unajua kwanini yupo kimya, waliomzunguka wote ni ccm, hata akiimplement kitu lazma ccm watakikwamisha tu kisa upinzani, unakijua chama chetu na upinzani, upinzani wanauona kama ni ushetaniSina hakika na hilo, ila mbunge wa sasa wa Ukerewe anatokea Ukara, ni mbunge toka CHADEMA, nashangaa kwa nini yupo kimya sana bungeni.
wewe ni mkerewe wa wapi bila bilaNimegundua Wakerewe na Wakara ni wengi sana Jf, hata wewe?
du wewe kweli umeshazunguka hivyo visiwaNishaenda Irugwa (Ukerewe), Rukuba (Musoma Rural), Maisome (Buchosa, zamani Sengerema), Kerebe (Muleba), Goziba (Muleba), Bumbure/Mahaiga (Muleba), Ikuza/Kasenyi (Muleba) na Iramba/Murumo (Muleba).
katika visiwa vyote hivyo, Goziba, Kerebe na Iramba vina mandhari nzuri sana.
nyumba yake ya mwanzo ni ya kawaida tu ipo kijiji cha bugombe (msekwa), ana secondary yake inaitwa pius msekwa, nyumba unayosema wewe ipo kijiji cha nkilizya ila nilisikia fununu ila sina uhakika kuwa kauzia serikali hiyo ndio wanalala wakubwa wakienda kule, hii ni bomba sanaNyumba ya Mongela ipo barabarani tu, katumia interlocking bricks, imetoka poa sana, kanyanyua na bendera ya chama chake. Nyumba ya Msekwa sijawahi iona, ila naambiwa ndio nyumba inayotumiwa kama kulaza maraisi wakifika Ukerewe.
walishamjaribu na wakamuweza, hakurudi tena mpaka anang'atuka na kufaNadhani Mwalimu alichagiza kwenye ile hotuba sababu kanda ya ziwa ukisema Ukara, moja kwa moja akilini watu wanawaza ndumba, inshort hawa jamaa walisifika sana kwa ndumba enzi hizo.
Na mimi niliskia hivyo lakini inasemekana hajaiuza ila serikali iliingia naye makubaliano maalum kuwa wanaitumia pale wanapopata ugeni wa kitaifa!nyumba yake ya mwanzo ni ya kawaida tu ipo kijiji cha bugombe (msekwa), ana secondary yake inaitwa pius msekwa, nyumba unayosema wewe ipo kijiji cha nkilizya ila nilisikia fununu ila sina uhakika kuwa kauzia serikali hiyo ndio wanalala wakubwa wakienda kule, hii ni bomba sana
ila lina speed ya konokonoNmetoka Mwanza mchana na kufika Nansio Ukerewe jioni, hapa ntalala na kumalizia safari yangu kesho.
Kwa sasa Nyehunge kaleta ferry mpya, kaipa jina la Nyehunge II, ina class tatu, VIP, First Class na Second Class. Naona safari ya Nansio imefanywa ni ya kuvutia sasa tofauti na zamani.
wanadumisha milamweeh.................
ivi mpaka karne hii kuna watu wanaojisifia kuwa na uchawi?
afu sijaelewa unatupa jani likirudi linarudi kama mambo? what does the word "mambo" mean?
nadhani kasemea ukara, mie nipo nansio 3g naipata vizuri tu3G a.k.a 4G haipatkani Nansio? Unatumia mtandao gani
yaika lijiji la bashite, eswe makonda echimmenya ulya wa tabora,Nilio anye nikae lijiji lya Makonda sikujinu abhambilikira sijui niga?
we kweli umeingia juzi tu hii ni hali halisi ya ukerewe kwa sasa full greenish
aisee 30 yrs, duu umeasi kwenu, njoo uone nansio ilivyobadilika, sasa kuna mchanganyiko wa makabila, ukerewe imepiga hatua sana kimaendeleo na inazidi kukua, nipo huku kwa sasa naona wazungu kibao wakifanya bike tours vijijini, nilishuhudia wengine wakisonga ugali na wanakijiji tena wa harusi pata picha, rudi kakaAhsante sana ndugu kwa kunipeleka nansio coz toka nitoke huko almost 30 years cjakanyaga huko shukrani sana pia nitafurahi zaidi ukituletea na picha za ukara
unaondoka sasa, watu wapo katika ushindani wa biashara kujenga nyumba za kisasa, hayo mambo hamna tenaVipi nasikia uchawi ni mwingi huko.
nasikia kuna mkono wa kigogo mkubwa tu serikalini na ndio maana zilipoletwa zile mv kipepeo zilikuwa zinatumia saa 1, zilifanyiwa figisu figisu mpaka zikapigwa chini ili wazidi kukamua, huyo nyehunge kwa hizi za ukerewe ni mgongo tuni mwarabu/mhindi wa hapa Mwanza, anajulikana kama Nyehunge, sielewi why alibrand vyombo vyake kwa jina hilo sababu kuna sehemu inaitwa Nyehunge pia, anamabus ya kwenda Buchosa, Sengerema, Moro/Dar na vivuko.
kwa sasa huo mti uko mbali sana na ufukwe kutokana na kina cha maji yabziwa kupungua haupo tena majini, hivyo hiyobzana ya jani likidondoka majini linageuka mamba hakuna tena nadhani mwenye huo mti alishakufa na hakuacha formula kwa kizazi kijacho, ila mti upo na haupo kando na ziwa kama zamani kwa sasa upo juu kabisa na wala sio ufukweniMh!! Sasa hayo majani naona bonge la dili na inabidi hiyo miti ipandwe mingi ili kuvutia watalii
kaika echijita, echo sio echikerebheKumbe uli mkerebhe safi sana
hahahaha, ati abhazima bhona ni bhah'abhoAbhakonde bhone abasokeleyo, nangu utakumenya? [Abazhima bhona bakuluga okwo, nangu tokumanya?]
nilio'enu enibhin'ala amazinduke, chigodoli siku jinu jitaliyo, ila ol'anu abhanu chili kwilima, oumenya omweko gwaliga chenda chimalaChilio digna
chigende kumamayo goHongereni wakerewe&Wakala kwa Uzi wenu, nimewapenda bure akina chimenyane.