Dawa yao ni nini mkuuPale ukerewe wanawake usipiwajulia huipati ng'o kila demu ukimuomba ile issue hakatai ila atakuambia "mpaka nencha", kesho ukikutana naye tena atakujibu hivyo hivyo, nilipokuja kugundua, kumbe dawa yao ndogo tu.....
Dawa yao ni nini mkuuPale ukerewe wanawake usipiwajulia huipati ng'o kila demu ukimuomba ile issue hakatai ila atakuambia "mpaka nencha", kesho ukikutana naye tena atakujibu hivyo hivyo, nilipokuja kugundua, kumbe dawa yao ndogo tu.....
Pale ukerewe wanawake usipiwajulia huipati ng'o kila demu ukimuomba ile issue hakatai ila atakuambia "mpaka nencha", kesho ukikutana naye tena atakujibu hivyo hivyo, nilipokuja kugundua, kumbe dawa yao ndogo tu.....

Wakati huo pale ukara ukimwambia anakwambia "Mpaka chijoeyane" Yaani mpaka tuzoeanePale ukerewe wanawake usipiwajulia huipati ng'o kila demu ukimuomba ile issue hakatai ila atakuambia "mpaka nencha", kesho ukikutana naye tena atakujibu hivyo hivyo, nilipokuja kugundua, kumbe dawa yao ndogo tu.....

umesomea kule hata elimu ya sekondari? duh aisee haujaenda kwenu ages!!! au ukoo ulihama kabisa?Ahsante sana ndugu kwa kunipeleka nansio coz toka nitoke huko almost 30 years cjakanyaga huko shukrani sana pia nitafurahi zaidi ukituletea na picha za ukara
Naona hapo kwenye ramani kutoka ukara hadi ukerewe ni karibu sana! Ukaweza hata ukaruka au ukaweka daraja la gogo!
Wazazi walihama huko toka miaka ya 80umesomea kule hata elimu ya sekondari? duh aisee haujaenda kwenu ages!!! au ukoo ulihama kabisa?
vipi bibi na babu wajomba mashangazi kwenda kuwaona? au ndio isemekanavyo kulikua na ushirikina sana kiasi kwamba wazizi waliokuwa mijini waliogopa kupeleka watoto wao huko kusalimia? nakumbuka sisi wazazi wetu walikua wakitupeleka kijijini huko ziwani kila likizo ya december kuona mababu na mabibi ikawa kila december nakua mchunga ng'ombeWazazi walihama huko toka miaka ya 80
Digna enisabhwa i number yao untumile kutula m PM enikena chimenyane.Abhakonde bhone abasokeleyo, nangu utakumenya? [Abazhima bhona bakuluga okwo, nangu tokumanya?]
Bibi zangu na babu zangu wote walishafariki wajomba zangu na mashangazi nao walishafariki nimebaki na mama mkubwa anaishi Geita na baba mkubwa yupo nasavipi bibi na babu wajomba mashangazi kwenda kuwaona? au ndio isemekanavyo kulikua na ushirikina sana kiasi kwamba wazizi waliokuwa mijini waliogopa kupeleka watoto wao huko kusalimia? nakumbuka sisi wazazi wetu walikua wakitupeleka kijijini huko ziwani kila likizo ya december kuona mababu na mabibi ikawa kila december nakua mchunga ng'ombe
He heee, umeona ni kama KM ngapi?Naona hapo kwenye ramani kutoka ukara hadi ukerewe ni karibu sana! Ukaweza hata ukaruka au ukaweka daraja la gogo!
anhaa ok. na sasa hapa marekani unaishi jimbo gani?Bibi zangu na babu zangu wote walishafariki wajomba zangu na mashangazi nao walishafariki nimebaki na mama mkubwa anaishi Geita na baba mkubwa yupo nasa
Kudadek.....je mademu wa ukara ni watamu?Dah ukaraaa? Nilipataga demu kule. Chumba guest self kabisa buku tano tu
vipi hali ya kimaendeleo hapo ukara?Kwa ujumla Ukerewe kama Wilaya ina visiwa jumuishi 11...kutia ndani kisiwa cha Ukara. Wenyeji wa ukara hudhaniwa kuwa washirikina sana kuliko wakaazi wengineo wa Ukerewe.. Pengine ndio sababu kubwa ya kusema kuna jiwe linacheza.
Hata hivyo, yapo mambo flani ambayo yakitangazwa vizuri yanaweza kuwa kivutio cha watalii, tofauti na hilo jiwe ambalo limehodhiwa na ukoo mmoja kwa madai kwamba ndio wenye nguvu za asili za kulichezesha hilo jiwe.
Ni sayansi gani mkuu?Nimefika kwenye hilo jiwe, ni usanii mtupu, hakuna kitu kinachoitwa miujiza. Jiwe hilo linacheza kwa sababu za kisanyansi na sio miujiza. Kwa ufipa wangu nilitaka niwachallenge kwa sayansi ya ufipa, nikakuta watupu mnoooo!
Position ya hilo jiwe ni sababu kuu ya lenyewe kucheza...
Jiwe lenyewe lazima lisukumwe ndipo licheze!
Sijui kwa nini watu wanaaminishwa tofauti na wanakubali!
alilalamika bungeni kuhusu uchakavu wa kivuko cha mv nyerereSina hakika na hilo, ila mbunge wa sasa wa Ukerewe anatokea Ukara, ni mbunge toka CHADEMA, nashangaa kwa nini yupo kimya sana bungeni.
Siku hizi wanyamanga mnaitwa wanyauliMkuu huko ndio kwetu ukifika ulizia kijiji kinaitwa nyamanga