Mkuu mwambie kuwa wewe umeaminishwa kuwa UTAKATIFU wa Mbowe ni zaidi ya mwana wa Mungu YESUNi akili zakoooo au umeazima za kuazima?
Gaidi kweli atumie laki 6 kwa ajili ya vitendo vya kigaidi?!Gaidi ananyooshwa kwelikweli
Pole, utapojiaangalia kwenye kioo (mirror) utamuona huyowaliohukumiwa ni wale watatu ambao jumla walikuwa saba watatu wakahukumiwa kwa kuachiwa huru najuwa utasema hiyo siyo hukumu
........kesi ya uhujumu uchumi yenye ugaidi ndani yake.......Mbona Jamhuri inatupeleka raia kwa kasi hivi, amefikishwa kusikiliza kesi ya uhujumu uchumi tena na sio kesi ya ugaidi???
IGP Sirro na cabinet yako mungu anawaona.
Sasa ataambiwa anaingilia kesi iliyoko mahakamani.See new Tweets
Conversation
fatma karume aka Shangazi
@fatma_karume
Maybe they were ORDERED to charge Mbowe and are presenting the only “evidence” they have? Sisi: Sawa tutatekeleza. Wao: tena kesi mpeleke haraka maana wazungu wamenikalia kooni Sisi: Sawa
Mtafungua madai ya mabilioni ya pesa! Naona utakuwa bilionea soon.Mimi huwa ccm nawafananishaga na mavampire hakuna mtu mwenye akili timamu ambaye hana maslahi binafsi na ccm alafua awe na ushabiki na chama kilichojifia bado kikiwa madarakani..
mbowe atachomoka hapa na tutafungua madai ya mabilioni ya pesa kwa kashfa hii na kila aliyeumizwa atafutwa machozi,
huyo namba 19 sio mimi aisee ni yuleeee mwingine mimi yangu ina space , hatari sana duhBado inahitajika juhudi zaidi.
Kama kamanda Mbowe akitiwa hatiani tutaweza kusurvive?
Comment #7 nambari yako ya usajili inaashiria jitihada zaidi zinatakikana:
View attachment 1904542
Cc: Mag3
HUYU ndio kigogo katika kunyorosha mistari yake
Ni kutafuta kichaka hamna kitu pale,Mbowe aliponzwa na kauli kama hizi pia, kwamba "mahakama ikishindwa kumshughulikia nitamshughulikia mtaani"
Najua kilichompoza sabaya.