Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Umesema ukweli mkuu haya ndo niliyoyashuhidiaKatika kisiwa cha Ukara, nadhani ni malelema tu ndio kutakuwa na ngono zembe, huko kwingine sidhani kabisa.
Kwa ujumla vijiji/visiwa vinavyojihusisha na uvuvi, pombe na ngono ndio habari yao, ukiona makreti ya bia yanayoingizwa kila siku na idadi ya watu utashangaa. malaya walioshindikana mijini huko ndio machaka yao, yani wavuvi wanaondoka na ukimwi hatari.