KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

waliohukumiwa ni wale watatu ambao jumla walikuwa saba watatu wakahukumiwa kwa kuachiwa huru najuwa utasema hiyo siyo hukumu
Pole, utapojiaangalia kwenye kioo (mirror) utamuona huyo

1629717749310.png
 
Mimi huwa ccm nawafananishaga na mavampire hakuna mtu mwenye akili timamu ambaye hana maslahi binafsi na ccm alafua awe na ushabiki na chama kilichojifia bado kikiwa madarakani..

mbowe atachomoka hapa na tutafungua madai ya mabilioni ya pesa kwa kashfa hii na kila aliyeumizwa atafutwa machozi,
 
Mimi huwa ccm nawafananishaga na mavampire hakuna mtu mwenye akili timamu ambaye hana maslahi binafsi na ccm alafua awe na ushabiki na chama kilichojifia bado kikiwa madarakani..

mbowe atachomoka hapa na tutafungua madai ya mabilioni ya pesa kwa kashfa hii na kila aliyeumizwa atafutwa machozi,
Mtafungua madai ya mabilioni ya pesa! Naona utakuwa bilionea soon.

Nyumbu buana?
 
Back
Top Bottom