Kina nani walimpigia JK kura ya Hapana?

Oh God,
Walau Mwandosya is not mwanamtandao hivyo we dont expect him kuunda serikali ya kishikaji isiyo wajibishana kwa ajili ya kulindana, matokeo yake inatupeleka kuzimu! Damn!

I wish ninge kuwa na uwezo wa Kumwambia Mwandosya aache unafiki (kwani nina hakika hakubaliani na yanayo endelea!) afanye hima kutoka huko kuliokoa jahazi hakika linazama!


Katika mambo ninayomsifu Prof ni kubakia CCM, kiongozi yoyote lazima uwe na busara za msimamo. Yeye anapambana nao mumo kwa mumo na wenyewe wanajua kuwa sio mtu wa kumchezea.

Kama Prof angekuwa na busara hafifu basi baada ya uchaguzi wa CCM Mbeya angekuwa na mengi sana ya kusema hatharani lakini ameona ni vema atayarishe ripoti aipeleke kwenye vikao vya chama chake. Huo ndio utaratibu wa chama ambacho yeye ni mmoja wa viongozi, hili la kuhama vyama sio solusion; kwanza ahame CCM aende wapi..!!!

CCM inahitaji watu kama wakina Prof Mwandosya kama alivyosema Bob Mkandara. Nasubiri kuona kama JK atamtema iwapo atafanya mabadiliko ya cabinet; huo ndio utakuwa mtihani wangu mkubwa kwa Prof, je atahama Chama au atasimama na kupambana ndani ya CCM? Time will tell

Nina kiu ya kuona kuna mtu/watu ndani ya CCM wanaoweza kusema NO na wakaeleweka kuwa wakisema No wanamaanisha No...
 
Katika mambo ninayomsifu Prof ni kubakia CCM, kiongozi yoyote lazima uwe na busara za msimamo. Yeye anapambana nao mumo kwa mumo na wenyewe wanajua kuwa sio mtu wa kumchezea.

Kama Prof angekuwa na busara hafifu basi baada ya uchaguzi wa CCM Mbeya angekuwa na mengi sana ya kusema hatharani lakini ameona ni vema atayarishe ripoti aipeleke kwenye vikao vya chama chake. Huo ndio utaratibu wa chama ambacho yeye ni mmoja wa viongozi, hili la kuhama vyama sio solusion; kwanza ahame CCM aende wapi..!!!

CCM inahitaji watu kama wakina Prof Mwandosya kama alivyosema Bob Mkandara. Nasubiri kuona kama JK atamtema iwapo atafanya mabadiliko ya cabinet; huo ndio utakuwa mtihani wangu mkubwa kwa Prof, je atahama Chama au atasimama na kupambana ndani ya CCM? Time will tell

Nina kiu ya kuona kuna mtu/watu ndani ya CCM wanaoweza kusema NO na wakaeleweka kuwa wakisema No wanamaanisha No...
[/SIZE]

Yebo Yebo,

Hata JK akimtema Prof. Mwandosya kwenye cabinet, sidhani kama prof. atahama CCM. Sana sana jamaa ataweka nguvu zote kule kwenye jimbo lake na labda kurudi mlimani kufundisha.

Lakini pia siamini JK atamtema prof. kwasababu anajua watu wengi wanaangalia juu ya hili. JK akifanya hivyo atakuwa mjinga kweli kweli, nafikiri ataendelea kumwacha prof sehemu ambako hawezi kufurukuta.

Any way siasa za TZ ngumu, kwahiyo lolote ninaweza kutokea.
 
Kwani Mwandosya kafanya nini hasa hadi awe zaidi ya Muungwana?Mwandosya ni mwanasiasa kama walivyo wanasiasa wengine.Hata kama akitolewa kwenye cabinet hakuna kitakachoharibika,kwa hiyo hilo tumwachie Muungwana na Washauri wake waamue.
 
Kama wana m-kick out kama unavyosema na ikatokea kuwa yeye amejiunga na chama cha upinzani, basi kwangu miye itakuwa chanzo changu maishani kujiunga na chama cha siasa Tanzania, maana nitajiunga na chama chochote atakachokuwa amejiunga nacho....

SteveD.

Umenichekesha sana Steve, naona unaleta zile za wafuasi wa Mrema za kusema "Tumfuate Lyatonga Popote (TlP)!

Sasa ni hivi, wanasiasa watanzania hasa hao wazee wa zamani hawana ujasiri. Utasubiri sana kumuona mtu kama Mwandosya anahami upinzani, hana ujasiri huo. Hapo alipo yupo CCM kimwili tu lakini ki-akili hayupo huko lakini kwa kukosa ujasiri ameshindwa kuundoa mwili wake huko. Katika kundi hili pia yumo Magufuli. Hapo ndipo nitapowaheshimu wanasiasa wa Kenya kwa ujasiri.

So, ndugu yangu nguvu zetu tuziweke kwetu wenyewe. We make politics sisi wenyewe tukiungana na vijana wengine kama akina Zitto, Mnyika, n.k. Hii ya kusubiri wazee wa CCM tutasubiri sana. Kama kuna mtu wa kwanza kutoka CCM alikuwa Malecela, lakini wapi, ameudhiwa wewe yeye aling'ang'ania tu. Sio kwamba aliipenda sana CCM, bali alikosa ujasiri. Na kwa kukosa ujasiri huu ameondoa katika siasa na amekwamisha kabisa utabiri wa Nyerere!
 
Katika mambo ninayomsifu Prof ni kubakia CCM, kiongozi yoyote lazima uwe na busara za msimamo. Yeye anapambana nao mumo kwa mumo na wenyewe wanajua kuwa sio mtu wa kumchezea.

Kama Prof angekuwa na busara hafifu basi baada ya uchaguzi wa CCM Mbeya angekuwa na mengi sana ya kusema hatharani lakini ameona ni vema atayarishe ripoti aipeleke kwenye vikao vya chama chake. Huo ndio utaratibu wa chama ambacho yeye ni mmoja wa viongozi, hili la kuhama vyama sio solusion; kwanza ahame CCM aende wapi..!!!


[/SIZE]


Wapi ndugu yangu hamna cha busara wala nini, ni woga na kukosa ujasiri!
 
Uzalendo ni kuwa mpinzani, sasa na ujasiri ni kujiunga na upinzani, kumbe waoga wa ujasiri basi tuko wengi sana bongo, kwa tafsiri ya wenzetu upande wa pili!

Mimi basi nife na uoga wangu, kama ujasiri ni kujiunga na upinzani. Maana kwa tafsiri hii Mrema na Mtikila ni 'majasiri sana wa taifa la upinzani"
 
Mafanikio kwenye siasa yanapimwa vipi?

Kutimiza ahadi ulizoahidi wakati ulipokuwa una-nadi sera zako, na kuomba kura kutoka kwa wananchi.

Kama uliahidi kwamba kila kijiji utajenga shule, na umefanya hivyo, hayo ni mafanikio. Kama uliahidi kutoa ajira kwa vijana 500,000, na takwimu zinaonyesha umefanya hivyo, basi hayo ni mafanikio. Kama uliahidi kujenga uwanja wa mpira (national stadium), na umeweza kufanya hivyo, hayo pia ni mafanikio.

 
Jamani eeehhh!!! hawa jamaa wakiamua kumpiga chini mwandosya, wanaweza na hakuna madhara yoyote yatakayotokea tanzania. Mnakumbuka ushabiki wa mrema mwaka 1995??? Ni nani leo hii anayemzungumzia mrema???Nani anayemzungumzia kolimba leo hii??? Nani anayemzungumzia aboud jumbe leo hii??? tena jumbe mkumbuke alikuwa ni raisi wa zanzibar!!!

Ni lazima mjue tanzania kuna umafia wa hali ya juu. Huyo jamaa wanaweza kumtosa na hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Tutapiga blaaa blaaa, hapa lakini ukweli ni kwamba huyo jamaa (prof.mwandosya) hamnyimi usingizi kikwete.
 
Katika mambo ninayomsifu Prof ni kubakia CCM, kiongozi yoyote lazima uwe na busara za msimamo. Yeye anapambana nao mumo kwa mumo na wenyewe wanajua kuwa sio mtu wa kumchezea.

Kama Prof angekuwa na busara hafifu basi baada ya uchaguzi wa CCM Mbeya angekuwa na mengi sana ya kusema hatharani lakini ameona ni vema atayarishe ripoti aipeleke kwenye vikao vya chama chake. Huo ndio utaratibu wa chama ambacho yeye ni mmoja wa viongozi, hili la kuhama vyama sio solusion; kwanza ahame CCM aende wapi..!!!

CCM inahitaji watu kama wakina Prof Mwandosya kama alivyosema Bob Mkandara. Nasubiri kuona kama JK atamtema iwapo atafanya mabadiliko ya cabinet; huo ndio utakuwa mtihani wangu mkubwa kwa Prof, je atahama Chama au atasimama na kupambana ndani ya CCM? Time will tell

Nina kiu ya kuona kuna mtu/watu ndani ya CCM wanaoweza kusema NO na wakaeleweka kuwa wakisema No wanamaanisha No...
[/SIZE]

Kupambana ndani ya CCM ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu! kwanini?

- Ni kwa kuwa kwake ndani ya CCM alishindwa kutumia hekima yake kuzuia kupindishwa kwa sheria za bunge kumfungia Zitto, katika mjadala ule tuliwekewa wazi kwamba alibakia ndani ya bunge akiangalia mazingaombwe akiwa ameshika tama!

- CCM ni chama cha kimafia? Kidikiteita ambacho kiko tayali kufanya lolote kibaki madarakani bila kujali masilah ya Watanzania walio wengi

-Kwa mtu aliye makini, na mwenye mapenzi na nchi yake hapaswi kuwa muoga kusimama na kusema wazi badala ya kuweka ubinafsi? uoga mbele kwamba anapambana ndani ya chama! Hizo ni ndoto za Alinacha Mwandosya kushinda vita ya ubadhirifu na ufisadi wa CCM akiwa ndani ya CCM labda mnishawishi vinginevyo kwamba jamaa naye ni wale wale kitu ambacho sipendi kukiamini sana juu yake!

- Ama hapa tunakubaliana na ule usemi 'if you cant fight them join them?? Lakini watu makini kama hawa wasipo amua kufight them who else?

Tunahitaji watu kama hawa kujitoa mhanga kutoka huko ili waongeze nguvu kwa Kina Slaa et al.. vinginevyo ukombozi wa kweli wa mtanzania utabakia kuwa ndoto!

Hatuko huru ndugu, we are under CCM colonial ambayo watu wanaogopa kuinyonyeshea kidole eti wasije kuwa kina Kolimba, Jumbe Mrema etc. So sad!
 
Mwandosya hakupiga kura ya hapana...ni wanafiki tu wanaendeleza the rift Prof na Muungwana, Prof yeye anafocus na maendeleo ya Jimbo na chama. Baada ya kundi "flani" kutumia zaidi ya 200 mil kujaribu kumtoa kwenye Nec, wana-ccm Mbeya waliendelea kumuunga mkono Mwandosya kwasababu wameona juhudi zake za kuleta maendeleo kwa vitendo na siyo kuropoka ropoka tu. Trust me kama bado kuna vurugu, Mwandosya angeacha mambo ya chama zamani sana, kama alivyo amua kuacha Ukatibu mkuu na kurudi chuo kikuu na kufanya mambo yake miaka ya 90. Alipiga kura ya Ndiyo.
 
Mwandosya, anayo haki ya kupiga kura yoyote anayotaka ni haki yake ya kimsingi ambayo naona kwenye huu mjadala inataka kusahaulika, nani anajua alipigaje? ni yeye mwenyewe na so far hajasema alipigaje, kwa hiyo kuanza ku-guess alipigaje ni kuingilia haki zake za binafsi kisheria,

Kwa hiyo hii ya alipiga, alipigaje, wa-Zaire wananita Songi Songi, yaani udaku at best.

Kama kuna beef kati ya Mtandao na Mwandosya, izungumziwe bila ya kuchanganya mambo ya kura za NEC, kwa sababu it has nothing to do with it, halafu wote hapa tunakwepa the real question kama in the wake ya uchaguzi wa juzi Dodoma, je bado mtandao upo? To me that is a bigger question kama upo how much gas does it still have in its tank?
 
Kama wana m-kick out kama unavyosema na ikatokea kuwa yeye amejiunga na chama cha upinzani, basi kwangu miye itakuwa chanzo changu maishani kujiunga na chama cha siasa Tanzania, maana nitajiunga na chama chochote atakachokuwa amejiunga nacho....

SteveD.

Careful my brother. Yalitokea kwa Lyatonga Mrema hayo, na yaliyofuata wengi tunajua. Historia hufundisha, na hujirudia.

Nilipokuwa mwanafunzi wa shule ya msingi, wimbo wenye maneno yafuatayo ulikuwa maarufu:

"Cheza rhumba kimbunga
Chunga nguo yako mama na dada,
isipeperushwe na upepo mkali iyeye
!"

Pana funzo hapo.
 
The truth remains that there is a big rift between JK and Professor Mwandosya. The two worked together in the Ministry of Energy and Minerals beginning 1988 when JK was appointed as the deputy minister for energy and minerals. Prof Mwandosya was the commissioner for Energy.

It is not clear on what actually happened. Some attribute this rift to a woman; some to policy decisions, but this rift became obvious in early 1990s. JK reported the matter to the then president (Mwinyi)and Professor was to be transfered to the ministry of Information and Broadcasting. Since Mwandosya is a special one (just like mourinho), Paul Rupia, the then Chief Secretary informed Professor (way in advance)of the changes that were about to occur. It is said that Professor refused arguing that he is not a bureaucrat so he should not be treated like one. He continued 'i was a lecturer at UDSM and enjoyed my tenure there. It is Nyerere who had asked me to come and make a contribution to the energy sector and it is for that reason i joined hands with alnoor kassum'. A few days later, prof was transfered to the ministry of industry and trade instead of Information and broadcasting. Prof promised to get back to JK in politics and that he will eventually emerge the winner. We see Professor quiting as permanent secretary in 1994. He went back to UDSM and as a parrarel process, went on to establish an NGO that made him a lot money. It should be noted that for him to run the NGO successfully, he had to be active in research.

In 2000, prof ran for Ubunge and had clearly told his opponents as well as friends that he will make it to the cabinet straight. He did make it and was seen and heard saying that hes at par with JK now - both as ministers. The rift between them got even bigger and it is professor who largely practiced anger and hatred. The former president - Mkapa had a hard time trying to bring a solution between them. This rift became an interesting drama even during the cabinet sessions under Mkapa. Mkapa never managed to solve the problem.

Next, we hear JK might get it for 2005. On that note, professor commented that he cannot be led by a bogus and uneducated individual like JK. He further said - If JK wins the presidency in 2005, he will give up his citizenship and move to a new country. The rest is history. It is for such a historical account between JK and prof that i had raised a concern on whether Prof really wants to do something meaningful for Watanzania or its just for personal grudges.

It is clear, however that, JK has no reason to continue entertaining the situation because he already won the presidency and therefore whats important for the party now is for the current factions to start working together. This, however, will hardly be achievable unless JK gets rid of mafisadi. Why? Because the only thing that JK opponents (within CCM) can bank on is the anger and response on mafisafi among wananchi.

Its not that mwandosya and others lack the courage to quit on JK. There has to be a justification with sustainable results. It is also wrong to compare the Mremas and mandaros with the current factions in ccm. Lets not forget that the political context of that time was very different.

It should be noted also that what exacerbates the rift between JK and professor is not JK himself but the fear factor among those wanamtandao eying for 2015. It is such individuals that make this rift irreparable.
 
Bubu ataka kusema,
Kuwa Rais siyo kigezo cha mafanikio katika siasa ama maisha ya mwanadamu.

Duh! mjomba naona tunatazama shilingi mbili tofauti kabisa. Hapa kidogo unajipiga kanzu mwenyewe kwani maelezo yako ya awali yananipa picha tofauti kabisa. Kwanza umemsifia Mwandosya kwa elimu yake hukuzungumzia kabisa maswala ya uwezo wake kubadilisha jamii yetu...Umeitumia elimu yake kama mafanikio zaidi ya JK leo tunampa JK urais akiwa na miaka 55 unasema hayo sio mafanikio hadi pale atakapoweza kutumia vizuri nafasi hiyo. Well, ktk siasa nadhani hata Mwandosya bado hajaitumia elimu yake ktk siasa labda darasani - ikwa hiyo ngoma draw.
Pili binafsi nashindwa sana kuelewa sisi wadanganyika tunachukulia Siasa kama vile ni Upinzani kati ya mtu na mtu badala ya Upinzani wa mrengo wa vyama. Tumefikia kuwatazama viongozi wetu kwa tofauti zao ktk mrengo ndani ya chama kimoja. Mwandosya hata kama hakubaliani na JK bado ni mfuasi wa siasa za CCM ila hakubaliani na uongozi wa JK ktk baadhi ya sera ama JK himself.
Leo hii mimi nimeingia Chadema kwa sababu ya mrengo wa chama hicho. kama CCM au CUF ama TLP wangekuwa Conservative ningejiunga na moja ya vyama hivyo lakini sii kwa sababu huko Chadema kuna Freeman na Zitto. Kila naposoma hoja nyingi za watu huwa nazidi kujenga wasiwasi wangu ktk kuwaelewa wadanganyika kuelewa kwao ktk hili somo jipya la siasa zinazofungamana na mbinu bora za kuimarisha maisha ya wananchi.

I believe kuwa maendeleo ya Tanzania yataletwa na Mtanzania regardless of his color, dini ama gender na ni Mtanzania pekee anayetakiwa kupewa kipaumbele ktk nafasi muhimu za kuzalisha uchumi wa nchi yetu hivyo kuboresha maisha yao. Na wale wote wanao hujumu uchumi wa nchi yetu wanatakiwa kuchukuliwa hatua kali kuhakikisha tunafika kule tuendako iwe tunaongozwa na JK ama Mwandosya.
Hivi sasa tumevamia hili bus ( band wagon) tunazugushwa mitaani na wapo watu wana enjoy kuzunguka huku wakiwa ndani ya gari hili la CCM. hawana haraka ama hawana haja ya kufika, the more safari inavyozidi kuwa ndefu, the more wana enjoy the ride!
Jamani, wanabodi nadhani ipo haja ya kuanzisha mjadala unaohusu elimu ya siasa ambayo itatupa picha halisi ya tofauti zilizopo ktk baadhi ya vyama vyetu na sio kutazama watu na elimu zao while they stand for nothing!
Waliopiga kura za hapana kwa JK ni wafuasi wa CCM na wana tatizo lna uongozi wa JK ktk kufuata mrengo, ilani, sera na katiba ya CCM, nje ya hapo sisi sote ni vipofu ktk elimu ya siasa..
 
Mkandara Bob,

Heshima mbele mkuu, maana hapo umenena exactly my original question kwa Bubu, kwamba Mwandosya uzaidi wake over JK ni upi as far as our nation is concerned?

I have a lot of respect kwa Mwandosya, as a person na achievement zake academically, hilo halina ubisha kuwa yeye ni zaidi ya Muungwana, lakini politically, Muungwana ni zaidi so far kwa sababu kwanza alimshinda Mwandosya kwenye uchaguzi wa rais, na pili Mwandosya, alikubali mbele ya public kuwa Muungwana is better ndio maana amemshinda, na kwamba amejitahidi sana kushika nafasi ya tatu,

Nilikuwa na heshima sana Mwandosya, alipoamua kurudi shuleni to this day niko hewani as to why alirudi tena kwenye siasa kinyemela, maana sijawahi kuona statement yake kama ile ya yeye kurudi shuleni, akieleza kwa nini anarudi kwenye siasa, tena mpaka kuwa waziri wa the very same man aliyemkimbia na kurudi shuleni yaani Muungwana?

Dodoma majuzi nimeona Muungwana, akijaribu kuweka distance kati yake na Mtandao, sasa bado najaribu ku-read between the lines kama Muungwana amefanya hivyo kwa faida ya taifa, CCM, au kujiweka sawa yeye binafsi na term ya pili, it is remain to be seen!
 
mwandosya anaweza kuwa zaidi ya kikwete katika kujibu hoja zinazoletwa mbele yake pamoja na kuchambua mambo kiutaalamu lakini sijui kama uwezo wake wa kitaaluma unaweza kumsaidia katika siasa maana siasa ni nyanja nyingine kabisa ambayo haihitaji uwe na degree 3 au zaidi ili uweze kucheza vizuri kwenye hii game ya siasa
 
Nilikuwa ninashangaa kwamba so far hujajitokeza, nafikiri la utaalamu linakuwa covered na academic, ambalo tumekubali tayari kuwa Mwandosya, anamzidi Muungwana,

swali ni uwezo wa uongozi wa kisiasa, je kuna rekodi betweeen Muungana na Mwandosya? Maana kwenye uchaguzi so far Muungwana amempiga tena vibaya sana Mwandosya, na hata kumfanya waziri chini yake na akakubali yaishe,

Je Mwandosya, ana rekodi politically ya kumzidi Muungwana?
 
Mkandara Bob,

Heshima mbele mkuu, maana hapo umenena exactly my original question kwa Bubu, kwamba Mwandosya uzaidi wake over JK ni upi as far as our nation is concerned?

I have a lot of respect kwa Mwandosya, as a person na achievement zake academically, hilo halina ubisha kuwa yeye ni zaidi ya Muungwana, lakini politically, Muungwana ni zaidi so far kwa sababu kwanza alimshinda Mwandosya kwenye uchaguzi wa rais, na pili Mwandosya, alikubali mbele ya public kuwa Muungwana is better ndio maana amemshinda, na kwamba amejitahidi sana kushika nafasi ya tatu,

Nilikuwa na heshima sana Mwandosya, alipoamua kurudi shuleni to this day niko hewani as to why alirudi tena kwenye siasa kinyemela, maana sijawahi kuona statement yake kama ile ya yeye kurudi shuleni, akieleza kwa nini anarudi kwenye siasa, tena mpaka kuwa waziri wa the very same man aliyemkimbia na kurudi shuleni yaani Muungwana?

Dodoma majuzi nimeona Muungwana, akijaribu kuweka distance kati yake na Mtandao, sasa bado najaribu ku-read between the lines kama Muungwana amefanya hivyo kwa faida ya taifa, CCM, au kujiweka sawa yeye binafsi na term ya pili, it is remain to be seen!

Kikwete mpaka sasa hivi hana mafanikio yeyoye katika ukumbi wa kisiasa. Nimeomba mniambie katika sehemu mbali mbali alizopitia katika siasa ni mafanikio gani aliyoyapata ambayo yanaweza kabisa kutamkwa na Watanzania walio wengi kwamba ni mafanikio ya Kikwete, mpaka sasa hivi hakuna aliyeweza kufanya hivyo. Hakuna debate katika kumpata mgombea wa CCM nina hakika kabisa kama kungekuwa na debate ya kila mgombea anataka kuiongoza vipi CCM na Tanzania basi Kikwete angeanguka vibaya sana maana hana uwezo wa kujieleza.

Katika maisha ya mwanadamu ili kupima mafanikio aliyoyapa hapa duniani mnalenga kuangalia ni nyanja ipi alikuwa anajishughulisha nayo hapa duniani, kwa Kikwete ni siasa ambayo mpaka sasa hivi hakuna yeyoye anayeweza kupinpoint mafanikio yake, na kwa Mwandosya ni elimu na amechangia kutoa wataalamu mbali mbali katika sekta ya wahandisi ambao wapo Tanzania na nchi mbali mbali duniani, kwangu mimi hayo ni mafanikio makubwa.

Kikwete maji yalimfika shingono kutokana na makundi ndani ya CCM, havyo alikuwa hana jinsi ila kuweka distance kati yake na mtandao, je hiyo dustance aliyoiweka ni ya kweli au ni kiini macho katika kuzuga Watanzania!? Hili inabidi tusubiri tuone litachanua vipi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom