Mabagala
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,477
- 327
Mbe karibhu darisalamu karibhu hamukokoTinkumwizuka ine ndi mmilo wanakabhungo hati ntwile dodoma
Mbe karibhu darisalamu karibhu hamukokoTinkumwizuka ine ndi mmilo wanakabhungo hati ntwile dodoma
Kuna kijiji cha Kome kilichopo katika kisiwa cha Ukara na kuna kisiwa cha Kome kilichopo wilaya ya Sengerema.Kome na Nyakalilo ni Ukara? Mnisaidie.
Ulio mai? Lyagwa mai, anye nakurora! Ulyaaki?Ulio wasu anye ni wa chibhasi
Nakumbuka tulitembelea uko nikiwa mdogo tulipanda Mv Clarius, na kuna sifa kama zinazosemwa hapo juu I mean kambi za uvuvi na vimbwanga vyake.Kuna kijiji cha Kome kilichopo katika kisiwa cha Ukara na kuna kisiwa cha Kome kilichopo wilaya ya Sengerema.
Nyakalilo sina uhakika nacho.
internet connection ipo chini sana, nkipata connection nzuri ntaupload picha za kutosha.Uzi mzuri sana lakini umekosa picha tuu.
mamba not mambomweeh.................
ivi mpaka karne hii kuna watu wanaojisifia kuwa na uchawi?
afu sijaelewa unatupa jani likirudi linarudi kama mambo? what does the word "mambo" mean?
Mkuu kuwa mwangalifu sana Wakara ukiwaletea ujuaji wa ccm watakubeba kwa Mamba (Crocodile) huwa hawana utani wa kitoto!!Wenyeji wa kisiwa cha Ukara wanaitwa Wakara, hawa wanaongea lugha inayoingiliana na wajita wa Musoma, pia wakerewe huongea lugha hiyo hiyo.
Mkuu, Goziba si ni kisiwa cha Kagera?Usisahau pia kufika Bwilo, Goziba, harwego, rubya ,Selema, masonga na chankamba
3G a.k.a 4G haipatkani Nansio? Unatumia mtandao ganiinternet connection ipo chini sana, nkipata connection nzuri ntaupload picha za kutosha.
mweeh basi tena mamba huyu anayeishi majini ama mamba gani?mamba not mambo
Huko nako ni Tanzania 😳 😳Usisahau pia kufika Bwilo, Goziba, harwego, rubya ,Selema, masonga na chankamba
Nilio anye nikae lijiji lya Makonda sikujinu abhambilikira sijui niga?Ulio mai? Lyagwa mai, anye nakurora! Ulyaaki?
Mamba huyohuyomweeh basi tena mamba huyu anayeishi majini ama mamba gani?