Kisbo imepitwa hapa mapema tu!

Kisbo imepitwa hapa mapema tu!

Kisbo ni usafiri wa uhakika na naamini kufikia saa 7 usiku utakuwa Dar, usiangalie umepitwa na basi ngapi njiani
kisbo ni hatari usiwe na haraka utafika dar leo.na ukitoka dar unafika mwanza hakuna kulala.
 
kisbo alikua anasumbuliwa na city boy. leina tour.kwa sasa dar mwanza hayo masemi trela.kisbo baba yao
 
Nauli kutoka Mwanza hadi dar Kwa basi ni elfu 60, Chakula njiani 20, tax kufika standi 10, ( masaa 14hrs road) ukishuka ubungo either ulale gest 30000 au uchukue tax elf 30, kama kuna ndugu Wa kukupokea (hasara na usumbufu Wa kukufuata stand tumpe naye elf 30) haya uchofu Wa safari utakupasa upumzike ambapo hasara ya kulala siku nzima inayofuata elf 30 n.k let's say imekucost laki mbili kupanda bus,
Ungefanya mipango ya FASTJET 150000 /= AU Ungefanya mpango Wa precision Air 360000/= Ungefika chap na Kwa haraka ukaendeleza majukumu yako ya kuingiza Pesa nyingine ;
Mi ninafikiri siku nyingine panda ndege kupunguza gharama ( Note; gharama zingine hazionekani direct)
SAFARI ZA BUS MASAFA MALEFU IFIKE MAHALI TUACHANE NAZO zimepitwa na wakati ( Tutumie bus safar fupi fupi)
==========================
NI SAWA NA KUNUNUA KIWANJA KWENYE KILIMA AU BONDENI 2MIL HALAFU MSINGI WA NYUMBA IKAKUCOST 15MIL pamoja risk za Maji na bomoabomoa! Wakati kuna viwanja flat saafi vinauzwa 8mil na mzingi only 3mil na ni sehemu salama
Muda mwingi tunasafiri kama adventure

Unajisikiaje unapita njiani unapishana na aina tofauti tofauti za uoto wa asili
Milima,mapori miji
Vijiji n.k

Kwangu ni adventure

Naenjoy kusafiri kwa bus kuanzia Mbeya - Arusha
Dar-Kigoma
Sumbawanga
Ilmimradi nisafiri kuenjoy uumbaji.
 
Nashukuru kwa kuijua hiyo Kisbo. Ningepanda hiyo gari abiria mngenishusha mapema kabisa. Sipendi na narudia tena sipendi speed. Mkuu unafuata speed kali ila omba Mungu matokeo ya hiyo speed ya gari yawe kifo yakiwa ulemavu utakua balozi mzuri sana wa kukimbia kimbia hovyo barabarani.
Speed za kawaida tu
Ingekua na speed kali ingeingia Dar saa nne kamili.
 
Muda mwingi tunasafiri kama adventure

Unajisikiaje unapita njiani unapishana na aina tofauti tofauti za uoto wa asili
Milima,mapori miji
Vijiji n.k

Kwangu ni adventure

Naenjoy kusafiri kwa bus kuanzia Mbeya - Arusha
Dar-Kigoma
Sumbawanga
Ilmimradi nisafiri kuenjoy uumbaji.
Duuu nikipataga root ya kigoma huwa kichwa kinaniuma
Vumbi, Gari bovu, watu wanagonga kilugha ad unajistukia
 
Safari ya dar-mwanza inabikumbusha mbali sana


Kwenye ally’s walikuwa wananijua nakaafa siti no 1 pembeni ya dereva.
Nadhani hiyo nia ndio nmesafiri mara nyingi zaidi na nimeshapata ajali mara 2 na kulala porini mara 1
 
Ungepanda fastjet tu, nimekuja mwanza kwa fastjet kwa elf 79, kufika mwanza nimelipa elf 15 mpak tabora, nikalipa elf 5 mpaka urambo, nikalioa 7 ya bodaboda elf 7 mpaka kijijini songambele, dar nimetoka saa 12, mwanza saa 1 na robo mwanza, saa 4 ninetoka mwanza, saa 10 mboka, nikafika urambo saa 11 na nusu, nikaingia kijiji songambele saa 12, nilisave muda sana, ningechukua basi ningelala tabora mjini gharama nyingine
 
Jamani nilishauriwa humuhumu JF ili nifike dar kutoka Mwanza kwa siku moja nipande basi la kisbo, wanaJF wakasisitiza hakuna basi linalokimbia kama Kisbo, nami kweli nikakata tiketi ya hilo basi.

Sasa ajabu leo tumetoka Nyegezi stand tumevuka tu Buhongwa Kisbo ikapitwa basi fulani linaitwa master, sasa nimeanza kupata wasiwasi kama kweli nitafika leo make uongo umeanza kudhihirika.

Hata wakati limesimama lilipitwa na TOYO, kupitwa siyo hoja ya Msingi
 
Ungepanda fastjet tu, nimekuja mwanza kwa fastjet kwa elf 79, kufika mwanza nimelipa elf 15 mpak tabora, nikalipa elf 5 mpaka urambo, nikalioa 7 ya bodaboda elf 7 mpaka kijijini songambele, dar nimetoka saa 12, mwanza saa 1 na robo mwanza, saa 4 ninetoka mwanza, saa 10 mboka, nikafika urambo saa 11 na nusu, nikaingia kijiji songambele saa 12, nilisave muda sana, ningechukua basi ningelala tabora mjini gharama nyingine
Mwandila
 
Kisbo huyo mnyama hata madereva wa mabasi mengine wenyewe wanaukubali mziki wake.

Dereva akitembea spidi 2 tajiri anambadilisha anampa basi dereva mwingine.

Tajiri ananunua tochi,yaani dereva akipigwa tochi yeye tajiri anachekelea,anaona huyo ndio mwanaume,gari halitalala njiani.

Hizo gari ni kwikwi aisee,sijui zina injini za ndege,yaani zinatiririka balaaa

Mkuu we kula Popcons zako tu,Dar mapema tu hao DarLux gairo kunawahusu.

Mi ni konda hapa Msamvu, yaani hii basi ikiingia tu hapa stendi wappiga debe wote wanaacha shughuli zao wanapiga miruzi kushangilia chombo kinavyoingia kibabe stendi.

Hilo basi ni la Kibabe hatari mjomba
 
Mhola sana. Wagisyage songambele. Ene ni waurambo
Mitaa gani mkuu, nipo songambele huku, kweli hapa kazi imepamba moto, mvua zinanyesha sana, urambo yote ni greenish, hali ya hewa tamu sana, ila asubuhi miji unaikuta na watoto tu, mpaka mida ya saa 7 ndio wanaanza onekana, kweli hapa kazi imepamba moto
 
Huyo jamaa aliyeipita kisbo hapo buhongwa, kwa uzoefu wangu, hata toboa shinyanga bila ya kukutwa na kupitwa.
Uzuri wa kisbo hailali kituoni, kula ni dk 4 hadi 5, ukizembea utaachwa. Kuns kamsemo chao wale madereva na mautingo "kisbo haimuachi abiria, bali abilia ndo anaiacha kisbo"
Kula dk 5??? Hapo ni ununue take away,
Kusafiri na mibasi bongo shida tupu.
Break kula ni 30 min full stop
 
Back
Top Bottom