Nyota Njema
Senior Member
- Nov 18, 2010
- 148
- 16
kwanini makongoro nyerere? mia
Huyu ndoyo pekee mwenye "courage" ya kufanya hivyo maana hana cha kupoteza, ni mtoto wa baba wa taifa, hana hisa za kifisadi lakini pia amewahi kuwa mbunge wa upinzani wa Arusha kupitia NCCR Mageuzi. Mbali na hilo, huwa hajali sana maslahi yake, na pia ni mpenzi wa kinywaji kwenye zile sturi ndefu!