Mabagala
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 1,477
- 327
Mbe siga chimtegelele amwi oli yanu kachibhilimya abhalume bha jimumi!Kasubha ela kutyo keyana awe lindela akeja ntakumenya aloanu kemuka na chinuki
Mbe siga chimtegelele amwi oli yanu kachibhilimya abhalume bha jimumi!Kasubha ela kutyo keyana awe lindela akeja ntakumenya aloanu kemuka na chinuki
Hahahahaha siga chimulinde chilole kutyo aliMbe siga chimtegelele amwi oli yanu kachibhilimya abhalume bha jimumi!
Kumbe uli mkerebhe safi sanaNalabhao bujibhie. [Yee, nalabhaho mbulizye.]
Abhakonde bhone abasokeleyo, nangu utakumenya? [Abazhima bhona bakuluga okwo, nangu tokumanya?]Kumbe uli mkerebhe safi sana
Chilio dignaNalabhao bujibhie. [Yee, nalabhaho mbulizye.]
Nasikia kuna gari moja tu aina ya Landrover ya mwaka 1966!,kwa anayekumbuka hotuba za Mwl Nyerere kuhusu hatima ya muungano na uraisi nadhani mnakumbuka alipotania kuwa ''ah nae Mkara anataka kumgombea uraisi''Leo nasafiri kwenda katika kisiwa cha Ukara, nmeona ni vyema ningewajuza kuhusu kisiwa hiki kilichopo ndani ya mipaka ya Tanzania. Kabla sijaja Mwanza kikazi nlikuwa nasikia kuhusu kisiwa cha Ukerewe tu, kutokana na kazi yangu nimeweza fika katika visiwa nane tofuti na Ukerewe vyote vikiwa ndani ya mipaka ya Tanzania. Hivyo leo tutaiongelea Ukara tu.
Ukara ni kisiwa cha pili kwa ukubwa ndani ya ziwa Victoria kwa upande wa Tanzania, kisiwa kinachoongoza kwa ukubwa ndani ya ziwa ni kisiwa cha Ukerewe.
Wenyeji wa kisiwa cha Ukara wanaitwa Wakara, hawa wanaongea lugha inayoingiliana na wajita wa Musoma, pia wakerewe huongea lugha hiyo hiyo.
Kisiwa cha Ukara kina mawe yaliyopachikwa jina la "the dancing stones", kwamba mawe yanayocheza. Sijawahi kwenda yatembelea bado, japo ntajitahidi fika huko kwa siku za usoni. Pia inasemekana kuna mti ambao majani yake yakiingia ndani ya ziwa, yakitoka anatoka mamba na sio majani tena.
Kufika Ukara kwa kutokea Mwanza inakubidi upande ferry kutoka Mwanza hadi Nansio Ukerewe, baada ya hapo utapanda Tax kutoka Nansio hadi Bugorora, kutoka Bugorora utapanda tena ferry hadi Ukara, Ferry inafikia katika kijiji cha Bwisya.
Ntaendelea wajusa safari ya Ukara step kwa step.
View attachment 478574
Kisiwa Chenye starehe ni "Mchangani" hapo Wanaishi Watu wazima pekee tena Wafanya Biashara hakuna Watoto wala Shule!! Na ni marufuku kuishi na familia kule!.Uje utembelee na kisiwa cha Ghana, hiki ndo kisiwa chenye starehe zaidi, wao hupenda kukiita Cape Town![]()
![]()
![]()
Bashite!!! Karubhu PuguNilio anye nikae lijiji lya Makonda sikujinu abhambilikira sijui niga?
Mkuu kwa comment hii likes utakula nyingi tu, mi nshakupa li like langu la nguvu.......Dah ukaraaa? Nilipataga demu kule. Chumba guest self kabisa buku tano tu
Abhamubhirikila Daudi omwende Alubati. Bhati amabhilima atalimo mwijiji
Sent from my Lenovo B8080-H using JamiiForums mobile app

Kubhunu amanji gamukingile muchimilo!!!! Mai aweeee!!!Eswe echimulinda hata ajeaki echenda achiletele evyeti
Mbona hii lugha kama kihaya, yaani nimeelewa kila kitu hapa.......Ndi darisalamu mwozowe, owetu ni hamukoko aliyo omumilo akwetwa kilongo mazina omumanya?
Aliga neyana mno siga gamkingeKubhunu amanji gamukingile muchimilo!!!! Mai aweeee!!!