Wgr30
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 1,770
- 2,387
ukishajua kabila lao utashiba!!!!mwanza wanakaa kabila gani, wasukuma?!
ukishajua kabila lao utashiba!!!!mwanza wanakaa kabila gani, wasukuma?!
Giza likiingia ni shida.subiri giza liingie mkuu
Wanaume wamikoani wameshindwa kazi mpaka wanawake wanajichumbia wenyewe.. Hivi Geita ni mkoani au Dar?hureeeee wanaume wa dar tumepewa shavu...sisi siyo wabaya kama wa mikoani wanavyo tuchafua!
Duh tochi noma mi nakumbuka na kisbo natoka mwanza kuja dsm pale nyegezi tulikuwa wa mwisho kutoka ila singida hotelin wa kwanza na tuliingia saa tano asubuhi Singidando linaondoka singida hapa
Kwani hadi sasa kuna mabasi mliyotoka nayo Mwanza kwenda Dar, ambayo bado yamewatangulia?vyote kwa pamoja
Jamani nilishauriwa humuhumu JF ili nifike dar kutoka Mwanza kwa siku moja nipande basi la kisbo, wanaJF wakasisitiza hakuna basi linalokimbia kama Kisbo, nami kweli nikakata tiketi ya hilo basi.
Sasa ajabu leo tumetoka Nyegezi stand tumevuka tu Buhongwa Kisbo ikapitwa basi fulani linaitwa master, sasa nimeanza kupata wasiwasi kama kweli nitafika leo make uongo umeanza kudhihirika.
Hapo manyoni kuikamata dom ni shughuli kuna kiumbali. Inabid dereva akaze kweli kweli.hizo ni maalum kwa wagonjwa wa dharura
Kwani hadi sasa kuna mabasi mliyotoka nayo Mwanza kwenda Dar, ambayo bado yamewatangulia?