Kweli kwa jinsi nilivyozipata za ndani sishangai ndio maana kumekuwa na usiri mkubwa, kwanza wamewatisha UVCCM, UVCCM wakaangalia maslahi yao, then possibly atakae aside na gamba anapigwa chini. Naunga hoja mkuno itakuwa kweli.
Kama ni kweli hii ni habari njema kuwahi kusikika mwaka mzima huu. Waende wakahamasishe wale professionals wa kuzimia na kurudisha kadi kutoka matawi ya mamluki waliyoyafungua juzi.
Subutu, Ubavu huo Rais Kikwete akauazime toka wapi wakati ni hao hao mafisadi ndio waliompakulia urais wa dezo kupitia uchakachuaji wa fedha zao?????????????
Tunachojua hadi hivi sasa ni kwambaa hali ni tete ndani ya CCM kuliko wakati mwingine wowote ule na kwamba unafiki wa sehemu kubwa ya viongozi wengi sana wa chama hiki ngazi ya taifa unakaribia kubainika wazi kwa umma wote wa Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.