hawaruhusu watu kuingia, isipokua wachache tu kutokana na maradhi ya Corona. Hivyo Wanachama na Wafuasi wengi wa CHADEMA hawakufanikiwa kuingi.
Walipokua wengi Wakaanza kuimba Mbowe sio Gaidi, na kutoa Mabangu waliyokuwa wameficha ndani ya nguo.
Baada ya Robo saa, Polisi walikuja na Magari wakaanza kuwatawanya bila kupiga Mabomu.
Watu zaidi ya 20 Wamekamatwa na Wengine wamefanikiwa kukimbia
Jeshi la Polisi linawashikilia Wanachama na Wafuasi wa CHADEMA waliofika Mahakamani Kusikiliza kesi Mbowe.
Leo Kisutu ulinzi ni Mkali, Hawaruhusu watu kuingia, isipokua wachache tu kutokana na maradhi ya Corona. Hivyo Wanachama na Wafuasi wengi wa CHADEMA hawakufanikiwa kuingi.
Walipokua wengi Wakaanza kuimba Mbowe sio Gaidi, na kutoa Mabangu waliyokuwa wameficha ndani ya nguo.
Baada ya Robo saa, Polisi walikuja na Magari wakaanza kuwatawanya bila kupiga Mabomu.
Watu zaidi ya 20 Wamekamatwa na Wengine wamefanikiwa kukimbia