Kisbo imepitwa hapa mapema tu!

Kisbo imepitwa hapa mapema tu!

Kwahiyo unataka wapae sio! Jiandae kutoa ishuhuda wa mwendo kama utapona maana hamchelewi kusema speed ilikuwa kubwa mno!
 
nimeiona dar lux nyuma yetu hapa missungwi stand. sasa nataka nione kisbo vs dar lux. ikitupita na hii yaan ndo ntakata tamaa kabisa na kujiandaa kisaikologia kulala moro
Kwa kisbo dar utatoboa leoleo labda gari izingue njiani. Lkn kama mmeongozana na dar lux ile mpya DLF ikiwatangulia tu mtakutana nayo dar
 
nimeiona dar lux nyuma yetu hapa missungwi stand. sasa nataka nione kisbo vs dar lux. ikitupita na hii yaan ndo ntakata tamaa kabisa na kujiandaa kisaikologia kulala moro

We Jamaa unachekesha sana!!!
Ukifika moro tuwasiliane nije nikusalimie Msamvu.
Isije ukawa unaipigia debe Kisbo.
 
Mkuu kama utasikia mabasi yote ya nwanza yamelala Moro isipokuwa gari moja, basi hiyo gari moja itakuwa Kisbo. Wewe tulia mtoke shinyanga hakuna uchwara itawaona hapo
Unaizungumzia kisbo ya zamani sana ndg,kisbo sasaivi kichomi kizuri tu.
 
Nauli kutoka Mwanza hadi dar Kwa basi ni elfu 60, Chakula njiani 20, tax kufika standi 10, ( masaa 14hrs road) ukishuka ubungo either ulale gest 30000 au uchukue tax elf 30, kama kuna ndugu Wa kukupokea (hasara na usumbufu Wa kukufuata stand tumpe naye elf 30) haya uchofu Wa safari utakupasa upumzike ambapo hasara ya kulala siku nzima inayofuata elf 30 n.k let's say imekucost laki mbili kupanda bus,
Ungefanya mipango ya FASTJET 150000 /= AU Ungefanya mpango Wa precision Air 360000/= Ungefika chap na Kwa haraka ukaendeleza majukumu yako ya kuingiza Pesa nyingine ;
Mi ninafikiri siku nyingine panda ndege kupunguza gharama ( Note; gharama zingine hazionekani direct)
SAFARI ZA BUS MASAFA MALEFU IFIKE MAHALI TUACHANE NAZO zimepitwa na wakati ( Tutumie bus safar fupi fupi)
==========================
NI SAWA NA KUNUNUA KIWANJA KWENYE KILIMA AU BONDENI 2MIL HALAFU MSINGI WA NYUMBA IKAKUCOST 15MIL pamoja risk za Maji na bomoabomoa! Wakati kuna viwanja flat saafi vinauzwa 8mil na mzingi only 3mil na ni sehemu salama
Nani ka kuambia mwanza dar fast jet n 150000 unajidanganya mchana kweupe
 
WATU BWANA, MWEZI WA MAHESABU HUU WEWE UNATAMANI GARI IKIMBIE?????
 
khaa! kuna gari inaitwa katagi nayo imetupita hapa hatujafika hata missungwi
Hao kisbo wamefungiwa sana na mwaka Jana sijui walifutiwa leseni lazima wabadilike

Hawawezi kuendeleza ujinga
 
Kumbuka huu ni mwezi wa December mwezi wa makafara

Ww tamani ligi ya spidi tu
 
Wala usiwaze kabisa mkuu unaingia dar leo leo hilo basi ni hatari usijali kuhusu kupitwa yatakutwa na yatapitwa yote.
Hivi we ni mdada eeenh!?...eti mejikuta tuu nataka kujua mkuu...samahani lakini?
 
Back
Top Bottom