KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

HUYU ndio kigogo katika kunyorosha mistari yake


1629719816981.png
 
Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali.

UPDATE: Mashtaka
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam wamesomewa maelezo ya mashtaka mbalimbali yanayowakabili ikiwemo la kutaka kudhuru viongozi wa Serikali akiwemo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.


Upande wa mashitaka unasoma mashitaka kwa kusema kuwa; Halfan Bwire Hassan, Adam Hassan Kasekwa, Mohamed Abdallah Ling'wenya na Mhe. Freeman Mbowe wanatuhumiwa;

1. Freeman Mbowe anatuhumiwa kufadhili vitendo vya Ugaidi kwa kutoa shilingi za kitanzania laki sita ( 600,000). Jamhuri umeieleza Mahakama kuwa Matumizi ya fedha hiyo ni kama ifuatavyo;
1. Kulipua vituo vya Mafuta
2.kulipua mikusanyiko ya watu
3.Kukata miti na kusambaza barabarani

2. Kula njama na kusabisha majeraha kwa aliyekuwa mkuu wa wilaya Hai, Lengai Ole Sabaya

3. Watuhumiwa wote ambapo wanatuhumiwa kushiriki vikao na Kula Njama za kutenda Ugaidi

4. Mshtakiwa wa pili anashitakiwa kumiliki bastola yenye risasi tatu kwa ajili ya kutenda kosa la ugaidi.

5. Mshtakiwa wa tatu anatuhumiwa kumiliki nguo, begi na koti za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWT) na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT.)

-
UPDATE: Mashahidi 24 vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

Mashahidi 24 na vielelezo 19, wanatarajia kutoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Miongoni mwa mashahidi hao, yupo aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi na Makosa ya Jinai nchini (DCI), Robert Boaz.

Hayo yameelezwa leo, Agosti 23, 2021 na upande wa mashtaka ukiongozwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Nassoro Katuga akisaidiana na Ester Martin, wakati wakiwasomea maelezo ya mashaidi na vielelezo (Commital Proceedings) washtakiwa hao, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Thomas Simba.

Credit: Mwananchi
Mimi siyo mwanasheria! Ila ukiyaangalia hayo mashtaka, unao upna kabisa ni ya kitoto! Na sidhani kama yana mashiko. Yaani tsh laki 6, ndiyo iweze kutumika kulipulia vituo vya mafuta! Kuweka miti barabarani 😁😁😁, eti na kulipua mikusanyiko ya watu!!

Halafu Mama akalishwa na matango pori, eti kuna watuhumiwa wengine tayari wapo gerezani wanatumikia vifungo vyao!!
Hakuna kesi hapa!!! Tunapotezeana tu muda.
 
Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali.

UPDATE: Mashtaka
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam wamesomewa maelezo ya mashtaka mbalimbali yanayowakabili ikiwemo la kutaka kudhuru viongozi wa Serikali akiwemo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.


Upande wa mashitaka unasoma mashitaka kwa kusema kuwa; Halfan Bwire Hassan, Adam Hassan Kasekwa, Mohamed Abdallah Ling'wenya na Mhe. Freeman Mbowe wanatuhumiwa;

1. Freeman Mbowe anatuhumiwa kufadhili vitendo vya Ugaidi kwa kutoa shilingi za kitanzania laki sita ( 600,000). Jamhuri umeieleza Mahakama kuwa Matumizi ya fedha hiyo ni kama ifuatavyo;
1. Kulipua vituo vya Mafuta
2.kulipua mikusanyiko ya watu
3.Kukata miti na kusambaza barabarani

2. Kula njama na kusabisha majeraha kwa aliyekuwa mkuu wa wilaya Hai, Lengai Ole Sabaya

3. Watuhumiwa wote ambapo wanatuhumiwa kushiriki vikao na Kula Njama za kutenda Ugaidi

4. Mshtakiwa wa pili anashitakiwa kumiliki bastola yenye risasi tatu kwa ajili ya kutenda kosa la ugaidi.

5. Mshtakiwa wa tatu anatuhumiwa kumiliki nguo, begi na koti za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWT) na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT.)

-
UPDATE: Mashahidi 24 vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

Mashahidi 24 na vielelezo 19, wanatarajia kutoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Miongoni mwa mashahidi hao, yupo aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi na Makosa ya Jinai nchini (DCI), Robert Boaz.

Hayo yameelezwa leo, Agosti 23, 2021 na upande wa mashtaka ukiongozwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Nassoro Katuga akisaidiana na Ester Martin, wakati wakiwasomea maelezo ya mashaidi na vielelezo (Commital Proceedings) washtakiwa hao, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Thomas Simba.

Credit: Mwananchi
Yani 600,000 ndo uwalipe watu wafanye kazi hizo kweli?

Hao walio lipwa ni watanzania au wakimbizi?

Hivi kweli wanzilishi wa hizi kesi wanajuwa wanacho shitaki au ni kukurupuka?

Kweli elimu ya bongo naona inaitajika kurekebishwa sanaaa mana vichwa vya watu wengi vimeoza mpka vya juu kabisa. Haiwezekani laki 6 itoshe kufanya ugaidi.

Mabomu hivi ni shilingi ngapi kwani?

Au me sielewi usikute ni mtu moja alilipwa hiko kiasi afanye kazi zote. Ila apana aina logic ndani yake.
 
Yaani ulipe watu laki sita kwa ajili ya kufadhili ugaidi?. Aingii akilini. Mngeandika kingine kabisa. Nani apokee laki sita ajitwishe msalaba wa kufanya ugaidi. Hiyo pesa itamsaidia nini. Kweli mnaleta mahakamani vitu kama hivi. Mbona mnawapa mahakimu na majaji kazi ngumu hivi. Kupoteza mda, resorces. Mimi ninawashauri CCM kuliko kupata shida hivi badilisheni katiba tuwe na chama kimoja tuachane na huu usumbufu na tutaishi kwa amani.
 
Unaukumbuka ule ushahidi wa Lwakatare?.
Ule ushahidi uliyokuwa utolewe na Mwigu Madilu?
Alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani kwenye matukio ya ujambazi alikuwa kufika yeye tena akiwa kavalia magwanda rasmi.
Sasa hivi amehamishia usanii wake kwenye, tozo kandamizi na bado eti anaaminiwa.
Nchi hii imegeuzwa kichekesho kweli kweli na watawala wetu. Hata hivyo bado tunasubiri akautoe ule ushahidi mbinguni kwanza, halafu ashuke na mawingu kuja kuumalizia wa duniani.
 
Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali.

UPDATE: Mashtaka
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam wamesomewa maelezo ya mashtaka mbalimbali yanayowakabili ikiwemo la kutaka kudhuru viongozi wa Serikali akiwemo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.


Upande wa mashitaka unasoma mashitaka kwa kusema kuwa; Halfan Bwire Hassan, Adam Hassan Kasekwa, Mohamed Abdallah Ling'wenya na Mhe. Freeman Mbowe wanatuhumiwa;

1. Freeman Mbowe anatuhumiwa kufadhili vitendo vya Ugaidi kwa kutoa shilingi za kitanzania laki sita ( 600,000). Jamhuri umeieleza Mahakama kuwa Matumizi ya fedha hiyo ni kama ifuatavyo;
1. Kulipua vituo vya Mafuta
2.kulipua mikusanyiko ya watu
3.Kukata miti na kusambaza barabarani

2. Kula njama na kusabisha majeraha kwa aliyekuwa mkuu wa wilaya Hai, Lengai Ole Sabaya

3. Watuhumiwa wote ambapo wanatuhumiwa kushiriki vikao na Kula Njama za kutenda Ugaidi

4. Mshtakiwa wa pili anashitakiwa kumiliki bastola yenye risasi tatu kwa ajili ya kutenda kosa la ugaidi.

5. Mshtakiwa wa tatu anatuhumiwa kumiliki nguo, begi na koti za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWT) na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT.)

-
UPDATE: Mashahidi 24 vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

Mashahidi 24 na vielelezo 19, wanatarajia kutoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Miongoni mwa mashahidi hao, yupo aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi na Makosa ya Jinai nchini (DCI), Robert Boaz.

Hayo yameelezwa leo, Agosti 23, 2021 na upande wa mashtaka ukiongozwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Nassoro Katuga akisaidiana na Ester Martin, wakati wakiwasomea maelezo ya mashaidi na vielelezo (Commital Proceedings) washtakiwa hao, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Thomas Simba.

Credit: Mwananchi
Mbowe siyo gaidi kina chose banish a Mbowe aitwe gaidi ni ile misimamo yake kisiasa.
Mbowe anauwezo wa kujenga hoja na akaeleweka.Wenzetu hawa Ccm hawana huo uwezo, wao wanachoweza ni kukubambikia kesi za uhujumu uchumi, ugaidi na hata kukuua ikibidi.
 
Yaani ulipe watu laki sita kwa ajili ya kufadhili ugaidi?. Aingii akilini. Mngeandika kingine kabisa. Nani apokee laki sita ajitwishe msalaba wa kufanya ugaidi. Hiyo pesa itamsaidia nini. Kweli mnaleta mahakamani vitu kama hivi. Mbona mnawapa mahakimu na majaji kazi ngumu hivi. Kupoteza mda, resorces. Mimi ninawashauri CCM kuliko kupata shida hivi badilisheni katiba tuwe na chama kimoja tuachane na huu usumbufu na tutaishi kwa amani.
Siasa ni mchezo wa kuigiza, haya mambo yalikua yanafamyika Zanzibar kila baada ya uchaguzi mkuu watu wanauliwa na wazanzibari waliitwa kuwa wanapenda siasa sasa magaidi ccm mmeona wanavyofanya unyama sasaivi ndio muamini ccm ni janga kubwa sana
 
Back
Top Bottom