laki 6

Kalman Laki (February 1, 1909 – February 12, 1983), sometimes referred to as Koloman Laki, was a Hungarian-American biochemist who contributed to the discovery of factor XIII. He was a National Institutes of Health (NIH) scientist.

View More On Wikipedia.org
  1. sky soldier

    Tozo ya laki 6 na elf 20 katika kila milioni 1 ya bei za bidhaa zinazoletwa nchini ni kabali ya mbao

    NA BADO KUNA KODI YA STOO Kwa kodi hizi za kimafia haziwezi zikaleta maendeleo, ni sawa na kichaa aanetaka kuibeba ndoo kwa kuingiza miguu yake na kujaribu kuibeba, Na hii mikodi yote iliyokuwepo kuna kipi kipya cha kujitambia kilicholetwa na hizi kodi ? Na bado mnaendelea kuomba mikopo kutoka...
  2. Nyuki Mdogo

    Plot4Sale Kiwanja jijini Mwanza kwa laki 6 tu

    Kiwanja Fumagila Kishili Jijini Mwanza Bei: Laki 6 tu punguzo hakuna Size: hatua 18 kwa 16 za miguu Mawasiliano: 0713096076 Kiko karibu na barabara kuu ya Kishili-Nyanama-Fumagila-Bujingwa Huduma za kijamii zote zipo senta ya nyanama Mawe, mchanga simenti nondo vyote vipo senta ya karibu...
  3. T

    Jinsi kamari (betting) ilivyonipotezea shilingi laki 6 ndani ya siku 60 tu

    Ahlan wa sahlan. Leo naomba niongelee experience yangu fupi katika betting (Kamari). Binafsi, mimi ni mmoja wa watu waliokuwa wanaipinga sana michezo ya Kamari, maarufu kama betting. Ila kutokana na upweke (boredom) pamoja na udadisi (curiosity) wa kutaka kujua nini kipo nyuma ya michezo hii...
  4. S

    Kumlipa Clinical Officer laki 6 sio haki hata kidogo

    Clinical officers wanafanya kazi kubwa sana kunusuru Maisha ya watu, kumlipa laki 6 ambayo ni sawa na Tsh elfu 20 kwa siku tena hapo bado makato sio haki hata kidogo. Tukianza na sekondari, huyu alilipa ada kubwa tofauti na wanafunzi wengine wanaosoma michepuo ya biashara na sanaa. Pia...
  5. Sitachoka

    Kama ni mfanyabiashara na una mtaji nicheki nikupe biashara ya kufanya kila siku unaingiza laki 6 kama faida

    Bidhaa unaweza toa Mwanza, Morogoro au Dar kuleta Dodoma, faida ya kila box baada ya usafiri ni 6000 kwa carton kama uko tayari nipigie nikupe maisha utanishukuru na utanifikiria cha kunipa kama shukurani baada ya shukurani. Nipigie simu 0621604087 IKO HIVI Kama una hela nenda Dar chukua...
  6. Ramon Abbas

    INAUZWA kwa laki 6 tu, unapata pikipiki cc 150 gia 5

    pikipiki chapa Gsm. Full Docs. cc 150, 5 gears. Haina changamoto zozote ni kuwasha na kuamsha Spea zake zinaingiliana na fekon, KiNGLION, San lg ipo Dar. Mbagala Zakhem
  7. Ramon Abbas

    INAUZWA Pikipiki TVS 125 Gia 4 kwa laki 6 tu. Dar es Salaam

    inahitaji betri tu ambayo inauzwa Tsh 25,000 Bima imeisha Tvs 125 Gia 4 iko mbagala. karibu tufanye biashara
  8. Chimulenge

    Kama uko Dodoma una laki 6, kila siku nitakuzalishia 10000

    Natafuta mtu ambae yupo Dodoma, nina biashara atoe laki 6 halafu kila siku atakuwa anapata faida ya 10000, kama upo tayari na una huo mtaji tafadhari tuwasiliane tufanye biashara. 0621604087 UPDATE NAWASHUKURU WOTE KWA MICHANGO YENU YOTE.. TAYARI NIMEMPATA MTU HIVYO SITAHITAJI MTU MWINGINE...
  9. MWALLA

    KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

    Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali. UPDATE: Mashtaka Mwenyekiti wa...
Back
Top Bottom