Yaliyojiri Kisutu, Dar: Kesi ya Freeman Mbowe, yaahirishwa hadi 13 Agosti, 2021, Mashtaka yasomwa upya

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,534
13,225
Ijumaa Imefika kukiwa na Baridi asubuhi hii katika jiji la DSM.

IMG_20210806_094508_994.jpg
Freeman Mbowe aliyebambikwa kesi ya Ugaidi na dola kutokana na vuguvugu la kudai Katiba impya inaendelea Leo baada ya kuahirishwa Jana kutokana na tatizo la kimtandao.

Itakumbukwa mwanzoni mwa wiki hii Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro bila aibu aliitisha Mkutano wa wanahabari bila kujali anaingilia Uhuru wa Mahakama alimshambulia Freeman Mbowe na kumhukumu kwa kesi hii ya kubambikwa. Simon Sirro alienda mbali na kutumia mpaka udini kuhalalisha madai yake ya uongo dhidi ya Mbowe.

Kama ilivyokuwa Jana tunatarajia idadi kubwa ya Wananchi kuhudhuria kesi hii wakiwemo vijana, wanawake na Wazee.

Dunia imesimama na wapigania haki Tanzania na tayari mpaka Jana nchi kadhaa duniani zimetoa matamko ya kufuatilia kesi hii kwa ukaribu ikiwemo Marekani, Canada, Uswiss, Uingereza, European Eunion na Umoja wa Mataifa (UN)

Molemo media tayari tumetinga hapa Kisutu kuripot yanayoendelea mwanzo mwisho.

Updates saa 2.30 Asubuhi
Mpigania haki wa Tanzania Freeman Mbowe amefikishwa Mahakama ya Kisutu chini ya Ulinzi mkali wa Askari wenye silaha.

Mbowe Mara baada ya kushuka amenyoosha ishara ya vidole viwili kusalimia wananchi

=====

UPDATES:

Freeman Mbowe na Watu wengine watatu, Wamesomewa Mashitaka upya. Mbowe ana mashitaka Mawili ambayo ni

1. Kula njama kwa nia ya kutenda kosa(Wote)

2. Kosa la kufadhili Vitendo vya Ugaidi kwa kutoa pesa.(Mbowe)

3.Kukusanya fedha kwa lengo kutekeleza vitendo vya ugaidi

4.Kupatikana na siraha isivyo halali(Mshitakiwa wa tatu)

5.Kupatikana na risasi isivyo halali(Adam)

6.kukutwa na sare za jeshi(Alfan)

Shitaka ambalo limeondolewa ni la dawa za kulevya.

Upelelezi umekamilika wanasubiri jalada kutoka kwa DPP. Kesi imeahirishwa hadi 13|08|2021

Zaidi soma: Thread 'Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua' News Alert: - Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

Thread 'Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021' Hati ya Mashtaka dhidi ya Freeman Mbowe iliyotumiwa Julai 26, 2021



IMG_20210806_090426_658.jpg
IMG_20210806_090353_9.jpg
IMG_20210806_091433_557.jpg
IMG_20210806_091520_497.jpg
IMG_20210806_091340_094.jpg
IMG_20210806_081512_8.jpg
IMG_20210806_081522_8.jpg
IMG_20210806_092415_947.jpg
20210806_193357.jpg
20210806_193401.jpg
 
Yule mwamba shujaa wa wapigania haki atakuwapo Kisutu leo.

Ifahamike kuwa ni kosa kwa mtu yeyote kuvunja sheria kama zilivyoainishwa katika katiba ya nchi.





Ifahamike pia vitendo hivi vya polisi ndivyo vinavyotupa mwamko zaidi wa kudai haki zetu zote kwa mujibu wa katiba.

Tulipo sasa mikakati yetu wa wazi ya kujilinda kama ilivyoainishwa hapa:

Freeman Mbowe hayuko peke yake, Pongezi kwa wote

Ni muhimu sana katika kupanua wigo wa ushiriki na kumfahamisha Sirro ili kuweza kujitafakari.

Tukutane Kisutu ambako kamanda Mbowe hatakuwa peke yake.

Aluta Continua!
 
Mbowe ni gunia la misumari, kila anayejitwisha lazima atahangaika na kulitua haraka!

Mr Freeman Aikael Mbowe: BWANA akubarikie, na kukulinda; BWANA akuangazie nuru za uso wake, na kukufadhili; BWANA akuinulie uso wake, na kukupa amani; katika jina la Mungu Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu, Amina.

Mbowe uwe na siku njema yenye baraka!
 
Wapenda amani kote nchini na wazalendo wa nchi popote pale walipo kamwe tusikubali hawa wahuni wachache wanao jifanya wanadai haki kwa kuvunja sheria watuharibie Amani ya nchi yetu.

tuchukue hatua za kuwafichua na kuwa ripoti popote pale walipo. Sio wafuasi wote wa chadema wanafurahia uhuni huu bali wapo wahuni wachache wenye chembe chembe za Ugaidi/ uhalifu/ ujanbazi/ wizi ndio wanafanya vitendo hivi vya kihuni ili wapate sababu.
 
Wapenda amani kote nchini na wazalendo wa nchi popote pale walipo kamwe tusikubali hawa wahuni wachache wanao jifanya wanadai haki kwa kuvunja sheria watuharibie Amani ya nchi yetu.

tuchukue hatua za kuwafichua na kuwa ripoti popote pale walipo. sio wafuasi wote wa chadema wanafurahia uhuni huu bali wapo wahuni wachache wenye chembe chembe za Ugaidi/uhalifu/ujanbazi/wizi ndio wanafanya vitendo hivi vya kihuni ili wapate sababu.
 
Mtapata sana taabu. Tutachanga hadi kuku kuhakikisha haki inapatikana.
utaishia jela, utaacha familia yako inateseka huku familia ya Mbowe ikiwa inakula starehe Dubai!

jiongeze wewe, familia za kina Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala hawapati tabu, wao maisha yao ni mazuri na wanao uhakika wa kula na kusomesha wewe unaganga njaa.achana na upuuzi huo. hangaikia maisha yako kwanza uwe na uhakika.
 
Wapenda amani kote nchini na wazalendo wa nchi popote pale walipo kamwe tusikubali hawa wahuni wachache wanao jifanya wanadai haki kwa kuvunja sheria watuharibie Amani ya nchi yetu.

tuchukue hatua za kuwafichua na kuwa ripoti popote pale walipo. sio wafuasi wote wa chadema wanafurahia uhuni huu bali wapo wahuni wachache wenye chembe chembe za Ugaidi/uhalifu/ujanbazi/wizi ndio wanafanya vitendo hivi vya kihuni ili wapate sababu.
 
Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
 
Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
 
Mbona jana kina mnyika mrema kubatala hawakuwa na nyie walala hoi.mmekamatea nyinyi wenzenu wakarudi majumbani kwa wake zao
 
Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
 
utaishia jela, utaacha familia yako inateseka huku familia ya Mbowe ikiwa inakula starehe Dubai!
jiongeze wewe, familia za kina Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala hawapati tabu, wao maisha yao ni mazuri na wanao uhakika wa kula na kusomesha wewe unaganga njaa.achana na upuuzi huo. hangaikia maisha yako kwanza uwe na uhakika.

Jela tu? Tusitishane:


Mbona kwenye factors zetu even the worst imo?
 
Back
Top Bottom