BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,118
Kesi hizo zimefunguliwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha zikimkabili na wenzake watatu.
Kesi hizo zina mashtaka nane kila moja ikiwemo ya Ufujaji na Ubadhirifu wa Milioni 65 Fedha za Serikali.
Katika maelezo ya Kesi inadaiwa walijipatia kiasi hicho kwa kutumia Nyaraka kumdanganya mwajiri kuwa wamezitumia pesa hizo kumwaga moramu katika masoko ya Kilombero, Soko Kuu, Mbauda na Morombo, jambo ambalo sio kweli.
Washtakiwa wote wamekana mashtaka huku watatu wakiachiwa kwa dhamana.
Wasafi TV
Pia soma:
- Wakili ajitoa kesi ya aliyekuwa Mkurugenzi Jiji la Arusha
- Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dkt. John Pima na wenzake wameshinda rufaa ya kupinga kifungo cha miaka 20 jela
- Dkt. John Pima aliyekuwa DED Arusha na wenzake wahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela
=====
Visa vya watu maarufu wengine waliowahi kutuhumiwa au kukamatwa na madawa ya kulevya
- Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiw
- Madawa ya Kulevya: Matumla na Kaniki wakamatwa
- Wema Sepetu kapatikana na bangi
- Kocha wa Makipa Simba SC na wengine 8 wakamatwa na Dawa za Kulevya
- Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...