notoriousic
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 425
- 484
Kisbo kwa mama mjamzito mimba inaweza kutoka kamwe siwezi kupanda gari ambayo inakimbia hadi mkanda wa sidiria yangu unakatika mxxxxxiiiuuu!!







Kisbo kwa mama mjamzito mimba inaweza kutoka kamwe siwezi kupanda gari ambayo inakimbia hadi mkanda wa sidiria yangu unakatika mxxxxxiiiuuu!!







kisbo ni hatari usiwe na haraka utafika dar leo.na ukitoka dar unafika mwanza hakuna kulala.Kisbo ni usafiri wa uhakika na naamini kufikia saa 7 usiku utakuwa Dar, usiangalie umepitwa na basi ngapi njiani
Muda mwingi tunasafiri kama adventureNauli kutoka Mwanza hadi dar Kwa basi ni elfu 60, Chakula njiani 20, tax kufika standi 10, ( masaa 14hrs road) ukishuka ubungo either ulale gest 30000 au uchukue tax elf 30, kama kuna ndugu Wa kukupokea (hasara na usumbufu Wa kukufuata stand tumpe naye elf 30) haya uchofu Wa safari utakupasa upumzike ambapo hasara ya kulala siku nzima inayofuata elf 30 n.k let's say imekucost laki mbili kupanda bus,
Ungefanya mipango ya FASTJET 150000 /= AU Ungefanya mpango Wa precision Air 360000/= Ungefika chap na Kwa haraka ukaendeleza majukumu yako ya kuingiza Pesa nyingine ;
Mi ninafikiri siku nyingine panda ndege kupunguza gharama ( Note; gharama zingine hazionekani direct)
SAFARI ZA BUS MASAFA MALEFU IFIKE MAHALI TUACHANE NAZO zimepitwa na wakati ( Tutumie bus safar fupi fupi)
==========================
NI SAWA NA KUNUNUA KIWANJA KWENYE KILIMA AU BONDENI 2MIL HALAFU MSINGI WA NYUMBA IKAKUCOST 15MIL pamoja risk za Maji na bomoabomoa! Wakati kuna viwanja flat saafi vinauzwa 8mil na mzingi only 3mil na ni sehemu salama
Speed za kawaida tuNashukuru kwa kuijua hiyo Kisbo. Ningepanda hiyo gari abiria mngenishusha mapema kabisa. Sipendi na narudia tena sipendi speed. Mkuu unafuata speed kali ila omba Mungu matokeo ya hiyo speed ya gari yawe kifo yakiwa ulemavu utakua balozi mzuri sana wa kukimbia kimbia hovyo barabarani.
Duuu nikipataga root ya kigoma huwa kichwa kinaniumaMuda mwingi tunasafiri kama adventure
Unajisikiaje unapita njiani unapishana na aina tofauti tofauti za uoto wa asili
Milima,mapori miji
Vijiji n.k
Kwangu ni adventure
Naenjoy kusafiri kwa bus kuanzia Mbeya - Arusha
Dar-Kigoma
Sumbawanga
Ilmimradi nisafiri kuenjoy uumbaji.
nani kakwambia kifo kinatokana na speed ya gari!
Mkuu bado mapema sana, subiri mida ifike utakuja kuomba ushauri humu au utasema kbs tukuombee.khaa! kuna gari inaitwa katagi nayo imetupita hapa hatujafika hata missungwi
Jamani nilishauriwa humuhumu JF ili nifike dar kutoka Mwanza kwa siku moja nipande basi la kisbo, wanaJF wakasisitiza hakuna basi linalokimbia kama Kisbo, nami kweli nikakata tiketi ya hilo basi.
Sasa ajabu leo tumetoka Nyegezi stand tumevuka tu Buhongwa Kisbo ikapitwa basi fulani linaitwa master, sasa nimeanza kupata wasiwasi kama kweli nitafika leo make uongo umeanza kudhihirika.
MwandilaUngepanda fastjet tu, nimekuja mwanza kwa fastjet kwa elf 79, kufika mwanza nimelipa elf 15 mpak tabora, nikalipa elf 5 mpaka urambo, nikalioa 7 ya bodaboda elf 7 mpaka kijijini songambele, dar nimetoka saa 12, mwanza saa 1 na robo mwanza, saa 4 ninetoka mwanza, saa 10 mboka, nikafika urambo saa 11 na nusu, nikaingia kijiji songambele saa 12, nilisave muda sana, ningechukua basi ningelala tabora mjini gharama nyingine
Uli mola, nakula michembe na matobolwa na nsansa iliyochanganywa ntwili, raha sanaMwandila
Speed za kawaida tu
Ingekua na speed kali ingeingia Dar saa nne kamili.

Mhola sana. Wagisyage songambele. Ene ni wauramboUli mola, nakula michembe na matobolwa na nsansa iliyochanganywa ntwili, raha sana
Kwa mida hii mefika singida au mnakaribia km basi linakimbiacompassion. vp tuko pamoja nini?!
Mitaa gani mkuu, nipo songambele huku, kweli hapa kazi imepamba moto, mvua zinanyesha sana, urambo yote ni greenish, hali ya hewa tamu sana, ila asubuhi miji unaikuta na watoto tu, mpaka mida ya saa 7 ndio wanaanza onekana, kweli hapa kazi imepamba motoMhola sana. Wagisyage songambele. Ene ni waurambo
Kula dk 5??? Hapo ni ununue take away,Huyo jamaa aliyeipita kisbo hapo buhongwa, kwa uzoefu wangu, hata toboa shinyanga bila ya kukutwa na kupitwa.
Uzuri wa kisbo hailali kituoni, kula ni dk 4 hadi 5, ukizembea utaachwa. Kuns kamsemo chao wale madereva na mautingo "kisbo haimuachi abiria, bali abilia ndo anaiacha kisbo"