mwayungi
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,814
- 3,078
Relax mkuu hao njia ya dar waliowapita kisbo itawashika tuumkuu katagi noma, imetuosha mara mbili sasa.
Relax mkuu hao njia ya dar waliowapita kisbo itawashika tuumkuu katagi noma, imetuosha mara mbili sasa.
Yeye na moyo ndio anajua.Una uhakika parafiso atafika asubuh hh kaamukia jf huko ni kwa wenye mioyo nyenyekevu na saf
Mghamba hiyo ni kitu kingine kbsa. Hiyo kuipita msahau. Hao madereva sijui wanavuta nn.mkuu nimemaliza tu kusoma comment yako nikaona mghamba huyoo anapita. duh! hadi natamani nihame basi
Kuna mghamba na asante rabi za arusha ni noma sana mkuumkuu kwa namna gan nchi inaweza kufila?!
Kisbo ni usafiri wa uhakika na naamini kufikia saa 7 usiku utakuwa Dar, usiangalie umepitwa na basi ngapi njianiJamani nilishauriwa humuhumu JF ili nifike dar kutoka Mwanza kwa siku moja nipande basi la kisbo, wanaJF wakasisitiza hakuna basi linalokimbia kama Kisbo, nami kweli nikakata tiketi ya hilo basi.
Sasa ajabu leo tumetoka Nyegezi stand tumevuka tu Buhongwa Kisbo ikapitwa basi fulani linaitwa master, sasa nimeanza kupata wasiwasi kama kweli nitafika leo make uongo umeanza kudhihirika.
na kwenye game wakoje hao kaka zako wa dar!mboba umeanza kujihami mkuu. Sisi dada zenu ndo tunawajua vizuri kaka zetu wa Dar msotaka kusimama kwenye daladala eti mnachoka wakati kuna mama na tumbo kubwa la ujauzito kasimama.
isha chinja sana ndo maana imekuwa chata kwa polisi kila wakiionaJamani nilishauriwa humuhumu JF ili nifike dar kutoka Mwanza kwa siku moja nipande basi la kisbo, wanaJF wakasisitiza hakuna basi linalokimbia kama Kisbo, nami kweli nikakata tiketi ya hilo basi.
Sasa ajabu leo tumetoka Nyegezi stand tumevuka tu Buhongwa Kisbo ikapitwa basi fulani linaitwa master, sasa nimeanza kupata wasiwasi kama kweli nitafika leo make uongo umeanza kudhihirika.
Kwenye game sio wabaya sana pia.na kwenye game wakoje hao kaka zako wa dar!
kufila ndio kufanyaje? andika vizuri wewe mzee yaani una miaka 10 JF bado hujui kuandikaHii nchi haitafila popote kwa aina ya taifa tunalojenga
Mwambie akawajaribuKwenye game sio wabaya sana pia.
hureeeee wanaume wa dar tumepewa shavu...sisi siyo wabaya kama wa mikoani wanavyo tuchafua!Kwenye game sio wabaya sana pia.
Mwambie akawajaribu