Muyobhyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 8,149
- 6,552
tena usipime na wanazungusha feni bovu lina afadhaliMadem wapo wengi lakini huko
tena usipime na wanazungusha feni bovu lina afadhaliMadem wapo wengi lakini huko
imani tu honeyfaith, mie mwenyewe nimezaliwa dar nimekulia zanzibar lajini nakuja mara kwa mara tangu nasoma secondary mpaka sasa nishakuwa na familia,Kuna ndugu yangu kaolewa na mkara yani watoto wa wifi hawarudi kwao wakati wa likizo wakishafunga shule kisa watarogwa na wanakijiji wa huko
imani tu honeyfaith, mie mwenyewe nimezaliwa dar nimekulia zanzibar lajini nakuja mara kwa mara tangu nasoma secondary mpaka sasa nishakuwa na familia,Kuna ndugu yangu kaolewa na mkara yani watoto wa wifi hawarudi kwao wakati wa likizo wakishafunga shule kisa watarogwa na wanakijiji wa huko
kuna sababu ndo maana maaba akasema vile, wakara zaidi watatujuzaUmenikumbusha 'sifa zoooooote anazo lakini ahhh mkara,mkaraaa'-J.K Nyerere.
Ni kweli, the ERA of magic is over!unaondoka sasa, watu wapo katika ushindani wa biashara kujenga nyumba za kisasa, hayo mambo hamna tena
Mkuu huu mti upo au ulishakauka? Hebu fuatilia vizurikwa sasa huo mti uko mbali sana na ufukwe kutokana na kina cha maji yabziwa kupungua haupo tena majini, hivyo hiyobzana ya jani likidondoka majini linageuka mamba hakuna tena nadhani mwenye huo mti alishakufa na hakuacha formula kwa kizazi kijacho, ila mti upo na haupo kando na ziwa kama zamani kwa sasa upo juu kabisa na wala sio ufukweni
chimbuko la wakerewe wametokea uganda na wakaja bukoba kwa vile walikuwa ni wavuvi wakafikia kisiwa flani kinaitwa kerebe kipo mleba, hatimae wakafika isiwa cha ukerewe, ambao ukerewe mwanzoni kilikuwa na jina lake, hawa watu kutoka kerebe walipofika huku wakaanza figisu figisu za kupigana na wenyeji unajua tena akina nyie kwa misifa, sasa walipo washinda wakazi kwenye vita vyao wenyewe kwa wenyewe wakatulia, hivyo wageni walikuwa wakifika wakuliza hapa ni wapi wanasema kerebe kutokana na chimbuko lao, hivyo mjerumani alipoanza tawala akawa anakiita kisiwa cha ukereve kwani mjerumani hana w, mwingereza alipokamata akakiita ukerewe mpaka leo ndio jina lake hiloMbona hii lugha kama kihaya, yaani nimeelewa kila kitu hapa.......
Hii ntaifafanua baadae jioniimani tu honeyfaith, mie mwenyewe nimezaliwa dar nimekulia zanzibar lajini nakuja mara kwa mara tangu nasoma secondary mpaka sasa nishakuwa na familia,
kuna sababu ndo maana maaba akasema vile, wakara zaidi watatujuza
hahahaha, unique dada awe, siga chilole, ila omugwe wejabho kamlinda kubhibhi nolwo chikaaika kutiki, kekosya ateyemo amagafu kumatwi, atakuungwa chinuAliga neyana mno siga gamkinge
Hizo ni hadithi ambazo hata wewe hujawahi kuona zaidi ya kuskia kwa mtu ambaye naye hajawahi kuonaUkizingua pande hiyo unatumiwa mamba hata kwenye kikombe cha maji ya kunywa..........
pia unaonekana historian waijua......ila pale ulipoliattack kabila langu nimekuona mpumbavu Wa kiwango cha barabara ya zege siyo lamichimbuko la wakerewe wametokea uganda na wakaja bukoba kwa vile walikuwa ni wavuvi wakafikia kisiwa flani kinaitwa kerebe kipo mleba, hatimae wakafika isiwa cha ukerewe, ambao ukerewe mwanzoni kilikuwa na jina lake, hawa watu kutoka kerebe walipofika huku wakaanza figisu figisu za kupigana na wenyeji unajua tena akina nyie kwa misifa, sasa walipo washinda wakazi kwenye vita vyao wenyewe kwa wenyewe wakatulia, hivyo wageni walikuwa wakifika wakuliza hapa ni wapi wanasema kerebe kutokana na chimbuko lao, hivyo mjerumani alipoanza tawala akawa anakiita kisiwa cha ukereve kwani mjerumani hana w, mwingereza alipokamata akakiita ukerewe mpaka leo ndio jina lake hilo
Kala yaliga ilikisi kweli kweli jigodoli, blassband, ebugonyosi ntakumenya kama bado jilio jingoma ejonilio'enu enibhin'ala amazinduke, chigodoli siku jinu jitaliyo, ila ol'anu abhanu chili kwilima, oumenya omweko gwaliga chenda chimala
Hahahahaha siga bheje bhakubwire kumamayo ni swalochigende kumamayo go
Anye enishangaa muno bhakabheye abhandi abhabulimishe kala kwakubha ni kipenzi chae ajibhiye jibhihahahaha, unique dada awe, siga chilole, ila omugwe wejabho kamlinda kubhibhi nolwo chikaaika kutiki, kekosya ateyemo amagafu kumatwi, atakuungwa chinu
Mtani hutaki kuambiwa ukweli au tuseme ndo unaongea kwa utaniUmeelezea tu vizuri na p
pia unaonekana historian waijua......ila pale ulipoliattack kabila langu nimekuona mpumbavu Wa kiwango cha barabara ya zege siyo lami

Nyehunge sengerema ndiko walikoanzia biasharani mwarabu/mhindi wa hapa Mwanza, anajulikana kama Nyehunge, sielewi why alibrand vyombo vyake kwa jina hilo sababu kuna sehemu inaitwa Nyehunge pia, anamabus ya kwenda Buchosa, Sengerema, Moro/Dar na vivuko.
Nyakaliro syo kisiwa ni mwambao wa ziwaKuna kijiji cha Kome kilichopo katika kisiwa cha Ukara na kuna kisiwa cha Kome kilichopo wilaya ya Sengerema.
Nyakalilo sina uhakika nacho.