last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,749
- 3,995
KATE IPI MKUUAaaah
Wakumwituu
Sasa mimi nimechanganyia Kate na Ukara
KATE IPI MKUUAaaah
Wakumwituu
Sasa mimi nimechanganyia Kate na Ukara
Abhamubhirikila Daudi omwende Alubati. Bhati amabhilima atalimo mwijijiNilio anye nikae lijiji lya Makonda sikujinu abhambilikira sijui niga?
Tangu lini kazi ya kutangaza utalii ikawa ya wenyeji?nimesikia kuna utalii sana huko lakini wenyeji hamtaki kuutangaza,
Mkuu umekosea ukerewe ina zaidi ya hivyo 11 ulivyosema, hebu hesabu hivi ambavyo mimi navikumbukaKwa ujumla Ukerewe kama Wilaya ina visiwa jumuishi 11...kutia ndani kisiwa cha Ukara. Wenyeji wa ukara hudhaniwa kuwa washirikina sana kuliko wakaazi wengineo wa Ukerewe.. Pengine ndio sababu kubwa ya kusema kuna jiwe linacheza.
Hata hivyo, yapo mambo flani ambayo yakitangazwa vizuri yanaweza kuwa kivutio cha watalii, tofauti na hilo jiwe ambalo limehodhiwa na ukoo mmoja kwa madai kwamba ndio wenye nguvu za asili za kulichezesha hilo jiwe.
Uje utembelee na kisiwa cha Ghana, hiki ndo kisiwa chenye starehe zaidi, wao hupenda kukiita Cape TownNishaenda Irugwa (Ukerewe), Rukuba (Musoma Rural), Maisome (Buchosa, zamani Sengerema), Kerebe (Muleba), Goziba (Muleba), Bumbure/Mahaiga (Muleba), Ikuza/Kasenyi (Muleba) na Iramba/Murumo (Muleba).
katika visiwa vyote hivyo, Goziba, Kerebe na Iramba vina mandhari nzuri sana.

Pale karibu na uwanja wa mpira kuna soko la samaki , zahanati pia kuna kanisa la kihistoria la roman ..babu yangu alikuwa ni padre hapo anaitwa father bwile alifariki miaka miwili iliyopita. Ndiye kwenye ukoo wetu mungu alimjalia kupata daraja takatifu..
Mumilo waongela go!Tinkumwizuka ine ndi mmilo wanakabhungo hati ntwile dodoma
ha haha sasa akilisukuma kwa nguvu zaidi itakuwajeJamaa anaelichezesha huwa hataki msimame upande wake... Na watu kwa vile wameaminishwa ni miujiza, hukubali bila kuhoji.. Bahati mbaya wengine tumetokea kwenye Jamii ya watenda miujiza....kwetu kamati za ufundi ni kama Wacongo na muziki!!
Hapa ndio nilikua napataka lete nyuzi za uwitchdoctor kuleSafari njema lakini kaa chonjo; Wakara ni mafundi sana kwenye tasnia ya usangoma!
Tawile mkuu, ni sawa kabisa, ukizubaa unaliwanasikia mabint wa kule wana antennae ndefu, hebu toa mrejesho ni kweli

Eswe echimulinda hata ajeaki echenda achiletele evyetiAbhamubhirikila Daudi omwende Alubati. Bhati amabhilima atalimo mwijiji
Sent from my Lenovo B8080-H using JamiiForums mobile app
Hapo sassTangu lini kazi ya kutangaza utalii ikawa ya wenyeji?
Atachasubha mwijiji lyaeEswe echimulinda hata ajeaki echenda achiletele evyeti
Father bwile yupi ndugu yangu? Alikuwa na kakake anaitwa sebastian machele? Usijekuta ndugu halafu hatujuaniPale karibu na uwanja wa mpira kuna soko la samaki , zahanati pia kuna kanisa la kihistoria la roman ..babu yangu alikuwa ni padre hapo anaitwa father bwile alifariki miaka miwili iliyopita. Ndiye kwenye ukoo wetu mungu alimjalia kupata daraja takatifu..
hata mimi, ila nakumbuka hotuba ya Baba wa taifa mwalimu JKNY akisema MKARA!!!!! sasa nimejua hao watu wanapatikana wapi. endelea kutujuza mengi kutoka huko. kama walet bado ikosafi usisahau kupitia call me J. wakupe minofu ya Bashite jaribu kupiga stori 2,3 na majiraniukara ndo naisikia leo.. endelea kutujuza kisiwa kilivyo.hali ya uchumi
Kasubha ela kutyo keyana awe lindela akeja ntakumenya aloanu kemuka na chinukiAtachasubha mwijiji lyae