Bubu ataka kusema,
Nadhani umesahau kuwa mwandosya ktk chaguzi zake zote ushindi wake umekuwa na matatizo. navyosikia huko Mbeya kama sio CCM kusimama imara alikuwa nje ktk chaguzi zote ikiwa na hii ya majuzi. kwa hiyo tuwe makini sana tunapotaka kupima uwezo wa watu kwani mzani wako inaonyesha wazi umemweka JK na jiwe la kilo nzima ktk Ujazo lakini Mwandosya hana kipimo upande wa pili isipokuwa elimu yake.
Jk kama rais amefanya nini?....well wewe ulitaka afanye kipi!... wanavyosema wao kaweka ahadi ambazo anazitimiza na Mwandosya ni mmoja kati ya wafanyakazi wake. if he had failed ni kutokana na hao kina Mwandosya kwani ndio mawaziri wanaoendesha hizo wizara.
kulingana na mtazamo wako ni wazi hakuna kiongozi yeyote aliyepata mafanikio nchini Tukiondoa Nyerer kisiasa kwani Tanzania bado ni maskini.
Nadhani umesahau kuwa mwandosya ktk chaguzi zake zote ushindi wake umekuwa na matatizo. navyosikia huko Mbeya kama sio CCM kusimama imara alikuwa nje ktk chaguzi zote ikiwa na hii ya majuzi. kwa hiyo tuwe makini sana tunapotaka kupima uwezo wa watu kwani mzani wako inaonyesha wazi umemweka JK na jiwe la kilo nzima ktk Ujazo lakini Mwandosya hana kipimo upande wa pili isipokuwa elimu yake.
Jk kama rais amefanya nini?....well wewe ulitaka afanye kipi!... wanavyosema wao kaweka ahadi ambazo anazitimiza na Mwandosya ni mmoja kati ya wafanyakazi wake. if he had failed ni kutokana na hao kina Mwandosya kwani ndio mawaziri wanaoendesha hizo wizara.
kulingana na mtazamo wako ni wazi hakuna kiongozi yeyote aliyepata mafanikio nchini Tukiondoa Nyerer kisiasa kwani Tanzania bado ni maskini.