Ijumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.
Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.
Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.
Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.
Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)
Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.
Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.
Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi
=====
UPDATES:
Freeman Mbowe na Watu wengine watatu, Wamesomewa Mashitaka upya. Mbowe ana mashitaka Mawili ambayo ni
1. Kula njama kwa nia ya kutenda kosa(Wote)
2. Kosa la kufadhili Vitendo vya Ugaidi kwa kutoa pesa.(Mbowe)
3.Kukusanya fedha kwa lengo kutekeleza vitendo vya ugaidi
4.Kupatikana na siraha isivyo halali(Mshitakiwa wa tatu)
5.Kupatikana na risasi isivyo halali(Adam)
6.kukutwa na sare za jeshi(Alfan)
Shitaka ambalo limeondolewa ni la dawa za kulevya.
Upelelezi umekamilika wanasubiri jalada kutoka kwa DPP. Kesi imeahirishwa hadi 13|08|2021
Zaidi soma: Thread 'Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua' News Alert: - Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua
Thread 'Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021' Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021
Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.
Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.
Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)
Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.
Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.
Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi
=====
UPDATES:
Freeman Mbowe na Watu wengine watatu, Wamesomewa Mashitaka upya. Mbowe ana mashitaka Mawili ambayo ni
1. Kula njama kwa nia ya kutenda kosa(Wote)
2. Kosa la kufadhili Vitendo vya Ugaidi kwa kutoa pesa.(Mbowe)
3.Kukusanya fedha kwa lengo kutekeleza vitendo vya ugaidi
4.Kupatikana na siraha isivyo halali(Mshitakiwa wa tatu)
5.Kupatikana na risasi isivyo halali(Adam)
6.kukutwa na sare za jeshi(Alfan)
Shitaka ambalo limeondolewa ni la dawa za kulevya.
Upelelezi umekamilika wanasubiri jalada kutoka kwa DPP. Kesi imeahirishwa hadi 13|08|2021
Zaidi soma: Thread 'Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua' News Alert: - Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua
Thread 'Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021' Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021