Kalman Laki (February 1, 1909 – February 12, 1983), sometimes referred to as Koloman Laki, was a Hungarian-American biochemist who contributed to the discovery of factor XIII. He was a National Institutes of Health (NIH) scientist.
NA BADO KUNA KODI YA STOO
Kwa kodi hizi za kimafia haziwezi zikaleta maendeleo, ni sawa na kichaa aanetaka kuibeba ndoo kwa kuingiza miguu yake na kujaribu kuibeba,
Na hii mikodi yote iliyokuwepo kuna kipi kipya cha kujitambia kilicholetwa na hizi kodi ? Na bado mnaendelea kuomba mikopo kutoka...
Kiwanja Fumagila Kishili Jijini Mwanza
Bei: Laki 6 tu punguzo hakuna
Size: hatua 18 kwa 16 za miguu
Mawasiliano: 0713096076
Kiko karibu na barabara kuu ya Kishili-Nyanama-Fumagila-Bujingwa
Huduma za kijamii zote zipo senta ya nyanama
Mawe, mchanga simenti nondo vyote vipo senta ya karibu...
Ahlan wa sahlan.
Leo naomba niongelee experience yangu fupi katika betting (Kamari).
Binafsi, mimi ni mmoja wa watu waliokuwa wanaipinga sana michezo ya Kamari, maarufu kama betting. Ila kutokana na upweke (boredom) pamoja na udadisi (curiosity) wa kutaka kujua nini kipo nyuma ya michezo hii...
Clinical officers wanafanya kazi kubwa sana kunusuru Maisha ya watu, kumlipa laki 6 ambayo ni sawa na Tsh elfu 20 kwa siku tena hapo bado makato sio haki hata kidogo.
Tukianza na sekondari, huyu alilipa ada kubwa tofauti na wanafunzi wengine wanaosoma michepuo ya biashara na sanaa.
Pia...
Bidhaa unaweza toa Mwanza, Morogoro au Dar kuleta Dodoma, faida ya kila box baada ya usafiri ni 6000 kwa carton kama uko tayari nipigie nikupe maisha utanishukuru na utanifikiria cha kunipa kama shukurani baada ya shukurani.
Nipigie simu 0621604087
IKO HIVI
Kama una hela nenda Dar chukua...
pikipiki chapa Gsm.
Full Docs.
cc 150, 5 gears.
Haina changamoto zozote ni kuwasha na kuamsha
Spea zake zinaingiliana na fekon, KiNGLION, San lg
ipo Dar. Mbagala Zakhem
Natafuta mtu ambae yupo Dodoma, nina biashara atoe laki 6 halafu kila siku atakuwa anapata faida ya 10000, kama upo tayari na una huo mtaji tafadhari tuwasiliane tufanye biashara.
0621604087
UPDATE
NAWASHUKURU WOTE KWA MICHANGO YENU YOTE..
TAYARI NIMEMPATA MTU HIVYO SITAHITAJI MTU MWINGINE...
Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali.
UPDATE: Mashtaka
Mwenyekiti wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.